Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mv Ukara yadaiwa kuzimika safarini

Kivuko cha Mv Ukara kinachofanya safari zake kati ya visiwa vya Ukara na Bugorola wilayani Ukerewe mkoani hapa, kinadaiwa kuhatarisha maisha ya watumiaji kutokana na kuzimika mara kwa mara na kulazimika kuvutwa na boti.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

FUJO KATIKA SHOW YA DIAMOND ILIYOFANYIKA NCHINI UJERUMANI YADAIWA KUSABABISHA HASARA YA EURO 300,000,YADAIWA PROMOTA HAKUWA NA BIMA.

PROMOTER BRITTS EVENT MATATANI MJINI STUTTGART,UJERUMANIPolisi wamesema mpaka kieleweke, M-Nigeria Roho Juu
Stuttgart,Ujerumani,Anayejiita promota Biritts Event - inayomilikiwa na Awin Williams Akpomiemie raia wa Nigeria amejikuta katika mashaka baada ya ripoti ya polisi kuthibitsha jumla ya hasara ya Euro 300,000(Tsh.600 Million) zilizo sababishwa na fujo ya siku ya jumamosi 30 Augost 2014 baada ya msanii wa NASIB ABDUL AKA DIAMOND PLATINUMZ kuchelewa kufika ukumbini mjini...

 

10 years ago

Michuzi

10 years ago

Vijimambo

KINANA ASAFIRI KWA MASAA 14 KWENYE ZIWA VICTORIA KWENDA KISIWANI IRUGWA NA KUTUMIA MASAA MANNE MENGINE KWENDA KISIWA CHA UKARA KISI

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwapungia wakazi wa kijiji cha Sambi kata ya Irugwa, wilayani Ukerewe waliojitokeza kwa wingi kumpokea ,Kinana ameweka historia kwa kuwa kiongozi wa kwanza kufika katika kisiwa hicho akiwa kwenye ziara ya kukagua,kuhimiza na kusimamia utekelezaji wa ilani ya uchaguzi pamoja na kukagua uhai wa Chama.Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimina na mmoja wa wakazi wa kata ya IrungwaKatibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Niliyoyaona, kuyasikia safarini Korea Kusini — 3

WAKOREA wana mpangilio wa magari kujipanga kwa kuzingatia njia zake maalumu, yanapokata kona unafurahia kuona namna yalivyojipanga  vizuri. Sasa endelea. Tulipofika  Mji wa Yeongdong-daero, tulijulishwa kwamba ndipo tutakapolala na kuwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Niliyoyaona, kuyasikia safarini Korea Kusini

INGAWA ilikuwa ni mara yangu ya tatu kwenda nchini Korea Kusini kwa ajili ya kujengewa uwezo na taasisi ya kimataifa ya nchini humo ya Saemaul Undong kuhusu kampeni ya maendeleo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Niliyoyaona, kuyasikia safarini Korea Kusini — 2

Hali kwenye ndege ya Kampuni ya Qatar  ilikuwa kama sebuleni. Unanyanyuka kwenye kiti chako kama kawaida unakwenda maliwatoni unapata huduma kubwa na ndogo unarudi unaendelea na mambo yako kama kawaida....

 

11 years ago

BBCSwahili

'Kijana alikuwa safarini kumtafuta mama'

Je unamkumbuka kijana aliyejificha katika gudurumu la ndege na kusafiri kutoka Carlifonia hadi Hawaii nchini Marekani?

 

11 years ago

Tanzania Daima

Abiria hawajui haki zao safarini

HIVI karibuni kumeripotiwa ajali nyingi za barabarani zikiwemo zile zilizotokea mkoani Singida na kusababisha watu kadhaa kupoteza maisha. Nilipata msukumo wa kutaka kufahamu ni kwanini matukio ya ajali, hasa za...

 

9 years ago

Dewji Blog

PINDA akiwa safarini kuelekea Katavi

IMGS4856

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Mkuu wa Wilaya ya Nzega, Jaqueline Liana  kwenye Ikulu ndogo ya Tabora alipopata mapumziko akiwa njiani kuelekea Katavi Oktoba 2, 2015.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani