Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MWALIMU MWAKASEGE-SOMO LA UONGOZI

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MANA CONFERENCE THIS WEEKEND: MWALIMU MWAKASEGE NA DIANA MWAKASEGE WATAKUA DMV


Friday 6pm to 10pmSaturday 8am to 10pm Sunday 8am to 1pm
Please call the number on the flier for more information 

 

5 years ago

Michuzi

MKWIRU AIPA SOMO LA UFUGAJI NYUKI NA MIZINGA SEKONDARI YA MWAMBISI-MWALIMU SIMBA

NA MWAMVUA MWINYI,KIBAHA
Shule ya sekondari Mwambisi ,Kongowe Kibaha mkoani Pwani ,imebuni mradi wa ufugaji nyuki na mizinga kwa ajili ya asali ili kujipatia kipato pamoja na kufundisha wanafunzi somo la stadi za maisha kupitia mradi huo.

Aidha shule hiyo, inatunza mazingira kwa kupanda miti maeneo ya shule na kuotosha miche ya miti mbalimbali ambapo kwa mwaka huu wameotesha miche 10,000.

Akizungumzia ubunifu huo ,mwalimu mkuu wa shule ya sekondari Mwambisi Joseph Simba alisema ,kwasasa...

 

10 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE KUZINDUA KOZI YA UONGOZI NA MAADILI YA CHUO CHA MWALIMU NYERERE.

 Mhadhiri wa Chuo Cha Kumbukumbu cha Mwalimu Nyerere,Shadrack Mwakalila akizungumza na waandishi wa habari  (hawapo pichani) juu ya kozi ya uongozi na maadili ya chuo hicho ,Kushoto ni Mhadhiri Msasidizi wa Chuo Cha Kumbukumbu cha Mwalimu Nyerere,Amon Katunzi iliyofanyika leo jijini Dar es Salaam.(Picha na Emmanuel Massaka)  
Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii.
Rais Dk.Jakaya Kikwete anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa kozi ya uongozi na maadili iliyoanzishwa na Chuo cha Kumbukumbu...

 

10 years ago

GPL

CHUO CHA KUMBUKUMBU YA MWALIMU NYERERE CHAIOMBA SERIKALI KUPELEKA VIONGOZI WAKE KUSOMEA MAFUNZO YA MAADILI NA UONGOZI‏

Mkuuu wa Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere, Profesa, Shadrack Mwakalila. Makamu Mkuu wa Chuo hicho, Dk. Thomas Ndaluka. Ofisa Uhusiano wa Chuo cha Kumbukumbu ya  Mwalimu ya Mwalimu Nyerere, Evelyne…

 

10 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE AZINDUA KOZI MAALUMU YA MAADILI NA UONGOZI, AMSIMIKA MZEE MSEKWA KUWA MWENYEKITI WA KIBWETA CHA MWALIMU NYERERE


 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akizindua kitabu cha Programu ya Uongozi na Maadili  katika Chuo cha Kumbukumbu ya Nyerere Kigamoni jijini Dar es salaam leo. Kushoto kwake  ni Waziri wa Elimu Dkt Shukuru Kawambwa na kulia kwake ni Mkuu wa Chuo hicho Profesa Shadrack Mwakalila.  Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimsimika rasmi Mzee Pius Msekwa kuwa Mwenyekiti wa Kibweta cha Mwalimu Nyerere cha Uongozi na  Maadili wakati wa uzinduzi wa Kozi Maalum ya Maadili na Uongozi katika Chuo cha Kumbukumbu ya...

 

10 years ago

Vijimambo

Fellowship na Mwl.Mwakasege NC

Fellowship with Mwl. Mwakasege in NC ! Tunapenda kuwakaribisha kwenye fellowship ambapo Mwl Christopher na Diana Mwakasege watazumgumza . Muda: 4pm. Mahali: Millenium Hotel  2800 Campus Walk Avenue  Durham NC 27705.  Wote Mnakaribishwa !!          

 

10 years ago

Michuzi

msaada tutani: mwalimu wa kiswahili sweden anatafuta mwalimu mwenzie kubadilishana nondo

Mimi ni mwalimu wa Kiswahili Sweden natafuta mwalimu yoyote anayefundisha kiswahili hapa ili tuweze badilishana materials. Nashindwa kufundisha kwa ufasaha vile sijapata mwenzangu.Email yangu ni linda.johansson5@kungsbacka.se
Kwa mawasiliano nitumie email.

 

10 years ago

Vijimambo

Gospel Seminar with Mwl. Mwakasege

On behalf of Mana Ministries (USA), the DMV organizing committee would like to invite you, your family members and your friends to a Gospel Seminar which will take place from 29th May to 31st May 2015. The guest speaker will be Mwl. Christopher Mwakasege from Mana Ministries Tanzania.

Seminar time: Friday 29th May 17.00hrs to 22.00hrs
Saturday 30th May 08.00hrs to 22.00hrs
Sunday 31st May 08.00hrs to 15.00hrs

Venue

National 4-H...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani