Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MWANAMUZIKI K-BAZIL AFUNGUKIA MAISHA YAKE BAADA YA KUOKOKA

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MAMBA DUDUBAYA AFUNGUKIA MAISHA YAKE NDANI YA GLOBAL TV ONLINE

Mwanamuziki wa Bongo Fleva, Godfrey Tumaini 'Mamba Dudubaya' katika pozi ndani ya studio za Global TV Online leo. Mamba Dudubaya akifafanua jambo wakati akihojiwa na Global TV Online leo.…

 

10 years ago

CloudsFM

Ruby afungukia kolabo yake na Diamond

Mkali wa ngoma inayotamba kwenye vituo mbalimbali za redio hapa nchini, ‘Yule’, Supa Nyota 2014,Ruby amesema kuwa kolabo yake na staa wa Bongo Fleva,Diamond Platnumz itafuata baada ya ngoma yake ya sasa. ‘’Ilikuwa nifanye ngoma yangu ya kwanza na Diamond kama ilikuwa ikisemekana kuwa supa nyota atafanya ngoma yake ya kwanza na Diamond lakini uongozi umeona kuwa ngoma ya kwanza nifanye mwenyewe ya pili ndo nitafanya naye naamini itakuwa bonge la ngoma mashabiki wakae mkao wa tayari...

 

9 years ago

Bongo Movies

Lulu Afungukia Siasa na Kura Yake

Okay....nimeulizwa na Wengi na pengine yanasemwa mengi kuhusu ni Chama kipi cha Siasa nina support Kama ilivyoonekana Kwa Wasanii Wenzangu wengine..! Kwa kifupi nitajaribu kufafanua machache Kwa huu uwezo mdogo wa kufikiri nilijaaliwa na Mwenyezi Mungu..!

Kwanza,kila binadamu/mwananchi ana uhuru wa kuchagua na ku support anachokipenda...kwahyo sitangaa wala kuchukia Flani ku support upande flani


Pili,Mimi Kama mm(binafsi)hii ni Mara yangu ya kwanza kupiga kura kwahyo nimeamua kuitumia Kwa...

 

9 years ago

Bongo Movies

Lulu Afungukia Mimba Yake Iliyonzia Insta

HAPA NA PALE: Staa mrembo wa Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amewaponda baadhi ya watu ambao hupenda kuvumisha mambo hasa kupitia mtandao picha wa Instagram kuhusiana na habari zizilosambaa siku za nyuma kuwa staa huyo ana ujauzito huku picha hiyo hapo juu ikitumika kuonyesha mimba yenyewe.

“Mimba yangu hii ilianzia Insta ikaishia insta. Pale unapoamua kufanya project zako binafsi na viungo vyako.Mana watu wakufanya nao project wameisha...wote washafanya project na washafanywa...

 

10 years ago

GPL

RAY ‘AFUNGUKIA’ BASTOLA YAKE

Brighton Masalu STAA wa filamu Bongo, Vincent Kigosi ‘Ray The Greatest’ amefunguka na kuweka wazi kuwa kamwe hajawahi kuionesha bastola yake kwa makusudi au kutafuta sifa. ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1HAPGAs

 

9 years ago

GPL

MSHINDI WA JAY MILLIONS AFUNGUKIA MAFANIKIO YAKE

Irene Mrema aliyekuwa mmoja wa washindi wa kitita cha shilingi Milioni 100 kupitia promosheni ya Jaymillions iliyokuwa ikiendeshwa na Vodacom Tanzania(kushoto) akimwelezea Meneja Uhusiano wa kampuni hiyo,Matina Nkurlu(kulia)alipomtembelea nyumbani kwake kujua maendeleo ya mafanikio aliyoyapata baada ya ushindi wake likiwemo la kumalizia nyumba ya kisasa anayoishi na familia yake maeneo ya Goba jijini Dar es Salaam. Meneja...

 

10 years ago

GPL

KAPTENI KOMBA AFUNGUKIA NYUMBA YAKE KUPIGWA MNADA

Mbunge wa Mbinga Magharibi, Kapteni John Komba. Stori: SHANI RAMADHANI
Mbunge wa Mbinga Magharibi, Kapteni John Komba ambaye pia ni Mkurugenzi wa Kundi la Sanaa la Tanzania One Theatre (TOT), amekanusha habari zinazoendelea kuzagaa kwamba nyumba yake iliyopo Mbezi Beach jijini Dar es Salaam imepigwa mnada na benki moja kutokana na madai ya kushindwa kulipa deni alilokuwa akidaiwa. “Mheshimiwa anadaiwa na benki kama...

 

9 years ago

Vijimambo

AUDIO : LEMBELI AELEZA HATMA YAKE BAADA YA KUUKOSA UBUNGE, AJIBU TETESI JUU YAKE IKIWEMO YA KUUZA REDIO YAKE


Aliyekuwa mgombea ubunge wa jimbo la Kahama Mjini, James Lembeli ameelezea kinachoendelea katika maisha yake ya kisiasa hasa baada ya kushindwa katika uchaguzi wa mwaka huu akiwa ndani ya chama chake kipya cha Chadema.
Akiongea katika taarifa rasmi kwa wananchi wa jimbo hilo, Lembeli amesema kuwa hivi sasa atajikita zaidi katika shughuli za chama chake pamoja na shughuli alizokuwa akizifanya kabla ya kuwa mbunge wa jimbo hilo.
Alisema kuwa ataendelea kufanya kazi zake na mashirika ya kimataifa...

 

5 years ago

BBCSwahili

"Maisha yake ni sawasawa na mtu aliyekufa na kufufuka" kulingana na mama yake

Simulizi ya mtoto mwenye ugonjwa adimu duniani ambaye siku ngingi anajipata kuwa hspitali zaidi ya nyumbani tena chumba cha wagonjw amahutui (ICU)

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani