Tunaipongeza TFF kwa kurudisha daraja la pili
Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) imekubali mapendekezo ya Kamati ya Mashindano ya kurejesha Ligi Daraja la Pili (SDL) nchini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziMWIJAGE AIUNGA MKONO TIMU YA RAS KAGERA FOOTBALL CLUB KWA KUICHANGIA MILIONI MOJA ILI ISHIRIKI LIGI DARAJA LA PILI NGAZI YA KANDA
Na Faustine Ruta,Bukoba
Katika kutengeneza ajira kwa vijana na kuuendeleza mkoa wa Kagera kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo kutoka sehemu mbalimbali na ndani ya mkoa, Katibu Tawala wa Mkoa Bw. Nassor Mnabila aliamua kuanzisha timu ya mpira ya mkoa wa Kagera.
Madhumuni ya kuanzisha timu hiyo ni kuuleta mkoa wa Kagera pamoja, kutoa ajira kwa vijana wenye vipaji vya michezo aidha kuutangaza mkoa nje na ndani ya nchi kuhusu fursa za uwekezaji zinazopatikana ndani ya mkoa wetu wa Kagera.
10 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI CHARLES MWIJAGE AIUNGA MKONO TIMU YA RAS KAGERA FOOTBALL CLUB KWA KUICHANGIA MILIONI MOJA ILI ISHIRIKI LIGI DARAJA LA PILI NGAZI YA KANDA
10 years ago
BBCSwahili24 Jan
Man U sare na timu ya daraja la pili
10 years ago
BBCSwahili02 Feb
Ligi daraja la 1 kupata udhamini:TFF
9 years ago
Mtanzania28 Nov
Mvuvuma kuivaa Abajalo Daraja la Pili leo
NA MWANDISHI WETU
KIVUMBI cha Ligi Daraja la Pili kinaendelea leo katika viwanja tofauti huku timu ya Mvuvuma FC ikiikaribisha Abajalo FC ya Tabora katika Uwanja wa Lake Tanganyika mkoani Kigoma.
Jumla ya timu 24 zitakuwa katika viwanja 12 tofauti kusaka nafasi nne za kupanda Ligi Daraja la Kwanza msimu ujao.
Ofisa Habari wa Shirikisho la Soka nchini (TFF), Baraka Kizuguto, alisema kuwa katika mchezo mwingine Transit Camp watacheza dhidi ya Mirambo FC katika Uwanja wa Kambarage, Shinyanga...
9 years ago
Africanjam.Com![](http://4.bp.blogspot.com/-JQupduqY3tk/Vh5rK6xaqWI/AAAAAAAADtk/U8iuR6pd8NM/s72-c/artist_483172c8f7a2aa8c3c776baf641d5d2a16bc.jpg)
NEW MUSIC: NIKKI WA PILI - DARAJA MBILI (Download)
![](http://4.bp.blogspot.com/-JQupduqY3tk/Vh5rK6xaqWI/AAAAAAAADtk/U8iuR6pd8NM/s640/artist_483172c8f7a2aa8c3c776baf641d5d2a16bc.jpg)
Africanjam is website that came into service December 2013(with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into use. It was found by John Kapela who is currently in Dar es Salaam Tanzania. This site provides news from Africa and all over the world in Politics, Sports, Entertainment as well as Technology tips and some Amazing Facts. We also provide Football updates from all over the world. Visit this site everyday for being in touch with everything happening in...
10 years ago
Mwananchi29 Dec
Mbao FC yakamata usukani Ligi Daraja la Pili
9 years ago
Habarileo14 Dec
Madini yazidi kutesa ligi daraja la pili Arusha
TIMU ya soka ya Madini ya Arusha juzi iliendelea kuutumia vema uwanja wake wa nyumbani wa Mwalimu Nyerere uliopo wilayani Mbulu mkoani Manyara baada ya kuifunga Pamba ya Mwanza magoli 2-0 katika mchezo mkali wa ligi daraja la pili ngazi ya taifa.
10 years ago
Mwananchi13 Nov
Wawili wafutiwa usajili wao Ligi Daraja la Pili
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10