Mwanamke afia kwa hawara
MWANAMKE Jane Bhoke (27) amefariki dunia nyumbani kwa hawara yake. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ilala, Mary Nzuki alisema kifo hicho kilitokea juzi saa 12 jioni eneo la Zingiziwa Chanika...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mL7vEimd6q37MmWHqZUR*0hy8472mujCN22mlG*nSkDxpUjyI6J6NJfn6VkZhGDNDwgMsfMie52hkCYqFQxv*9D3V5mHX-sx/denti.jpg?width=650)
DENTI AFIA KWA HAWARA
Stori: DENIS MTIMA NA MAYASA MARIWATA MSICHANA Atu Gabriel mwenye umri wa miaka 20, mwanafunzi wa Chuo cha Eden Hill kilichopo Kwamfipa wilayani Kibaha mkoani Pwani, amekutwa amekufa chumbani kwa mtu anayetajwa kuwa ni hawara yake, Hafidh Mohammed. Mwili wa Atu ukiwa chumbani kwa mtu anayesadikika kuwa ni mpenzi wake, Hafidh Mohammed. Tukio hilo lilitokea April 26, mwaka huu na kukusanya umati huku mwanaume aliyelala na...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Qvxzmt4uuyVFm4NfDFHjTdadEgxd8*ZtkgAXWNw7iHPiI8SOxUUa*HBbWlDDSjGoNF3HMVC79xkuxXdLiIsJbdTeDCNz7RJf/bcouplesmile.jpg?width=650)
KWA NINI HAWARA ALE CHA MKEO?
Asalam alaikum, bwana Yesu asifiwe. Poleni kwa majukumu ya wikiendi na ni matumani yangu wazima na wale wagonjwa nawaombea dua mtapona ishallah. Nashukuru kwa kunisoma kwani napata ujumbe wenu na naona jinsi mnavyofaidika kwa mada ninazowaletea.
Ukiandika kitu ukaona watu wanakutafuta na kukupa hongera unajivunia kwani unaamini wanakipenda kile unachowaandikia. Leo nimekuja na mada hii ili kuwasema akina baba wenye tabia ya...
10 years ago
Mwananchi30 Dec
Mume auawa kwa kisu na hawara wa mkewe
Mkazi wa Tarafa ya Mang’ula wilayani Kilombero, Amon Nyenja amefariki dunia baada ya kuchomwa kwa kisu na anayedhaniwa kuwa ni hawara wa mke wake mdogo.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/iRGkQSu08ctf3ecOL6eg99kRNjsg*ZHzSRIdlX9ouSVTolCsLWCQVVx7obWiAKOxs7mW1CJPDJPyO9RwDdcQZfUfksamKZFw/nomasana.jpg)
ALIYEOMBEWA KWA GWAJIMA AFIA GESTI!
Mayasa Mariwata na Rhoda Josia Habari mbaya inamhusu mwanamke aliyetajwa kwa jina moja la Averina ambaye alikuwa akiombewa kwenye Kanisa la Ufufuo na Uzima la Nabii Josephat Gwajima ambaye anadaiwa kufia nyumba ya kulala wageni (gesti) ya My Fair iliyopo Kawe jijini Dar. Mwili wa marehemu Averina ukitolewa gesti. Tukio hilo lililoacha viulizo na kuzua minong’ono midomoni mwa wengi lilijiri hivi karibuni ambapo mwanadada...
11 years ago
Habarileo16 Mar
Jambazi afia kwa mganga wa kienyeji
MKAZI wa Kijiji cha Kemakorere, Kata ya Nyarero iliyopo Tarafa ya Inchage, Tarime, Nchagwa Marwa Yusuph (35) aliyekuwa akisakwa kwa tuhuma za unyang’anyi wa kutumia silaha wilayani hapa, amekutwa amekufa nyumbani kwa mganga wa kienyeji alikokuwa akitibiwa majeraha.
10 years ago
Mwananchi22 Oct
Mahabusi afia mikononi mwa polisi kwa kipigo
Mahabusi Daniel Alfred katika kituo cha Polisi Urafiki, eneo la Ubungo, amefariki dunia kwa madai ya kupigwa na baadhi ya askari wa kituo hicho.
11 years ago
Mwananchi22 Jul
Mke wa polisi afia nyumbani kwa dereva wa bodaboda
Jeshi la Polisi linamshikilia dereva mmoja wa pikipiki, maarufu kama bodaboda wilayani Mwanga mkoani Kilimanjaro baada ya mke wa askari polisi kukutwa amekufa chumbani kwa dereva huyo.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/CrfMSzuE5d7P**ZyaI*aJyJoQvEQJOcRGTlTLEsqsIm3J0mnR15CyeP42Nzvs9ab8rqW9t6X8bqJ2MQViVHbjXGjfHJb-QQU/HAWARA.jpg)
KISA HAWARA!
Stori: Deogratius Mongela na Chande Abdallah MY God! Mke wa mtu aliyejitambulisha kwa jina la Pamela Said (30) amedai kupigwa mchi kichwani na mumewe wa ndoa aliyemtaja kwa jina moja la Alex kisa kikiwa ni simu aliyopigiwa mumewe na hawara’ke. Mke wa mtu anayefahamika kwa jina la Pamela Said (30) anayedai kupigwa mchi kichwani na mumewe wa ndoa aliyemtaja kwa jina moja la Alex. Tukio hilo la kusikitisha lilijiri Mei 23,...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MOC7BqAcxPuMI1BVV*7MzHrxFtNGu9nHGmN8omvYZKzg*mqT-ayH*fLnqWmi02-pYGhRDu6YqiyRZJhLm*RvFoKV2UQ5HU3f/hawara.jpg)
MKE, HAWARA...
Stori: Waandishi Wetu KUNA matukio ambayo kama binadamu yasikie kwa wengine tu lakini yasikutokee wewe! Kama hili la mkazi wa Ukonga –Mzambarauni, Dar, Paulo Ndulu ambapo mkesha wa kuamkia Sikukuu ya Sabasaba, alijikuta katika wakati mgumu pale alipoingia kibaruani kuamua ngumi kati ya mkewe, Anitha Mapunda na Elizabeth Chacha aliyedaiwa kuwa ni hawara yake, OFM walishuhudia. Bw. Paulo Ndulu akijaribu kuamua ugomvi...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania