MWANA-DIASPORA ANGARA KWENYE TAMASHA LA ELIMU DODOMA APEWA ALAMA YA DOLA GUMBA NA MHE. RAISI.
Mwana-daispora Walter anayeishi katika jiji la San Francisco - California akitoa maelezo mafupi kwa mweshimiwa raisi wa Jamuhuri ya Mungano wa Tanzania Mhe. Jakaya Kikwete kuhusu shughuli za organization yao (Powering Potential). Mdau Walter ni mwanadiaspora yuko Tanzania kuhudhuria Tamasha la Elimu lilofanyika mjini Dodoma kuanzia tarehe 11-15 May 2015.
Mwana-diaspora Walter akiendelea kumwelekeza mheshimiwa raisi Jakaya Kikwete jinsi gani tekinolojia ya kompyuta ambayo...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi05 Sep
KATIBU MKUU OFISI YA RAISI ZANZIBAR, MHE. SALUM MAULID AFUNGA MKUTANO WA TANZANIA DIASPORA BUSINESS CONVENTION 2015 NCHINI UINGEREZA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Hq2Or6ttIbc/VVRc_qDquWI/AAAAAAAHXNA/3pqmVOfTgvc/s72-c/unnamed%2B(64).jpg)
Waziri wa Elimu atembelea Banda la Mamlaka ya Elimu Tanzania kwenye maonyesho ya Elimu mjini Dodoma
![](http://4.bp.blogspot.com/-Hq2Or6ttIbc/VVRc_qDquWI/AAAAAAAHXNA/3pqmVOfTgvc/s640/unnamed%2B(64).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-oZo5j12lsyU/UyZl0jDUjqI/AAAAAAAAG1I/63tBzF9UxyM/s72-c/Makulilo.jpg)
mwana-Diaspora Boniface Makulilo azungumzia maisha katika jeshi la Marekani kwenye kipindi cha NJE-NDANI
![](http://1.bp.blogspot.com/-oZo5j12lsyU/UyZl0jDUjqI/AAAAAAAAG1I/63tBzF9UxyM/s1600/Makulilo.jpg)
Jeshi la Maji la Marekani (Navy) Mtanzania Boniface Makulilo ametumikia Jeshi la Maji (NAVY) hapa Marekani kwa miaka miwili na sasa ni mwanajeshi mstaafu (Veteran) Amezungumza na Mubelwa Bandio wa Jamii Production kuhusu maisha yake ya jeshini na namna ambavyo watu toka nje ya nchi wanaweza kunufaika na mafao yaliyopo jeshini. Ameeleza mengi ya manufaa ambayo wengi hatuyajui kuhusu maisha katika jeshi hilo. Karibu uungane...
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-sH3mkf-UXIA/VdsbK2duczI/AAAAAAAADR4/k94FqmGbvnM/s72-c/GILBERT%2BCHADEMA.jpg)
FIRM: CONFIRMED: BEYOND THE REASONABLE DOUBT: MWANA DIASPORA KUELEKEA BUNGENI KWA SAUTI YA DIASPORA
![](http://3.bp.blogspot.com/-sH3mkf-UXIA/VdsbK2duczI/AAAAAAAADR4/k94FqmGbvnM/s640/GILBERT%2BCHADEMA.jpg)
Ndugu zangu wana Diaspora; Nimeanza kazi ya kutengeneza vipeperushi na harakati nyingine za kampeni. Tunatarajia kuzindua kampeni Jumapil August, 30, 2015. Leo nimetengeneza vipeperushi vya kuvaa shingoni 500 kwa Tsh 400/= each. Vinahitajika atleast 20,000. Nimetengeneza 16 vikubwa vya kuweka kwenye magari, Tsh 6250/= each. Jimbo ni kubwa sana; lina wapiga kura 143,189.
Kwa leo nimetumia Tsh 300,000/= kwa vipeperushi 500 vya shingoni na 16 vikubwa kwaajili ya kuweka kwenye magari. Vya...
10 years ago
Dewji Blog20 Oct
Tigo yazidi kuwapagawisha wananchi wa Dodoma kwenye Tamasha la Welcome Pack
Msanii Emmanuel Simwinga maarufu Izzo Business akipiga bonge la shoo kwenye Tamasha la Tigo Welcome Pack uwanja wa Jamhuri Mkoani Dodoma. Kifurushi cha welcome pack kinatoa muda wa maongezi wa dakika 20, MB175, sms bila kikomo na shilingi mia 500 kwenye akaunti yake ya tigopesa, yote hayo kwa shilingi 1000 mteja atakaponunua laini yake ya Tigo.
Wasanii wa Original Komedi wakiwapa burudani wananchi waliojitokeza kwenye uzinduzi wa welcome pack kwenye uwanja wa Jamhuri Mkoani Dodoma mwishoni...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-OiLSf5KrRvE/VcxdaWlRjpI/AAAAAAAD3H4/mYueyzMgT8A/s72-c/898eff182bcd19f96236a36c848e86a5.jpg)
DIASPORA KUTOKA MAREKANI WAWAKILISHA KWENYE KONGAMANO LA DIASPORA DAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-OiLSf5KrRvE/VcxdaWlRjpI/AAAAAAAD3H4/mYueyzMgT8A/s640/898eff182bcd19f96236a36c848e86a5.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-xdKQKD08vQA/VcxddSoY7QI/AAAAAAAD3IA/QE4kqVtN2iA/s640/d2b02c49f75871e06147388c0fbefaf9.jpg)
10 years ago
BBCSwahili07 Nov
Rais masikini zaidi apewa dola milioni 1
10 years ago
MichuziMHE. CHIKU GALLAWA AMEFANYA ZIARA YA UKAGUZI KWENYE MACHINJIO YA KISASA KIZOTA MKOANI DODOMA
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-W6T_3NJVUIA/U9OVWJRMcBI/AAAAAAAF6jA/j2SMuWDURBU/s72-c/Bahati-Bukuku.jpg)
MUIMBAJI WA INJILI BAHATI BUKUKU APATA AJALI DODOMA AKIELEKEA KAHAMA KWENYE TAMASHA
![](http://4.bp.blogspot.com/-W6T_3NJVUIA/U9OVWJRMcBI/AAAAAAAF6jA/j2SMuWDURBU/s1600/Bahati-Bukuku.jpg)
Mwimbaji wa Nyimbo za Injili Bahati Bukuku akiwa kwenye moja ya kazi zake ya uimbaji.
Na: Sylvester Onesmo wa Jeshi la Polisi Dodoma.
Gari lenye namba IT 7945 aina ya Toyota Nadia ikiendeshwa na EDSON S/O MWAKABUNGU, Mnyakyusa, Miaka 31 mkazi wa Tabata – Dar es Salaam liliacha njia na kugonga gema na kusababisha majeruhi kwa watu watatu baada ya kugongwa na gari lingine linalosadikiwa kuwa ni Fuso.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME – SACP...