Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mvuvuma kuivaa Abajalo Daraja la Pili leo

NA MWANDISHI WETU

KIVUMBI cha Ligi Daraja la Pili kinaendelea leo katika viwanja tofauti huku timu ya Mvuvuma FC ikiikaribisha Abajalo FC ya Tabora katika Uwanja wa Lake Tanganyika mkoani Kigoma.

Jumla ya timu 24 zitakuwa katika viwanja 12 tofauti kusaka nafasi nne za kupanda Ligi Daraja la Kwanza msimu ujao.

Ofisa Habari wa Shirikisho la Soka nchini (TFF), Baraka Kizuguto, alisema kuwa katika mchezo mwingine Transit Camp watacheza dhidi ya Mirambo FC katika Uwanja wa Kambarage, Shinyanga...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Man U sare na timu ya daraja la pili

Mkufunzi wa Manchester United Louis Van Gaal amesema kuwa kila kitu kilikwenda kinyume na matarajio ya timu hiyo

 

10 years ago

Mwananchi

Mbao FC yakamata usukani Ligi Daraja la Pili

Timu ya Mbao FC ya Mwanza imejikita kileleni msimamo wa Kundi B la Ligi Daraja la Pili (SDL) baada ya kuichapa JKT Rwamkoma ya Mara mabao 2-1 kwenye Uwanja wa CCM Kirumba juzi.

 

9 years ago

Africanjam.Com

NEW MUSIC: NIKKI WA PILI - DARAJA MBILI (Download)




Africanjam is website that came into service December 2013(with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into use. It was found by John Kapela who is currently in Dar es Salaam Tanzania. This site provides news from Africa and all over the world in Politics, Sports, Entertainment as well as Technology tips and some Amazing Facts. We also provide Football updates from all over the world. Visit this site everyday for being in touch with everything happening in...

 

10 years ago

Mwananchi

Tunaipongeza TFF kwa kurudisha daraja la pili

Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) imekubali mapendekezo ya Kamati ya Mashindano ya kurejesha Ligi Daraja la Pili (SDL) nchini.

 

10 years ago

Mwananchi

Wawili wafutiwa usajili wao Ligi Daraja la Pili

Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) imepitisha usajili wa Ligi Daraja la Pili (SDL) huku ikikata majina mawili ya wachezaji katika klabu za Abajalo ya Dar es Salaam na Magereza ya Iringa.

 

9 years ago

Habarileo

Madini yazidi kutesa ligi daraja la pili Arusha

TIMU ya soka ya Madini ya Arusha juzi iliendelea kuutumia vema uwanja wake wa nyumbani wa Mwalimu Nyerere uliopo wilayani Mbulu mkoani Manyara baada ya kuifunga Pamba ya Mwanza magoli 2-0 katika mchezo mkali wa ligi daraja la pili ngazi ya taifa.

 

9 years ago

StarTV

Ligi daraja la pili Wachezaji watakiwa kuzingatia nidhamu, shria na kanuni.

 

Wakati kipenga cha michuano ya ligi soka daraja la pili kikipangwa kuanza Jumapili hii katika viwanja mbalimbali nchini wachezaji wametakiwa kuzingatia nidhamu, sheria kanuni na taratibu zinazoongoza mpira wa miguu

Michuano hiyo inazishirikisha timu 24 na timu ya Alliance Sports Academy imepangwa kundi B pamoja na Bulyanhulu ya Shinyanga JKT Rwamkoma ya Mara AFC na Madini Fc zote za Arusha na Pamba Fc ya mwanza

 Star Tv imefika katika viwanja vya timu ya Alliance Sports Academy ili...

 

9 years ago

StarTV

Ligi daraja la pili Alliance Sports yaanza vema nyumbani  CCM Kirumba.

 

Hekaheka za kuwania nafasi ya kufuzu kuingia ligi daraja la kwanza Tanzania Bara zimeanza katika uwanja wa michezo wa CCM Kirumba kwa timu ya soka ya Alliance Sports  Academy ya Mwanza kumenyana na Madini Fc kutoka mkoani Arusha kwa kundi B

Mchezo huo uliokuwa wa ushindani mkubwa umemalizika kwa Timu ya Alliance kuibuka na ushindi wa bao 2-0 dhidi mpinzani wake  Madini  FC ya Arusha.

 Mchezo huo uliokuwa na ushangiliaji wa aina yake kwa mashabiki wa timu ya Alliance Sports Academy ya...

 

10 years ago

Vijimambo

IGP MANGU AFUNGA RASMI MAFUNZO YA UONGOZI WA MAGEREZA DARAJA LA PILI JIJINI DAR

Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini, IGP Ernest Mangu akikagua Gwaride Maalum lililoandaliwa na Wahitimu wa Mafunzo ya Uongozi wa Magereza Daraja la Pili ambayo yamefungwa rasmi leo Juni 22, 2015 katika Chuo cha Maafisa Magereza Ukonga, Jijini Dar es Salaam.Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini, IGP Ernest Mangu akimvisha cheo cha Mkaguzi Msaidizi wa Magereza Mhitimu wa Mafunzo ya Uongozi wa Magereza Daraja la Pili ambaye amefanya vizuri kwa upande wa Gwaride, Stafu Sajini Boniphace Felix. Mhitimu huyo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani