Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mvutano waibuka upunguzaji wafanyakazi Tanzanite One

Baadhi ya wafanyakazi wa kampuni ya uchimbaji madini ya Tanzanite One iliyopo Mirerani wilayani Simanjiro, Mkoa wa Manyara wamelalamikia wenzao 635 wanaotakiwa kupunguzwa kazi bila kupatiwa haki zao.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Mvutano waibuka ada elekezi shule binafsi

Maandalizi ya upangaji wa ada elekezi kwa shule binafsi nchini yameibua mvutano kati ya Wizara ya Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi na Chama cha Wamiliki wa Shule na Vyuo Binafsi (Tamongsco) baada ya kulalamikia kutopewa nafasi ya ushiriki katika hatua za awali.

 

9 years ago

Mtanzania

Mvutano mkali waibuka kortini kesi ya mita 200

Pg 4 oct 22NA KULWA MZEE, DAR ES SALAAM

MVUTANO mkali wa zaidi ya saa sita umeibuka katika kesi ya kutaka kujua uhalali wa wananchi ama wapigakura kukaa nje ya mita 200 kutoka katika vituo vya kupigia kura na kutaka tafsiri ya mahakama kuhusu kifungu cha sheria ya uchaguzi namba 104(1).

Mvutano huo uliibuka kati ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG) na wakili wa mleta maombi katika shauri hilo wakati Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam ilipoanza kusikiliza kesi hiyo jana.

Kesi hiyo inayosikilizwa na...

 

11 years ago

Mwananchi

Kilimanjaro, Tanzanite hoi , Uganda waibuka mabingwa

Timu ya Netiboli ‘Kilimanjaro Queens’ na ile ya Kikapu ‘The ‘Tanzaniate’ za Tanzania bara zimetwaa nafasi ya pili kila moja kwenye michuano ya Kombe la Mapinduzi iliyofikia kilele chake jana visiwani Zanzibar.

 

9 years ago

StarTV

Wafanyakazi 635 Tanzanite One kupunguzwa kazi kutokana na kupungua kwa uzalishaji

Wafanyakazi mia sita thelathini na tano wa Mgodi wa Tanzanite One wanaofanya kazi katika machimbo ya Tanzanite Mirerani Simanjiro wanatarajiwa kupunguzwa kazini kutokana na hali ya uzalishaji ya kampuni hiyo kutoridhisha.

 Uamuzi wa kupunguza wafanyakazi hao umefikiwa na uongozi wa mgodi huo kwa madai kwamba ni kudorora kwa hali ya kifedha kwa kampuni hiyo kunakosababishwa na hali ya uzalishaji wa madini.

Akitolea ufafanuzi mchakato wa zoezi hilo katika eneo la mgodi huo wa Tanzanite...

 

11 years ago

Habarileo

'Tunaunga mkono upunguzaji misamaha ya kodi'

TAASISI ya Sekta Binafsi (TPSF) inaunga mkono hatua ya Serikali ya kupunguza misamaha ya kodi, lakini imetaka utekelezaji wake kuwa makini. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa jana na TPSF, hatua ya kupunguza misamaha ya kodi ni nzuri, lakini utekelezaji wake unatakiwa kufanywa kwa umakini ili isije kuzuia ukuaji katika sekta.

 

9 years ago

Vijimambo

Tanzanite: The hidden treasure of Tanzania We arrive at Tanzanite One on a cool September morning.


The global tanzanite market is only worth $50m
The drive from the nearest town, Arusha, was not too long, but the last stretch on a gravel road littered with ditches made the hairs on the back of my neck stand up.
Once we got to the mine, we were given an induction and a quick briefing on the safety rules. After that we were off to the actual shaft, where we were allocated overalls, helmets and yellow plastic boots.
When I saw the contraption that would carry us 460 metres (yards) below ground,...

 

10 years ago

Vijimambo

TUCTA WAIBUKA WASEMA LIWALO NA LIWE WAMECHOKA, UFISADI WA ESROW,TUCTA WAIBUKA WASEMA LIWALO NA LIWE WAMECHOKA SEMA HAPA KUJUA



Pichani ni Rais wa mpya chama cha Wafanyakazi nchi TUCTA Gration Mukoba picha na Maktaba
Na karoli Vinsent
CHAMA cha Wafanya kazi nchini (TUCTA) nao wamejitosa Kwa mara ya Kwanza kwenye sakata la Ufisadi wa zaidi ya bilioni 400 za kitanzania kwenye Akaunti ya Escrow na kusema chama hicho hakiwezi kukubaliana na ufisadi huo na kuitaka serikali kuwachukulia hatua kali ya watu wote waliohusika na wizi.
Na kama endapo Bunge pamoja na serikali hawatawachukulia hatua zozote Viongozi...

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

MVUTANO BAJETI



 Kamati ya Bunge yasema serikali haitaki kusikiliza ushauri  Yadaiwa haiumizi kichwa kusaka vyanzo vingine vya mapato  Yabanwa na kutakiwa kurejesha mikopo ya mifuko ya hifadhi
NA WAANDISHI WETU, DODOMA
UCHAMBUZI wa bajeti ya Serikali ya mwaka 2014/2015 uneonyesha kuwa mzigo wa matumizi ni mkubwa ikilinganishwa na vyanzo vya mapato.
Kauli hiyo ilitolewa jana na Mwenyekiti wa Kamati ya Bajeti ya Bunge, Andrew Chenge, alipokua akiwasilisha taarifa ya kamati yake bungeni.
Chenge alisema...

 

10 years ago

Michuzi

WAFANYAKAZI WA CHUO CHA UTALII NCHINI WAUNDA BARAZA LA WAFANYAKAZI.


Mkurugenzi wa Utawala na Usimamizi wa Rasiliamaliwatu(DHRN) wa Wizara ya Maliasili na Utalii,Said Msambachi akizungumza wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa Baraza la Wafanyakazi wa Chuo cha Utalii Tanzania, uliofanyika katika Kampasi ya Temeke jijini Dar es Salaam leo kwa niaba ya Katibu mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Adelhe Meru.  Afisa Mtendaji Mkuu wa Chuo cha Utalii Kampasi ya Bustani,  Rosada Musoma akizungumza katika ufunguzi wa Mkutano wa Baraza la wafanyakazi wa Chuo cha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani