Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwanamuziki 50 Cent ajikinga kufilisika

Mmoja ya wasani maarufu duniani na nyota wa miondoko ya hip hop, rapa 50 Cent , amepeleka maombi ya kupatiwa ulinzi wa kuzuia kufilisiwa nchini Marekani.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Wazabuni Mbeya wadai kufilisika

MATOKEO ya mitihani ya kidato cha nne mwaka huu huenda yakawa mabaya hasa kwa shule zilizo chini ya serikali mkoani Mbeya kutokana na wazabuni wanaotoa huduma ya chakula kusitisha kutokana...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mswati akumbwa na Tisho la kufilisika

Taarifa kutoka nchi ya kifalme ya Swaziland zasema kima cha fedha katika benki kuu ya nchi hiyo kimebaki dola laki 8 pekee.

 

10 years ago

Bongo5

Ginuwine yupo mbioni kutangaza kufilisika

Mmoja kati ya wasanii waliofanya vizuri kwenye muziki wa R&B mwishoni mwaka miaka ya 1990s mpaka mwanzoni mwa 2000, Genuwine anakaribia kufilisika, kwa mujibu wa mwanasheria wake, aliyetoa kauli juu ya kesi ya madai inayomkabili Ginuwine iliyofunguliwa na Robert Reives, aliyekuwa executive producer album yake iliyotamba, The Bachelor. Inaonesha kuwa Ginuwine, ambaye jina lake halisi […]

 

10 years ago

StarTV

Kampuni ya Simu TTCL yakanusha kufilisika.

Na Lilian Mtono,

Dar es Salaam.

Wakati taarifa za kufilisika kwa Kampuni ya simu nchini TTCL zikichukua nafasi hivi sasa, kampuni hiyo imekanusha madai hayo ikiwahakikishia watanzania maboresho ya huduma zake yatakayoanza kufanyika hivi karibuni na huduma bora zaidi kuanza kutolewa baadae mwaka huu.

 

Imesema, tayari imekwishasaini makubaliano ya maboresho hayo na kinachosubiriwa sasa ni kuanza kwa utekelezaji wake.

 

TTCL, kampuni tanzu ya huduma za mawasiliano hapa nchini, hivi sasa...

 

11 years ago

GPL

MR.NICE AFUNGUKA SIRI YA KUFILISIKA KWAKE!

Stori:  Shakoor Jongo
MKONGWE wa muziki wa kizazi kipya, Lucas Mkenda ‘Mr Nice’ ameibuka na kufunguka kuwa siri ya kufilisika kwake ni kupenda kwake sifa kutoka kwa wapambe na matumizi mabaya ya fedha alizokuwa akiziingiza. Mkongwe wa muziki wa kizazi kipya, Lucas Mkenda ‘Mr Nice’. Akizungumza na paparazi wetu, Nice, aliyetamba kwa staili ya Takeu, alisema wakati nyota yake ikiwa juu na kuingiza...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mfumo endelevu wa kibiashara huepusha kufilisika

MARA nyingi wafanyabiashara wamekuwa wakikumbwa na misukosuko ya kufa kwa biashara zao ikiwemo makampuni makubwa duniani, kufilisika na hatimaye kukata tamaa kabisa  kimaisha. Kufa ama kufilisika kwa makampuni makubwa ama...

 

9 years ago

Mtanzania

50 Cent: Sijafilisika na sifilisiki ng’o

50NEW YORK, Marekani

BAADA ya tetesi kwamba msanii wa hip hop nchini Marekani, Curtis Jackson ‘50 Cent’ amefilisika, msanii huyo ameibuka na kuweka wazi baadhi ya vitu anavyojenga kwa sasa akionyesha kwamba bado ana hazina kubwa ya fedha.

Hivi karibuni alionyesha nyumba yake mpya ambayo ameijenga barani Afrika lakini hajasema iko nchi gani.

Kupitia akaunti yake ya Instagram, msanii huyo amesema alitangaza kufilisika akiwa na lengo la kujiimarisha kibiashara kwa kujilinda na waovu.

“Bado nipo...

 

11 years ago

TheCitizen

80 per cent of workers ‘have no contracts’

Over 80 per cent of workers in the corporate sector do not have formal employment contracts, according to a new report.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani