Siku mbili na nusu kutumika kuapisha wajumbe
SHUGHULI ya kuapishwa wajumbe wa Bunge maalumu la katiba itachukua siku mbili na nusu kutokana na wajumbe hao kupinga kuapishwa kimakundi kama ilivyopendekezwa awali na kamati ya kanuni na sasa ataapishwa mjumbe mmoja mmoja.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL21 May
11 years ago
Mwananchi12 Mar
Uwazi, faragha: Dhana mbili zinazotesa wajumbe Bunge la Katiba
11 years ago
Dewji Blog14 Apr
Yanayojiri Dodoma…Asilimia kubwa ya wajumbe waunga mkono Serikali mbili
Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba ambaye pia ni Msemaji wa walio wachache wa Kamati namba saba Freeman Mbowe akitoa ufafanuzi wa maoni ya walio wachache leo mjini Dodoma.
Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba ambaye pia ni Msemaji wa walio wachache wa Kamati namba sita Ismail Jussa akitoa ufafanuzi wa maoni ya walio wachache leo mjini Dodoma.
Mwenyekiti wa Kamati namba saba ya Bunge Maalum la Katiba Brigedia Jenerali Mstaafu Hassan Ngwilizi akiwasilisha maoni ya kamati yake leo mjini Dodoma...
11 years ago
Tanzania Daima14 Mar
Yanini kuadhimisha Siku ya Wanawake nusu utupu?
DUNIA imekuwa ikiadhimisha Siku ya Wanawake ambayo hufanyika Machi 8 ya kila mwaka. Siku hiyo imekuwa ikiadhimishwa kwa shughuli mbalimbali zinazowahusu wanawake moja kwa moja katika nyanja tofauti. Safari hii...
10 years ago
Mwananchi20 Jan
Wananchi wakodi wakili kuapisha mwenyekiti
9 years ago
Habarileo20 Oct
Kikwete kutembelea Ruvuma siku mbili
RAIS Jakaya Kikwete leo anatarajia kuanza ziara ya siku mbili mkoani Ruvuma, ikiwa ni mara yake ya mwisho kufanya ziara mkoani humo, kama Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
9 years ago
BBCSwahili19 Nov
Foleni ya magari yadumu siku mbili Mombasa
10 years ago
Mtanzania22 Jan
Warusi wapewa siku mbili dili la Samatta
NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
BAADA ya mshambuliaji Mbwana Samatta kuvuka mtihani wa kwanza wa kusaka ulaji ndani ya timu ya CSKA Moscow ya Urusi, sasa timu hiyo imepewa siku mbili kati ya leo au kesho ihakikishe inamalizia taratibu za kumsajili.
Samatta hivi sasa anaendelea na mazoezi ndani ya kikosi cha timu hiyo inayoshiriki Ligi Kuu ya Urusi, ambapo gazeti hili ndilo lilikuwa la kwanza kuripoti taarifa za mshambuliaji huyo kutimkia nchini Hispania kusaka ulaji CSKA na timu nyingine...