Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwanaanga apiga ‘wrong number’ kutoka angani

Mwanaanga Tim Peake ameomba msamaha baada ya kupiga nambari ya simu isiyo sahihi kutoka anga za juu.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

TASWIRA ZA UDOM KUTOKA ANGANI

 Taswira za University of Dodoma (UDOM) kutoka angani. Ukitaka mengi toka chuo hiki ambacho ni mojawapo ya vyuo vikubwa katika Afrika Mashariki na ya kati BOFYA HAPA

 

11 years ago

Michuzi

libeneke la foleni za magari kutoka angani jijini dar es salaam

 Huo msalaba uuonao hapo ni taa za magazri zilizo katika foleni mishale ya saa moja jioni kwenye makutano ya barabara za Morogoro road na Nelson Mandela jijini Dar es salaam. Hakika kuna haja ya kutafuta njia mbadala za kupunguza foleni ya magari katika jiji hili. Ushauri wa bure kwa Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi na Madiwani wa Manispaa za Ilala, Temeke na Kinondoni. Boresheni njia za pembeni ili magari yaweze kupungua katika barabara hizi kuu. 
Picha na Sultani Kipingo wa Globu ya Jamii

 

9 years ago

TheCitizen

290m women are ‘free to decide on children number’

Women and girls today, more than ever before, are using modern contraceptives to delay or avoid a pregnancy, says a report released on Thursday by Family Planning 2020 (FP2020).

 

11 years ago

TheCitizen

OPANGA: There’s right and wrong. Israel is wrong

>You are either with the Palestinians or with Israel. I am with the Palestinians. Look, Israel has elastic borders, which it extends outwards at the slightest pretext and totally and utterly in disregard of international opinion or law. It occupies the land of the Palestinians, builds settlements on it and imposes a land, air and sea blockade against Gaza.

 

5 years ago

BBCSwahili

Kathy Sullivan: Mwanaanga wa kwanza kufika kina cha chini kabisa baharini

Aliyekuwa mwanaanga wa Nasa Dr Kathy Sullivan amekuwa mwanamke wa kwanza kufika anga la mbali na kina cha chini kabisa baharini.

 

10 years ago

BBCSwahili

Simu kutumika angani

Shirika la usalama angani la umoja wa ulaya (EASA) limesema vifaa vya kielekroniki vinaweza kutumika pindi ndege iwapo angani.

 

11 years ago

Michuzi

ATC kung’ara angani

SHIRIKA la Ndege Tanzania (ATC) lipo karibu kuanza kung’ara hewani baada ya mwekezaji kutoka Oman kuwa tayari kuwekeza kwenye shirika hilo na sasa anasubiri serikali kukamilisha taratibu zake. Miongoni mwa taratibu zinazosubiriwa ni kwa serikali kulipa madeni makubwa ambayo ATC ilikuwa inadaiwa ili kuweka mizania sawa ya vitabu vya hesabu za fedha.
Mwenyekiti na Rais wa Kampuni za Al Hayat Development and Investment LLC ya Oman, Sheikh Salim Bin Abdullah Al Harthy, alisema...

 

11 years ago

Tanzania Daima

ATCL kung’araa angani

SHIRIKA la Ndege Tanzania (ATCL) lipo mbioni kuanza kung’ara hewani baada ya mwekezaji kutoka Oman kuwa tayari kuwekeza kwenye shirika hilo na sasa anasubiri serikali kukamilisha taratibu zake. Miongoni mwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani