Wananchi wakodi wakili kuapisha mwenyekiti
Baada ya subira ya wiki mbili ili wenyeviti na wajumbe Mtaa wa Migombani - Segerea, Dar es Salaam waapishwe na mamlaka husika bila mafanikio, wananchi wameamua kuwaapisha viongozi hao kwa kutumia wakili binafsi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi19 Jan
Mwenyekiti Serikali ya Mtaa Segerea aapishwa na wakili binafsi
10 years ago
Mwananchi19 May
Wakodi wanaume kutoka Kenya
11 years ago
Habarileo13 Mar
Siku mbili na nusu kutumika kuapisha wajumbe
SHUGHULI ya kuapishwa wajumbe wa Bunge maalumu la katiba itachukua siku mbili na nusu kutokana na wajumbe hao kupinga kuapishwa kimakundi kama ilivyopendekezwa awali na kamati ya kanuni na sasa ataapishwa mjumbe mmoja mmoja.
10 years ago
Mtanzania20 Jan
Wananchi wamwapisha mwenyekiti wa mtaa
NA OLIVER OSWALD, DAR ES SALAAM
WANANCHI wa Kata ya Migombani, Jimbo la Segerea Wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam, jana walimwapisha Japhet Kembo wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kuwa mwenyekiti mpya wa Mtaa wa Migombani, wakidai ndiye mshindi halali wa nafasi hiyo katika uchaguzi wa serikali za mitaa uliofanyika Desemba mwaka jana.
Sambamba na hilo pia wananchi hao waliwaapisha wajumbe watano wa kamati ya mtaa huo, ambao ni Rose Mhagama, Flora Nyangeta, Angelo Machunda,...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bGawF3RRkad9vGsycPREucNhuBwpOp7UPFXvjhTH9qog3BNg0VulM5xqqIWvu7PK9HmWF3JfEqXLKhRsuY5W6owP3V0QuKjl/16703180348e11e5ab87038f9c78dca6_heroNickiMinajMeekMill072715.jpg)
NICKI NA MEEK MILL WAKODI UKUMBI KUTAZAMA MUVI
10 years ago
Mwananchi15 Dec
Wananchi wamsimika ‘mwenyekiti’ wao kibabe
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-KmEZK3uDRHI/VMZyc0nUGFI/AAAAAAAAM5o/391cb9-QvlA/s72-c/IMG-20150126-WA0033.jpg)
MWENYEKITI WA BAVICHA TAIFA CHADEMA AWAHUTUBIA WANANCHI
![](http://4.bp.blogspot.com/-KmEZK3uDRHI/VMZyc0nUGFI/AAAAAAAAM5o/391cb9-QvlA/s640/IMG-20150126-WA0033.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-mNSYOex0h8I/VMZydChCucI/AAAAAAAAM5s/94QaMrAFvSA/s640/IMG-20150126-WA0034.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-PHKLzrzCKko/VMZydPzGpgI/AAAAAAAAM5w/KIh5-jkCjig/s640/IMG-20150126-WA0035.jpg)
Wananchi wa wilaya ya mufindi mkoani Iringa wamelalamikia ugumu wa...
11 years ago
Mwananchi30 May
Kinana aagiza wananchi kumbana mwenyekiti wao
10 years ago
Tanzania Daima24 Oct
Wananchi wamshitaki mwenyekiti wao kwa mbunge
WAKAZI wa Kijiji cha Kongogo wilayani hapa mkoani Dodoma, wamemshitaki Mwenyekiti wa Kijiji hicho, Daudi Husein kwa Mbunge wao, Omar Badwel (CCM), kwa madai ya kujigeuza Mungu mtu katika utendaji...