Mwanamuziki kutoka Denmark atumbuiza mashabiki wake.
Mwanamuziki Mads Langer ametumbuiza mashabiki wake kwenye tamasha lililofanyika eneo la kuegesha magari huko Copenhagen,Denmark.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo523 Oct
Picha: Vanessa Mdee atumbuiza live kupitia Citizen TV ya Kenya kutoka Dar
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-t7znlyIq2xw/U5CaBoeuSlI/AAAAAAAFn3E/Q-xNOX0qnTU/s72-c/Dronning+Margrethe.jpg)
congratulatory message to H.M Queen Margrethe II of Denmark on the occasion to celebrate the Constitution Day of Denmark
![](http://4.bp.blogspot.com/-t7znlyIq2xw/U5CaBoeuSlI/AAAAAAAFn3E/Q-xNOX0qnTU/s1600/Dronning+Margrethe.jpg)
“Your Majesty Queen Margrethe II, The Queen of Denmark, Copenhagen, DENMARK. It is my pleasure on behalf of the people and the Government of the United Republic of Tanzania to extend to Your Majesty and through you to the people of Denmark my heartfelt...
9 years ago
Bongo509 Nov
Amini awatoa wasiwasi mashabiki wake juu ya ukimya wake
![Amini](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/07/Amini-300x194.jpg)
Amini amewaondoa wasiwasi mashabiki wake kuhusu ukimya wake na kudai kuwa mpaka sasa ana nyimbo tano tayari kwaajili ya mashabiki wake.
Muimbaji huyo amekiambia kipindi cha Planet Bongo ya EA Radio kuwa alikuwa kimya ili ahakikishe ana nyimbo zake tano mkononi.
“Nilitaka niwe na nyimbo zangu tano mkononi ndio nianze kuachia nyimbo,” amesema. “Kwa sababu nataka kuandaa vitu vizuri ambavyo vikitoka vitafanya vizuri kwa sababu naweza kuchelewa na nikatoa nyimbo na ikafanya vizuri tu. Sina...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-yT9o34Gdz6I/U4jmnxDuVpI/AAAAAAAFmnY/nhcRwj_FIQg/s72-c/unnamed+(49).jpg)
Mwanamuziki Jhikoman kutoka BAGAMOYO,Tanzania, afanya makubwa ughaibuni
10 years ago
Bongo524 Feb
Damian Soul: Ntakuwa mwanamuziki wa kwanza kutoka Afrika Mashariki kushinda tuzo ya Grammy (Audio)
9 years ago
Dewji Blog26 Nov
Tigo yadhamini onesho la mwanamuziki Moussa Diallo kutoka nchini Mali litafanyika jijini Dar leo
Meneja wa Mawasiliano wa Kampuni ya Simu ya Tigo, John Wanyanja (kulia), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana kuhusu kampuni hiyo kudhamini onesho la mwanamuziki Mousa Diallo kutoka nchini Mali litakalofanyika leo katika Mgahawa wa Chakula na Vinywaji wa Samaki Samaki, Masaki jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Ofisa Mkuu wa Masoko wa Mgahawa wa Samaki Samaki, Saum Wengert na katikati ni Mwanamuziki, Moussa Diallo.
Meneja Mawasiliano wa Kampuni ya Simu ya...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-zxYZ7WPpKss/U2XTLAuJ4aI/AAAAAAACgLU/V0lHiR-elHY/s72-c/12.jpg)
BAADA YA SHINYANGA,MWANAMUZIKI NYOTA WA INJILI KUTOKA AFRIKA KUSINI REBECCA MALOPE KUTUMBUIZA JIJINI MWANZA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-zxYZ7WPpKss/U2XTLAuJ4aI/AAAAAAACgLU/V0lHiR-elHY/s1600/12.jpg)
9 years ago
MichuziMWANAMUZIKI ROBERTO AMARULA KUTOKA ZAMBIA KUTUMBUIZA DAR ES SALAAM, DODOMA KATIKA TAMASHA LA INSTAGRAM WIKIENDI HII
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-opstdXccnrQ/VCHMAMx7VWI/AAAAAAACrhU/YhzBw04IyUo/s72-c/JTM-027196.jpg)
MWANAMUZIKI RAPPA MAHIRI KUTOKA NCHINI MAREKANI T.I KUSAMBAZA UPENDO NDANI YA TAMASHA LA FIESTA OKTOBA 18,2014 JIJINI DAR
![](http://api.ning.com/files/n6JmThHrscYFP3bUuBsW7HGLI5xeOwij-*jv5X4IjRp7zZvtoAkzQJ-Ynkmdc4poag8l59n-VRFDQPL463PFmo-IRl78CnFH/tipress2013650c.jpg)