Mwalimu ampiga mwandishi
Mwandishi wa Mwananchi, Tumaini Msowoya jana alipigwa ngumi kadhaa kichwani na mwalimu wa Shule ya Sekondari Kitunda wakati akitekeleza majukumu yake ya kazi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi12 Apr
msaada tutani: mwalimu wa kiswahili sweden anatafuta mwalimu mwenzie kubadilishana nondo
Kwa mawasiliano nitumie email.
11 years ago
Michuzi10 Jul
Mwalimu Dodoma matatani kwa tuhuma za kuua mwalimu mwenzake kisa deni la buku moja
11 years ago
Mwananchi23 Jul
Mwalimu adaiwa kumuua mwalimu mwenzake Kagera
11 years ago
Mwananchi02 Jan
Miyeyusho ampiga Mkenya KO
10 years ago
Raia Tanzania06 Jul
Kikwete ‘ampiga’ kijembe Lowassa
KATIKA hali ambayo ni nadra kujitokea, Rais Jakaya Kikwete, amewataka viongozi wa dini nchini ‘kulima mraba’ wao vizuri ili kulisaidia taifa, ikiwa ni pamoja na kutowapa nafasi viongozi wa siasa kutumia majukwaa ya dini kuendeleza maslahi yao ya kisiasa, na hasa kupandikiza chuki katika jamii.
Kikwete ambaye katika hotuba yake hiyo hakutaja jina la mtu yeyote, lakini kauli yake hiyo inaweza kuhusishwa na Waziri Mkuu aliyejiuzulu kwa kashfa ya kampuni tata ya kufua umeme ya Richmond,...
9 years ago
Mwananchi06 Sep
Lusinde ampiga kijembe Mbatia
10 years ago
BBCSwahili16 Jun
Museveni ampiga vijembe Mbabazi
10 years ago
Mtanzania18 Mar
Nyalandu ampiga kijembe Kinana
Na Veronica Romwald, Dar es Salaam
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu jana alionekana kumpiga kijembe Katibu MKuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana aliposema kuwa sasa atakuwa anazurura angani.
Nyalandu alitoa kauli hiyo Dar es Salaam alipozindua ndege nyepesi (Micro-Light, 5H – Hel), ambayo itatumika kupambana na ujangili katika Hifadhi ya Taifa ya Selous.
“Karibuni wote, leo tunazururia hapa uwanja wa ndege na ninazindua ndege hii nyepesi ambayo imetengenezwa...
10 years ago
GPLMLELA AMPIGA DONGO NORA