Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MWAKALINGA ATOA SIKU MBILI BARABARA KUKARABATIWA

 Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano,anayeshughulikia Sekta ya Ujenzi, Mbunifu Majengo, Elius Mwakalinga,akitoa maagizo kwa Meneja Wa TANROADS, Mkoa wa Mbeya, MhandisiEliazary Rweikiza (kulia), alipokuwa akikagua barabara ya Isyonje- Makete(Km 96.4). Barabara hiyo inaunganisha mkoa wa Mbeya na Njombe. Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano,anayeshughulikia Sekta ya Ujenzi, Mbunifu Majengo, Elius Mwakalinga,akifafanua jambo kwa kwa wawakilishi wa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Barabara zote za ndani kukarabatiwa Rais wa Ujerumani, Joachim Gauck akiwa na mwenyeji wake, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa

Mfuko wa Barabara Zanzibar umedhamiria kuzifanyia ukarabati barabara za ndani katika majimbo ya uchaguzi Unguja na Pemba ili kurahisisha huduma za usafiri.

 

10 years ago

Habarileo

Soko la Mchikichini kukarabatiwa

KAMPUNI ya Bia Tanzania (TBL) imejitolea kukarabati miundombinu ya maji iliyoharibiwa kutokana na ajali ya moto iliyotokea katika Soko la Mchikichini, lililoungua hivi karibuni na kusababisha hasara ya mamilioni ya fedha.

 

10 years ago

Michuzi

WANAFUNZI WA CHUO CHA UALIMU PATANDI WAZUIA BARABARA YA ARUSHA MOSHI KWA SAA MBILI


kamanda wa polisi mkoa wa ArushaHali ya Sintofahamu imeukumba mji wa Tengeru leo Asubuhi baada ya wanafunzi wa chuo cha ualimu Patandi Kufunga barabara kwa muda wa masaa mawili na kuacha shughuli za maendeleo kusimama kwa muda huku magari  ya abiria yanayokwenda katika mikoa ya Kilimanjaro,Tanga na Dar es salaam na mji mdogo wa usa river na maeneo mengine kupata adha hiyo.

Wanafunzi hao walizuia bara bara hiyo  wakishinikiza madai yao kusikiliza kwani wameshatoa malalamiko yao kwa uongozi...

 

10 years ago

Michuzi

MBUNGE WA MOROGORO MJINI ATOA WIKI MBILI KWA MTENDAJI WA KATA KURUDISHA FEDHA ZA WANANCHI

 Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini Mh Aziz Abood  Akiongea Kwa Msisistizo Akimtaka Mtendaji wa Kata ya Luhungo Iliyopo Mzee Makame Kai Kurudisha Fedha za Wananchi wa Kata Hiyo Shilingi Milioni 1.4 Ndani ya Muda wa Wiki Mbili lasivyo atangulie Polisi.Mh Mbunge Ametoa Kauli Hiyo katiaka ziara yake aliyoifanya kata ya Luhungo Kwajili ya Kusikiliza Kero za wananchi na Ndipo wakazi wa Kata Hiyo walipotoa Malalamiko kwa Mbunge wao Kuhusu Utendaji Mbovu wa Mtendaji wa Kata Hiyo Aliyefahamika kwa...

 

10 years ago

Habarileo

Kikwete kutembelea Ruvuma siku mbili

RAIS Jakaya Kikwete leo anatarajia kuanza ziara ya siku mbili mkoani Ruvuma, ikiwa ni mara yake ya mwisho kufanya ziara mkoani humo, kama Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

 

10 years ago

GPL

DIWANI WA KATA YA VIJIBWENI (CCM), ATOA PIKIPIKI MBILI KWA AJILI YA KUSAIDIA UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA

 Diwani wa Kata ya Vijibweni, Suleiman Mathew (wa tatu kushoto), akimkabidhi ufunguo wa moja kati ya pikipiki mbili, Katibu  wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wa Kata hiyo, Salum Kabenza Dar es Salaam leo, alizozitoa kwa ajili ya kusaidia uchaguzi wa viongozi wa Serikali za Mitaa katika kata hiyo ambao unatarajiwa kufanyika Disemba 14, 2014.
Wanachama wa CCM wa Kata ya Vijibweni wakiwa kwenye hafla hiyo ya makabidhiano...

 

10 years ago

GPL

DIWANI WA KATA YA VIJIBWENI ATOA PIKIPIKI MBILI KWA AJILI YA KUSAIDIA UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA‏

Diwani wa Kata ya Vijibweni, Suleiman Mathew (wa tatu kushoto), akimkabidhi ufunguo wa moja kati ya pikipiki mbili, Katibu  wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wa Kata hiyo, Salum Kabenza Dar es Salaam leo, alizozitoa kwa ajili ya kusaidia uchaguzi wa viongozi wa Serikali za Mitaa katika kata hiyo ambao unatarajiwa kufanyika Disemba 14, 2014.  Wanachama wa CCM wa Kata ya Vijibweni wakiwa… ...

 

9 years ago

BBCSwahili

Foleni ya magari yadumu siku mbili Mombasa

Maafisa wa trafiki Kenya wametumwa eneo la Taru kwenye barabara kuu ya kutoka Mombasa kwenda Nairobi baada ya foleni ndefu iliyodumu siku mbili kukwamisha usafiri.

 

11 years ago

Habarileo

Siku mbili na nusu kutumika kuapisha wajumbe

SHUGHULI ya kuapishwa wajumbe wa Bunge maalumu la katiba itachukua siku mbili na nusu kutokana na wajumbe hao kupinga kuapishwa kimakundi kama ilivyopendekezwa awali na kamati ya kanuni na sasa ataapishwa mjumbe mmoja mmoja.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani