MWANAMUZIKI PERCY SLEDGE AFARIKI KWA UGONJWA WA SARATANI
![](http://api.ning.com/files/-nMzymXXjMJ5CgPscjZefT8*-zlHFPmOe0OYFfD3wfJsKO0tX*us3lF0HR5yLa975rQcdOFkilFJ7gYpsJ7hWocXQOmJDVA7/somazaidi.gif)
MTUNZI wa wimbo maarufu wa 'When a Man Loves a Woman', amefariki jana nyumbani kwake Baton Rouge, Jimbo la Lousiana, Marekani, akiwa na umri wa miaka 73 baada ya kusumbuliwa muda mrefu kwa ugonjwa wa saratani. Sledge ambaye alikuwa mahiri katika miondoko ya R&B, alivuma sana mwaka 1966 ambapo wimbo wake huo uliposhika namba moja katika anga la muziki nchini Marekani na kimataifa. Ulipotolewa kwa mara ya pili nchini...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili14 Apr
Mwanamuziki Percy Sledge aaga dunia
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U9cJ436L1lcGlJrzAbX6WZNcM-Jb3y-NHNzw59dlPLV56zWWfLsBx*KuxrGhODwqTdzWIFcWMDN1Up0QBD*LMOrBrDFk4PPY/MDF2828615042013160436655.jpg?width=650)
FAHAMU UGONJWA WA SARATANI KWA WATOTO-3
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VittCBMQg0KB6rdN5ALgKlzyv3s8Ug4kcRrIxbAxvhtIa5tETwf9lHUV5FLd5fFdHR6ei0DCatP6nIV5exwmwM0UpgLpgzV-/Emilia3.jpg?width=650)
FAHAMU UGONJWA WA SARATANI KWA WATOTO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yi0TCIBaEFV02KLXapZbHeNe6I*o-ohoGDYNioUjLVASZPmLa*Lj*H1xNtrOoAM-luAbXb0vCAO6*LQPMIbXxitpdFEkp88k/Emilia3.jpg?width=650)
FAHAMU UGONJWA WA SARATANI KWA WATOTO-2
11 years ago
Mwananchi07 Jun
Aliyetelekezwa kwa saratani afariki
10 years ago
Mwananchi12 Aug
Mkimbizi afariki kwa ugonjwa wenye utata
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-3cG9Qtne91Q/VcjjLSIWrJI/AAAAAAAHvzY/OBk5UkY5LAE/s72-c/unnamed%2B%252826%2529.jpg)
NEWS ALERT: MKIMBIZI KUTOKA BURUNDI AFARIKI MKOANI KIGOMA KWA UGONJWA USIOJULIKANA, AZIKWA KWA TAHADHARI KUBWA
![](http://2.bp.blogspot.com/-3cG9Qtne91Q/VcjjLSIWrJI/AAAAAAAHvzY/OBk5UkY5LAE/s320/unnamed%2B%252826%2529.jpg)
Mgonjwa huyo amezikwa leo jioni kwa tahadhari zote zihusuzo magonjwa ya kuambukizwa.
Nguo, vitanda, mashuka na vitu vyake vyote alivyokuwa akitumia wakati wa uhai wake vimechomwa moto mara tu baada ya mwili wake kuzikwa eneo la Masanga nje kidogo ya mji wa Kigoma.
(Picha zinaonesha hatua mbalimbali toka...
10 years ago
MichuziHOSPITALI YA AGA KHAN YAADHIMISHA MWEZI WA UFAHAMU WA UGONJWA WA SARATANI YA MATITI DUNIANI KWA KUTOA BURE HUDUMA YA UPIMAJI
Mtaalamu wa Saratani katika hospitali hiyo, Dk.Amyn Alidina akizungumza na wanahabari kuhusu ugonjwa huo.