Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MWALIMU HOSEA DANIEL KUTOKA FOLUMA TUITION CENTRE AELEZA UMUHIMU WA MASOMO YA ZIADA.

Pichani ni Mwalimu Hosea Daniel kutoka Kituo cha Masomo ya Ziada (Tuition) kiitwacho Foluma Tuition Centre kilichopo Tarime Mkoani Mara akiwa darasani.Kituo cha Masomo ya Ziada (Tuition) Foluma Tuition Centre kilichopo Bomani-Tarime Mkoani Mara ni mkombozi kwa wanafunzi wa darasa la awali pamoja na wanafunzi wa shule za Msingi na Sekondari wakati wa likizo.Kutana na Mwl.Hosea Daniel, Madam Elizabeth Daniel, Mwl.Evance Malaba pamoja na Mwl.Malima Mjinja kwa maendeleo ya mwanao kielimu.KWA...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Masomo ya ziada yana nafasi katika maendeleo ya mwanao shuleni

Kama mzazi au mlezi umewahi kufikiri umuhimu wa kumwanzisha mtoto wako kwenye mapango wa masomo ya ziada.

 

11 years ago

Habarileo

Waziri aeleza umuhimu wa Ukimwi kwenye mitaala

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema upo umuhimu wa masuala ya Ukimwi kuingizwa katika mitaala shule za msingi pamoja na vyuo vya madrasat.

 

11 years ago

Michuzi

Masele aeleza umuhimu wa sayansi Afrika, ataka vijana kushirikishwa katika maamuzi

Na Asteria Muhozya, Dar es Salaam Naibu Waziri wa Nishati na Madini anayeshughulikia Madini, Stephen Masele amesema kuwa bara la Afrika linahitaji taaluma ya sayansi kutokana na umuhimu wake kwa maendeleo na ukuaji wa uchumi. Masele ameyasema hayo jijini Dare es Salaam wakati akifunga Mkutano wa Tatu wa Vijana Wanasayansi Duniani (YES), na kuongeza kuwa, Afrika inahitaji sayansi kwa ajili ya kufanya ugunduzi na tafiti ambazo zitachangia katika kuchochea maendeleo barani Afrika. Aliongeza...

 

10 years ago

Michuzi

10 years ago

Daily News

Mkapa inaugurates Mwalimu Nyerere Centre


Mkapa inaugurates Mwalimu Nyerere Centre
Daily News
FORMER President Benjamin Mkapa on Wednesay officially launched the Mwalimu Nyerere Centre (NRC) housed at the Commission for Science and Technology (COSTECH) in Dar es Salaam. The event will also include a two-day exhibition of photographs ...

 

10 years ago

Michuzi

COSTECH TO ESTABLISH MWALIMU NYERERE RESOURCE CENTRE

Tanzania Commission for Science and Technology (COSTECH) and Rosa Luxemberg-Stiftung Tanzania have signed an agreement to establish the Mwalimu Nyerere Resource Centre in Dar es Salaam.
The Centre according to the Agreement inked in the city on Monday,is a semi-autonomous body under COSTECH with own organs of governance and full authority to run its programmes.
The Agreement also stipulates that the Centre will provide a forum to organize conferences, seminars and other opportunities for...

 

10 years ago

Dewji Blog

Hongera Mwalimu Dr. Nelson Ishengoma kwa kuhitimu masomo ya Shahada ya Udaktari

ishew

Dr Nelson Ishengoma akiwa katika pozi mara baada ya kutunukiwa shahada yake ya udaktari katika Mahafali ya Tano ya Chuo Kikuu Cha Dodoma (UDOM) yaliyofanyika jana katika viwanja vya Chimwaga vilivyopo Chuoni hapo.

 Hongera sana Mwalimu wangu na sasa Mwanzo wa Jina linaanza na Dr. Sio kazi rahisi lakini Mungu ameweza kukusimamia na kukuongoza. Nakuombea kwa Mungu ufanikiwe zaidi na zaidi. Kutoka Kwa Mwanafunzi wako  Josephat Lukaza.

 

10 years ago

Michuzi

HONGERA MWALIMU WANGU DR NELSON ISHENGOMA KWA KUHITIMU MASOMO YA SHAHADA YA UDAKTARI

Dr Nelson Ishengoma akiwa katika pozi mara baada ya kutunukiwa shahada yake ya udaktari katika Mahafali ya Tano ya Chuo Kikuu Cha Dodoma (UDOM) yaliyofanyika jana katika viwanja vya Chimwaga vilivyopo Chuoni hapo. Hongera sana Mwalimu wangu na sasa Mwanzo wa Jina linaanza na Dr. Sio kazi rahisi lakini Mungu ameweza kukusimamia na kukuongoza. Nakuombea kwa Mungu ufanikiwe zaidi na zaidi. 
Kutoka Kwa Mwanafunzi wako  Josephat Lukaza

 

10 years ago

Michuzi

semina kubwa ya neno la Mungu kutoka kwa DANIEL MOSES KULOLA -DALLAS TEXAS,

Napenda kupitia blog hii ya jamii kuwakaribisha watu wote katika jiji hili la Dallas,Texas katika semina kubwa ya neno la Mungu itakayofanyika katika jiji letu. Mtumishi wa Mungu anaeheshimika ndani na nje ya nchi yetu Dr.Daniel Moses Kulola ndie atakae tuhudumia. 
Daniel Kulola ni mtoto wa marehemu mzee Moses Kulola,mtumishi ambae ametoa mchango mkubwa  sana wa injili katika Taifa letu kabla hajaenda kukaa na Bwana. Ili kuhakikisha kila mtu anapata nafasi ya kuhudhuria semina hii; kanisa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani