Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mvua ya saa mbili yaanika udhaifu wa Dar

Mvua iliyonyesha kwa saa mbili katika maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam jana, imeleta kero kwa wasafiri wa vyombo vya moto na watembea kwa miguu na kusababisha baadhi ya barabara kushindwa kupitika kutokana na kujaa maji.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

TRENI YA DELUXE ILIYOPANGWA KUONDOKA LEO SAA 2 USIKU IMEAHIRISHWA HADI KESHO JUMATATU SAA MBILI USIKU!

UONGOZI WA KAMPUNI YA RELI TANZANIA UNASIKITIKA KUWATAARIFU ABIRIA WA TRENI YA DELUXE YA KWENDA KIGOMA LEO JUMAPILI MEI 31, 2015, KUWA SAFARI HIYO IMEAHIRISHWA HADI KESHO JUMATATU SAA MBILI USIKU! 
TAARIFA HIYO IMEELEZA KUWA SABABU ZA KUAHIRISHWA SAFARI HIYO NI AJALI YA TRENI YA MIZIGO ILIYOTOKEA JANA SAA 2 USIKU KATIKA STESHENI YA SARANDA AMBAPO MABEHEWA 4 YAMEPINDUKA ! TAYARI WAHANDISI NA MAFUNDI WA TRL WANAELEKEA ENEO LA KWA KAZI YA KUYAINUA NA PIA KUKARABATI  NJIA!
ATAYESOMA TAARIFA HII...

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Vijimambo

11 years ago

Habarileo

Mvua yatesa abiria saa 12

Rais Jakaya Kikwete pamoja na mkewe, Mama Salma Kikwete na Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mwantumu Mahiza wakikagua mafuriko yaliyoharibu vibaya barabara ya Chalinze hadi Dar es Salaam, eneo la Ruvu Darajani jana. Mamia ya abiria walikwama kutokana na mafuriko hayo. (Picha na Ikulu).MVUA iliyoanza kunyesha mwishoni mwa wiki, imeendelea kuleta kizaazaa katika maeneo mbalimbali nchini, ikiwemo kusababisha maelfu ya abiria kukwama kusafiri kati ya Dar es Salaam na mikoa mingine kupitia Barabara ya Morogoro.

 

11 years ago

Mwananchi

MATUKIO: Saa mbili ndani ya Buguruni

>“Naombeni msaada…Wananipiga jamani…Tafadhari ndugu zangu niokoeni wataniuwa mimi,”…Ni sauti  ya kijana anayepigwa na kundi la vijana kutokana na tuhuma za wizi eneo la Buguruni majira ya saa moja na nusu usiku.

 

10 years ago

GPL

Saa mbili za Mrwanda Yanga ni hatari

Mshambuliaji wa zamani wa Simba, Danny Mrwanda. Na Waandishi Wetu
UNAWEZA kusema ni umafia umefanyika baada ya mshambuliaji wa zamani wa Simba, Danny Mrwanda, kujiunga na Yanga akitokea Polisi Morogoro. Mrwanda alisaini mkataba wa mwaka mmoja wa kuwatumikia vijana hao wa Jangwani, juzi jioni na jana alifanya maajabu kwenye mazoezi ya timu hiyo yaliyokuwa yakifanyika kwenye Uwanja wa Boko Veterani jijini Dar es Salaam. Awali,...

 

11 years ago

Mwananchi

Saa mbili ndani ya Buguruni elimu tosha

Kitu kimoja ambacho unaweza kukifanya kumbukumbu katika eneo la Buguruni, wilayani Ilala jijini Dar es Salaam ni ‘vishombo’, huu ni mlo wa nyama za aina mbalimbali, mfano miguu ya kuku na utumbo wake.

 

10 years ago

GPL

Saa mbili za Ngoma, Mghana Yanga ni hatari

Mshambuliaji Mzimbabwe, Donald Ngoma. Wilbert Molandi na Sweetbert Luonge
SAA mbili walizofanya mazoezi ya pamoja na Yanga, zimetosha kabisa kwa mashabiki wa timu hiyo kukubali uwezo wa mshambuliaji Mzimbabwe, Donald Ngoma na Mghana, Joseph Zuttah. Wachezaji hao walitua nchini wikiendi iliyopita na juzi walifuzu vipimo vya afya, kisha jana wakaanza kazi rasmi uwanjani na mastaa wengine.Ngoma amepewa jezi namba 11 iliyokuwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani