Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwana Fa anogesha hafla ya miaka 250 ya Hennessy‏

Mwana FA akiimba.Dj aliyekuwepo kwenye hafla hiyo akifanya yake. Madam Ritha Paulsen akiwa na Mwana FA pamoja na Mmiliki wa Oasis Baa, Nuru mosha Akiendelea kuimba huku akiwa na chupa yake ya Hennessy Mheshimiwa Zitto pia alikuwapo Chupa ya Hennessy 250 Collectors blend iliyotengenezwa maalum kusherekea miaka 250 ya kinywaji hicho. Kwa ndani kulikuwa na eneo lilikowekwa picha mbalimbali kuhusiana na historia ya kinywaji hicho Wageni waliojumuika pamoja siku hiyo.

Global Publishers

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

HENNESSY’S 250 years exhibition at Oasis Bar Masaki

The owner of Oasis Bar and Lounge Nuru Mosha clarifying something to journalists at the The Hennessy 250’s Exhibitions. 

Some pictures related to Hennessy.

IMG_4449

The Amazing Hennessy bottle

Some paints related to Hennessy.

The event was accompanied by live music.

The Hennessy’ s bar at Oasis Masaki.

By Staff Reporter

The four-day exhibition to mark the 250 years of Hennessy was launched in Dar es Salaam this Monday,  at Oasis Bar, Masaki and it has attracted many people...

 

10 years ago

Vijimambo

WAZIRI MKUU ANOGESHA HAFLA YA KUCHANGIA MADAWATI, JIJINI DAR

 Waziri Mkuu Mizengo Pinda wa tatu kutoka kulia akibonyeza namba ya simu kwa ajili ya kuchangia madawati 6000 ya wanafunzi wenye ukosefu  wa madawati nchini katika hafla ya chakula cha jioni iliyoandaliwa  na Hassan Maajar Trust yenye lengo la kukusanya Sh. milioni 500 ili kununua vifaa hivyo  iliyofanyika jana kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dares Salaam. Waziri Mkuu Mizengo Pinda (kulia ) akiangalia moja ya mfano wa dawati katika hafla ya chakula cha jioni iliyoandaliwa na Hassan...

 

10 years ago

GPL

ISHA MASHAUZI ANOGESHA USIKU WA MWANA DAR LIVE

Isha Mashauzi na kundi lake la Mashauzi Classic wakilishambulia jukwaa la Dar Live usiku huu katika shoo ya Mwana Dar Live. Isha Mashauzi akifanya yake…

 

5 years ago

CCM Blog

KAMPUNI YA BARRICK YAILIPA SERIKALI BILIONI 250, WAZIRI WA FEDHA AHUTUBIA HAFLA HIYO


Na Farida Ramadhani na Josephine Majura
KAMPUNI ya Barrick imeilipa Tanzania dola milioni 100, sawa na takriban sh. bilioni 250, ikiwa ni sehemu ya malipo ya dola milioni 300 ambazo Kampuni hiyo ya Madini ilikubali kulipa kama fidia ya kodi.
Mfano wa Hundi ya kiasi hicho cha fedha imekabidhiwa na Meneja Mkazi wa Kampuni ya Barrick, Bw. Hilaire Diarra kwa Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango, kwa niaba ya Serikali, Jijini Dodoma leo Mei 26, 2020.
Akizungumza baada ya kupokea...

 

5 years ago

CCM Blog

MAMA SAMIA ANOGESHA MADHIMISHO MIAKA 43 YA CCM MKOA WA PWANI

 Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM na Mlezi  wa CCM Mkoa wa Dar es salaam na Pwani ambae pia ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akionesha Fedha Taslim Shilingi Milioni Tano alizochangia kwenye ujenzi wa JENGO LA ccm Mkoa wa Pwani wakati wa Harambee iliyofanyika leo Febuari 15,2020 kwenye  Maadhimisho ya Miaka 43 ya CCM Mkoa wa Pwani  leo Febuari 15,2020 katika Uwanja wa sabasaba Mjini kihaba ambapo Jumla ya Shilingi Milioni...

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Hennessy yasherehekea miaka 250 ya mafanikio Jburg

WATANZANIA watatu ni miongoni mwa waalikwa wa sherehe za kutimiza miaka 250 ya mafanikio ya kuanzishwa kwa kinywaji maarufu kutoka Ufaransa, Hennessy, sherehe ambayo iliyofanyika Johannesburg, Afrika Kusini hivi karibuni. Nas and CEO wa Hennessy Bernard Peillon kwenye Gala dinner New York kabla ya kuja Johannesburg Miongoni mwa washiriki hao ambao pia walijumuika katika kuonja […]

 

11 years ago

Dewji Blog

Hafla ya Miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania yafana Viwanja vya Ikulu

1

Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Dr. Jakaya Mrisho Kikwete na Rais wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar Dr. Ali Mohamed Shein wakikata keki katika sherehe ya Miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ulioasisiwa na Mwalimu J.K.Nyerere na Mzee Abeid Amani Karume Aprili 26 mwaka 1964 hafla hiyo iilifanyika jana kwenye viwanja vya Ikulu na kuhudhuriwa na Makamu wa Rais Dr. Gharib Bilal, Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar Seif Ali Idd, Waziri Mkuu Tanzania Mh. Mizengo Pinda na viongozi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Waomba mwana Wade afungwe miaka 7 jela

Wanedsha mashtaka wameomba mwana wa aliyekuwa rais wa senegal ahukumiwe kifungo cha miaka saba kutokana na madai ya ufisadi

 

11 years ago

GPL

HAFLA YA MIAKA 50 YA MUUNGANO WA TANZANIA YAFANA VIWANJA VYA IKULU‏ JIJINI DAR

  Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Dr. Jakaya Mrisho Kikwete na Rais wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar Dr. Ali Mohamed Shein wakiwalisha keki wake zao katika hafla hiyo. Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Dr. Jakaya Mrisho Kikwete na Rais wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar Dr. Ali Mohamed Shein wakikata keki katika…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani