Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwalimu Nyerere hints at intention of not contesting in 1980 polls

Mwalimu Nyerere hints at intention of not contesting in 1980 polls  The Citizen Daily

The Citizen Daily

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

The Citizen Daily

Election petitions rock 1980 polls

Election petitions rock 1980 polls  The Citizen Daily

 

10 years ago

Tanzania Daima

Tunakukumbuka Mwalimu Nyerere

LEO Tanzania inaadhimisha miaka 15 ya kifo cha Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere, aliyefarikidi dunia 14/10/1999 nchini Uingereza. Kwa namna ya pekee tunawatakia Watanzania wote maazimisho mema, lakini kubwa kuliko...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere

Tanzania inaadhimisha kumbukumbu ya miaka 15 tangu kufariki kwa mwasisi wa taifa hilo marehemu Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mwalimu Nyerere hatotoweka

KADI yangu ya chama cha TANU Na.C.875903 ya 20.04.1971, tawi la Bank-NBC- Dar es Salaam, na pia kumbukumbu yangu ya kuwa mwanachama wa kikundi cha ‘Tanu Youth League’ tokea 1968...

 

10 years ago

Michuzi

SHIWATA kumuenzi Mwalimu Nyerere

MTANDAO wa Wasanii Tanzania (SHIWATA) umeandaa ibada maalum ya kumkumbuka Baba wa taifa, Hayati Mwalimu Julius Nyerere itakayofanyika katika mashamba yao yaliyopo kijiji cha Ngarambe, Mkuramga mkoa wa Pawani.
Mwenyekiti wa SHIWATA, Cassim Taalib alisema jana kuwa katika ibada hiyo itaongozwa na Shekhe wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Musa Salum kwa upande wa Waislam na Padri John Solomon kwa upande wa Wakristo.
Taalib alisema katika ibada hiyo Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga, Mercy Silla na...

 

10 years ago

Mtanzania

Zitto amtumia Mwalimu Nyerere

nyerereNa Bakari Kimwanga, Morogoro
KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, amesema Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, aliugeuza Mkoa wa Morogoro kuwa wa viwanda lakini kushindwa kusimamiwa kwa sera zake na viongozi wa Serikali iliyoko madarakani kumesababisha wananchi wake kubaki maskini.
Kauli hiyo aliitoa jana mjini hapa alipohutubia mkutano wa hadhara uliofanyika katika Uwanja wa Ndege mjini hapa.
Alisema ndiyo maana ACT- Wazalendo inaamini katika misingi ya Nyerere inayoleta usawa wa...

 

11 years ago

Habarileo

Waliomtusi Mwalimu Nyerere watubu

WABUNGE wanaodaiwa kumkashifu Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Julius Nyerere wakati wa Bunge Maalumu la Katiba, wamempigia simu Mama Maria Nyerere kumuomba msamaha, kutokana na maneno ya kashfa ndani ya bunge hilo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani