Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Siku mbili na nusu kutumika kuapisha wajumbe

SHUGHULI ya kuapishwa wajumbe wa Bunge maalumu la katiba itachukua siku mbili na nusu kutokana na wajumbe hao kupinga kuapishwa kimakundi kama ilivyopendekezwa awali na kamati ya kanuni na sasa ataapishwa mjumbe mmoja mmoja.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

11 years ago

Mwananchi

Uwazi, faragha: Dhana mbili zinazotesa wajumbe Bunge la Katiba

>Bunge Maalumu la Katiba limekuwa likiendelea mjini Dodoma ambako hakuna shaka moto umewaka.

 

11 years ago

Dewji Blog

Yanayojiri Dodoma…Asilimia kubwa ya wajumbe waunga mkono Serikali mbili

1k

Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba ambaye pia ni Msemaji wa walio wachache wa Kamati namba saba Freeman Mbowe akitoa ufafanuzi wa maoni ya walio wachache leo mjini Dodoma. 

2d

Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba ambaye pia ni Msemaji wa walio wachache wa Kamati namba sita Ismail Jussa akitoa ufafanuzi wa maoni ya walio wachache leo mjini Dodoma. 

3

Mwenyekiti wa Kamati namba saba ya Bunge Maalum la Katiba Brigedia Jenerali Mstaafu Hassan Ngwilizi akiwasilisha maoni ya kamati yake leo mjini Dodoma...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Yanini kuadhimisha Siku ya Wanawake nusu utupu?

DUNIA imekuwa ikiadhimisha Siku ya Wanawake ambayo hufanyika Machi 8 ya kila mwaka. Siku hiyo imekuwa ikiadhimishwa kwa shughuli mbalimbali zinazowahusu wanawake moja kwa moja katika nyanja tofauti. Safari hii...

 

10 years ago

Mwananchi

Wananchi wakodi wakili kuapisha mwenyekiti

Baada ya subira ya wiki mbili ili wenyeviti na wajumbe Mtaa wa Migombani - Segerea, Dar es Salaam waapishwe na mamlaka husika bila mafanikio, wananchi wameamua kuwaapisha viongozi hao kwa kutumia wakili binafsi.

 

9 years ago

Habarileo

Kikwete kutembelea Ruvuma siku mbili

RAIS Jakaya Kikwete leo anatarajia kuanza ziara ya siku mbili mkoani Ruvuma, ikiwa ni mara yake ya mwisho kufanya ziara mkoani humo, kama Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

 

9 years ago

BBCSwahili

Foleni ya magari yadumu siku mbili Mombasa

Maafisa wa trafiki Kenya wametumwa eneo la Taru kwenye barabara kuu ya kutoka Mombasa kwenda Nairobi baada ya foleni ndefu iliyodumu siku mbili kukwamisha usafiri.

 

10 years ago

Mtanzania

Warusi wapewa siku mbili dili la Samatta

IMG-20150121-WA0022NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
BAADA ya mshambuliaji Mbwana Samatta kuvuka mtihani wa kwanza wa kusaka ulaji ndani ya timu ya CSKA Moscow ya Urusi, sasa timu hiyo imepewa siku mbili kati ya leo au kesho ihakikishe inamalizia taratibu za kumsajili.
Samatta hivi sasa anaendelea na mazoezi ndani ya kikosi cha timu hiyo inayoshiriki Ligi Kuu ya Urusi, ambapo gazeti hili ndilo lilikuwa la kwanza kuripoti taarifa za mshambuliaji huyo kutimkia nchini Hispania kusaka ulaji CSKA na timu nyingine...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani