Mwanajeshi wa kwanza wa UN afariki CAR
Mwanajeshi mmoja wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa amekuwa afisa wa kwanza wa kuweka amani kufariki nchini CAR
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili09 Aug
Mwanajeshi wa Rwanda auwa wenzake CAR
10 years ago
BBCSwahili08 Oct
USA:Mgonjwa wa kwanza wa Ebola afariki
10 years ago
VijimamboMAN LEAVES HIS CAR AT CAR WASH,CAME BACK TO THIS
10 years ago
GPLMWANAJESHI WA CANADA AUAWA
5 years ago
CCM BlogMWANAJESHI AFIKISHWA KORTINI
Mtuhumiwa huyo alifikishwa jana mbele ya Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Mkoa huo, Maria Batulaine, na kusomewa shtaka linalomkabili.
Mwanasheria wa Serikali, Abdulrahman Mohamed, alidai kuwa askari hao walikuwa na uhusiano wa kimapenzi na kwamba wivu ndio unaodaiwa kusababisha mauaji hayo.
Mwanasheria huyo wa serikali...
10 years ago
Mtanzania23 Feb
Mwanajeshi’ mwingine JKT mbaroni
NA ADAM MKWEPU DAR ES SALAAM
KATIBU wa vijana waliopata mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) waliokuwa wakiandamana kushinikiza Serikali kuwapatia ajira, Rinus Emmanuel amekamatwa jijini Dar es Salaam.
Hatua hiyo imekuja siku chache baada ya Mwenyekiti wao George Mgoba, kutekwa wiki iliyopita na kisha kupigwa na kuteswa na watu wasiojulikana.
Hata hivyo Mgoba alihamishwa kutoka Hospitali ya Amana, Ilala na kupelekwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), ambapo anaendelea kupata...
11 years ago
BBCSwahili03 Apr
Mwanajeshi awauwa wenzake 3 Marekani
10 years ago
Mtanzania21 Feb
‘Mwanajeshi’ ateswa kama Ulimboka
NA ADAM MKWEPU, DAR ES SALAAM
KIONGOZI wa vijana waliopata mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), waliokuwa wakiishinikiza Serikali kuwapatia ajira, George Mgoba, amelazwa katika Hospitali ya Amana, jijini Dar es Salaam, baada ya kutekwa nyara na kisha kuteswa na watu wasiojulikana.
Mgoba ni miongoni mwa vijana waliowawakilisha wenzao zaidi ya 300 kukutana na viongozi wa juu wa Serikali hivi karibuni, akiwemo Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue, kuzungumzia kilio chao na kupinga...