Mwanafunzi afariki kwa mkokoteni
>Mwanafunzi wa darasa la kwanza katika Shule ya Msingi  Galanzala Tarafa ya Kinampanda Wilaya ya Iramba Mkoa wa Singida, amefariki dunia baada ya kugongwa na mkokoteni wa kuvutwa na ng’ombe.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo06 Jul
Mkokoteni wa ng'ombe waua mwanafunzi
MWANAFUNZI wa darasa la kwanza wa shule ya msingi Galanzala wilayani Iramba, amekufa papo hapo baada ya kugongwa na mkokoteni wa kuvutwa na ng'ombe, uliokuwa ukiongoza na baba yake mlezi.
11 years ago
CloudsFM04 Jul
POLISI AMRUBUNI MWANAFUNZI KUFANYA NAYE MPENZI,AMWACHA CHUMBANI KWAKE,NYUMBA YAKE YAUNGUA MOTO,MWANAFUNZI AFARIKI DUNIA
Wananchi wa Mlangali, Ludewa wakiwa wamekizingira kituo cha polisi Mlangali mara baada ya kuipeleka maiti ya mtoto aliyeteketea kwa moto katika kituo hicho.
KIONGOZI wa mbio za mwenge Kitaifa awatuliza wananchi wa Mlangali wilaya ya Ludewa ambao baadhi yao waliandamana kituo cha polisi kushinikiza kutolewa kwa askari polisi aliyedaiwa kusababisha kifo cha mtoto ili auwawe.
Kiongozi huyo aliwaomba wananchi wa Mlangali kutokubali kujihusisha na vitendo vya uvunjifu wa amani ikiwa ni pamoja na...
10 years ago
CloudsFM09 Jan
MWANAFUNZI ABAKWA, AFARIKI
MWANAFUNZI wa darasa la tatu katika Shule ya Msingi Rwanda Nzovwe jijini Mbeya , Elika Mkubwa (8), amefariki dunia baada ya kubakwa na watu wasiojulukana.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Ahmed Msangi, alisema baada ya watu hao kufanya unyama huo, waliuweka mwili wa mtoto huyo katika sinki la kuogea kwenye nyumba moja ambayo haijakamilika ujenzi wake. Pamoja na hayo, alisema upelelezi bado unaendelea ili kuwabaini waliohusika na tukio hilo.
Akizungumza eneo la tukio, kiongozi wa Mtaa wa...
10 years ago
Tanzania Daima05 Oct
Mwanafunzi afariki akisaka maembe
MWANAFUNZI Hamimu Mussa (11), wa Shule ya Msingi Uhuru Manispaa ya Kigoma Ujiji, amefariki dunia baada ya kuanguka kwenye mti wa mwembe na mwingine kuvunjika mguu na mkono. Akizungumza na waandishi...
10 years ago
Mwananchi22 Apr
Walimu wamchapa mwanafunzi, afariki
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-1xif-d8lGjE/XkRI7cew9RI/AAAAAAAAmp4/08_uCkcxRd8ohNF1jgH2gCUannXGaV64ACLcBGAsYHQ/s72-c/b0b1652d-bf1d-4f1f-af9d-183e3c3e58dd.jpg)
MWANAFUNZI AFARIKI KATIKA JARIBIO LA KUTOLEWA MIMBA
![](https://1.bp.blogspot.com/-1xif-d8lGjE/XkRI7cew9RI/AAAAAAAAmp4/08_uCkcxRd8ohNF1jgH2gCUannXGaV64ACLcBGAsYHQ/s640/b0b1652d-bf1d-4f1f-af9d-183e3c3e58dd.jpg)
Kufuatia mwanafunzi wa miaka 14 wa darasa la sita manispaa ya Bukoba mkoani kagera kufariki dunia baada ya jaribio la kutoa mimba kamanda wa polisi mkoani Kagera Revocatus Malimi amewataka wananchi mkoani humo kuachana na kupata huduma za afya mtaani badala yake waende sehemu ambazo zimeruhusiwa kisheria ambako kuna watalamu wazoefu.
Kauli hiyo imetolewa na kamanda Wa polisi mkoani Kagera Revocatus Malimi wakati akiongea na waandishi wa habari juu ya matukio mbali...
9 years ago
StarTV16 Nov
 Mwanafunzi Shule ya Sekondari Idodi Iringa afariki dunia
Mwanafunzi wa kidato cha nne katika shule ya sekondari Idodi mkoani Iringa amefariki dunia baada ya kupigwa na radi wakati akicheza mpira uwanjani na wanafunzi wenzake.
Radi hiyo pia imejeruhi wanafunzi wengine saba na mwanamke mmoja mkazi wa kijiji cha Idodi aliyekuwa anaokota kuni jirani na uwanja huo kabla mvua iliyoambatana na radi haijaanza kunyesha.
Tukio hilo la Ijumaa ni la pili kwa kipindi cha siku mbili ambapo siku moja kabla, mkazi wa kijiji cha Kibena Iringa vijijini akiwa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
AJALI MBAYA: MWANAFUNZI MAKONGO AGONGWA NA LORI, AFARIKI
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-oB6VN1Gekgc/UuyxT9n0WII/AAAAAAAFKDw/szxxmwArUfE/s72-c/New+Picture+(2).bmp)
MWANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI AFARIKI DUNIA KATIKA AJALI YA BARABARANI JIJINI MBEYA
![](http://2.bp.blogspot.com/-oB6VN1Gekgc/UuyxT9n0WII/AAAAAAAFKDw/szxxmwArUfE/s1600/New+Picture+(2).bmp)
MWANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI AFARIKI DUNIA KATIKA AJALI YA BARABARANI.
gari ambalo halikuweza kufahamika namba zake za usajili wala jina la dereva wake lilimgonga mtembea kwa miguu mwanafunzi wa darasa la pili katika shule ya msingi mbuyuni aliyetambulika kwa jina la daima faida (08) mkazi wa mbuyuni na kusababisha kifo chake papo hapo. ajali hiyo ilitokea majira ya saa 06:55hrs asubuhi...