Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mfumo endelevu wa kibiashara huepusha kufilisika

MARA nyingi wafanyabiashara wamekuwa wakikumbwa na misukosuko ya kufa kwa biashara zao ikiwemo makampuni makubwa duniani, kufilisika na hatimaye kukata tamaa kabisa  kimaisha. Kufa ama kufilisika kwa makampuni makubwa ama...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

TUMIENI MFUMO ENDELEVU WA BIASHARA

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya KCB Tanzania Moezz Mir,akiongea na wateja wa benki hiyo wakati wa chakula cha jioni kilichoandaliwa mahususi kwa wateja wao hafla hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam jana.…

 

11 years ago

BBCSwahili

Mswati akumbwa na Tisho la kufilisika

Taarifa kutoka nchi ya kifalme ya Swaziland zasema kima cha fedha katika benki kuu ya nchi hiyo kimebaki dola laki 8 pekee.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwanamuziki 50 Cent ajikinga kufilisika

Mmoja ya wasani maarufu duniani na nyota wa miondoko ya hip hop, rapa 50 Cent , amepeleka maombi ya kupatiwa ulinzi wa kuzuia kufilisiwa nchini Marekani.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wazabuni Mbeya wadai kufilisika

MATOKEO ya mitihani ya kidato cha nne mwaka huu huenda yakawa mabaya hasa kwa shule zilizo chini ya serikali mkoani Mbeya kutokana na wazabuni wanaotoa huduma ya chakula kusitisha kutokana...

 

10 years ago

StarTV

Kampuni ya Simu TTCL yakanusha kufilisika.

Na Lilian Mtono,

Dar es Salaam.

Wakati taarifa za kufilisika kwa Kampuni ya simu nchini TTCL zikichukua nafasi hivi sasa, kampuni hiyo imekanusha madai hayo ikiwahakikishia watanzania maboresho ya huduma zake yatakayoanza kufanyika hivi karibuni na huduma bora zaidi kuanza kutolewa baadae mwaka huu.

 

Imesema, tayari imekwishasaini makubaliano ya maboresho hayo na kinachosubiriwa sasa ni kuanza kwa utekelezaji wake.

 

TTCL, kampuni tanzu ya huduma za mawasiliano hapa nchini, hivi sasa...

 

11 years ago

GPL

MR.NICE AFUNGUKA SIRI YA KUFILISIKA KWAKE!

Stori:  Shakoor Jongo
MKONGWE wa muziki wa kizazi kipya, Lucas Mkenda ‘Mr Nice’ ameibuka na kufunguka kuwa siri ya kufilisika kwake ni kupenda kwake sifa kutoka kwa wapambe na matumizi mabaya ya fedha alizokuwa akiziingiza. Mkongwe wa muziki wa kizazi kipya, Lucas Mkenda ‘Mr Nice’. Akizungumza na paparazi wetu, Nice, aliyetamba kwa staili ya Takeu, alisema wakati nyota yake ikiwa juu na kuingiza...

 

10 years ago

Bongo5

Ginuwine yupo mbioni kutangaza kufilisika

Mmoja kati ya wasanii waliofanya vizuri kwenye muziki wa R&B mwishoni mwaka miaka ya 1990s mpaka mwanzoni mwa 2000, Genuwine anakaribia kufilisika, kwa mujibu wa mwanasheria wake, aliyetoa kauli juu ya kesi ya madai inayomkabili Ginuwine iliyofunguliwa na Robert Reives, aliyekuwa executive producer album yake iliyotamba, The Bachelor. Inaonesha kuwa Ginuwine, ambaye jina lake halisi […]

 

9 years ago

Vijimambo

TFDA NA TAASISI YA TRADEMARK EAST AFRICA (TMEA) WAZINDUA MFUMO WA UTOAJI VIBALI KWA MFUMO WA KIELEKITRONIKI

 Mganga Mkuu wa Serikali, Profesa Muhammad Kambi (kulia), akibonyeza kituvye Dar es Salaam leo asubuhi, kuashiria uzinduzi wa mfumo wa utoaji vibali kwa njia ya kielekitroniki (e-portal) ambao utawezesha Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA), kuhudumia wateja wake kwa kutumia mtandao wa intaneti. Mpango huo unaendeshwa kwa ushirikiano wa TFDA na Taasisi ya TradeMark East Africa (TMEA) Viongozi wakiwa meza kuu wakifuatilia uzinduzi huo.
 Wadau mbalimbali wakiwa kwenye hafla hiyo ya uzinduzi. Wadau...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani