Mwanamke aumizwa kwa kutopokea simu ya mume
MWANAMKE mkazi wa Kata ya Lubaga, Sophia Haji (22) Manispaa ya Shinyanga anadaiwa kupigwa na mumewe na kusababishiwa majeraha makubwa kwa kile kilichodaiwa alichelewa kupokea simu ya mumewe.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nLML9an*avoOUPCgkrKmYkDeSBSQ2PrJg8F5YHD3n7BImVHYNS3AzjGtl7m9-ZRvIbo9fOpj5DhFeRZns9py4XMULlJY5A*B/8.jpg)
BORA USIWE HEWANI KULIKO KUTOPOKEA SIMU!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Aaa76ACbkjJaQ7w7BN4VWt80*4j*gFpi7Zw3VpOt05PAlt*CXHb3ptAyrnj8erG1m3Ofv9P5g6bLVuF0iR*fwD01WW239bYr/url.jpg?width=750)
BORA USIWE HEWANI KULIKO KUTOPOKEA SIMU-2
10 years ago
Bongo Movies13 Apr
Irene Uwoya Aumizwa na Maneno ya Wema, Ampongeza Wema kwa Moyo Wakishujaa
“Minashindwa kuwaelewa watu ni kwanini mnapenda sana kutaka kutoa kibanz kwenye jicho la mtu wakat kipande chamti kiko kwenye jicho lako.....nimeumia sana na maneno ya wema,mtoto anapanga MUNGU sio binadamu .....Embu mwachen mtoto wa watu sasa awenaaamani kila siku mnamsema yeye mmnazan anachuma nin Ana moyo,afu kunawatu wanapenda sana kudandia mambo ........mmedandia weweee mme mtukana mtoto wawatu minaomba niwape namba ya MUNGU mumulize yeye kwanin na mumuache mtoto wa watu!sipendag...
9 years ago
MillardAyo22 Dec
Mwanamke alivyokimbiwa na mume baada ya kujifungua Muhimbili Dar… #Hekaheka (+Audio)
Hii stori imesikika kwenye show ya ‘Leo Tena‘ Clouds FM ambapo mwanamke mmoja amekimbiwa na mumewe baada ya kujifungua hospitali ya Muhimbili Dar es Salaam. Mwanamke huyo amesema baada ya kutoka hospitali alikuta mwanaume kabeba kila kitu kwenye nyumba walipokuwa wamepanga, akakosa msaada mpaka akajitokeza mama mmoja ambaye alimsaidia kumpa hifadhi kwa muda. Japo wameishi […]
The post Mwanamke alivyokimbiwa na mume baada ya kujifungua Muhimbili Dar… #Hekaheka (+Audio) appeared first on...
5 years ago
BBCSwahili22 Apr
Waridi wa BBC: Mwanamke aliyefukuzwa na mume wake akiwa na mtoto wa wiki moja
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-P_alNUmivKk/XmS7p1Ly72I/AAAAAAACITc/BTwh7SHLJc4Nd-YrKxz_GHdbP2RaLvKYwCLcBGAsYHQ/s72-c/SIMU.jpg)
SERIKALI: NI KOSA KISHERIA KUSAJILIANA LAINI ZA SIMU, HATA AKIWA MKE AU MUME WAKO
![](https://1.bp.blogspot.com/-P_alNUmivKk/XmS7p1Ly72I/AAAAAAACITc/BTwh7SHLJc4Nd-YrKxz_GHdbP2RaLvKYwCLcBGAsYHQ/s1600/SIMU.jpg)
Serikali imepiga marufuku kwa mwananchi yeyote kumsajilia laini ya simu ya mkononi kwa alama ya vidole kwa kutumia kitambulisho cha taifa cha NIDA mtu mwingine kwa kuwa kufanya hivyo ni kosa la kisheria.
Hayo yameelezwa na Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye mkoani Iringa wakati akiwa kwenye mikutano ya hadhara kwenye kijiji cha Idodi na Isoliwaya mkoani humo akizindua minara ya mawasiliano kwenye kata ya Idodi, Kihesa na Ihimbo...
5 years ago
MichuziMAFUNDI SIMU KIZIMBANI KWA KUJIHUSISHA NA SIMU ZILIZOFUNGWA
Washtakiwa hao wamesomewa mashtaka yao leo Machi 11, 2020 mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi, Augustina Mmbando.
Akisoma hati ya mashtaka wakili wa Serikali Easter Martin amedai Februari 27, mwaka huu...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-pAdZrqZuEsg/VPcZA6G2VJI/AAAAAAAHHrM/X5yTvQ66wUY/s72-c/DSC_0983.jpg)
KILA MTU ANATAKIWA KUJENGA UADILIFU WA KUTOPOKEA RUSHWA - BALOZI SEFUE
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue amesema kujenga uadilifu kwa kila mtu katika nchi yake, ni kukataa rushwa kwa kutoa au kupokea.
Sefue aliyasema hayo katika Warsha ya Wadau ya kujadili Rasimu ya Ahadi ya Uadilifu kwa Viongozi,Watumishi wa Umma na Sekta Binafsi iliyoandaliwa na Tume ya Maadili iliyofanyika leo katika ukumbi wa Hoteli ya New Afrika jijini Dar es Salaam,alisema wazo la ahadi ya Uadilifu kwa viongozi,watumishi wa Umma na sekta binafsi ni...
10 years ago
BBCSwahili22 Dec
Kwa wivu,Mume amjeruhi mkewe kwa shoka