Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwangosi death case under way


IPPmedia
Mwangosi death case under way
IPPmedia
Room No.2 in the Iringa High Court was packed on Thursday with people eager to follow the preliminary hearing of a murder case in which police are accused of shooting dead Daudi Mwangosi while on duty in September 2012. Judge Dr Paul Kihwelo ...

IPPmedia

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

TheCitizen

Mwangosi murder case now kicks-off

The High Court Division here yesterday started hearing a murder case of Channel Ten photo-journalist Daudi Mwangosi.

 

10 years ago

IPPmedia

Media to sue state over Mwangosi death.


IPPmedia
Media to sue state over Mwangosi death.
IPPmedia
Media stakeholders in the country will file a case against the government to hold it accountable for the death of Daudi Mwangosi. The call is part of the resolutions passed at the end of the two day's conference to mark the World Press Freedom Day marked at ...

 

10 years ago

TheCitizen

Confirmed: No Ebola case, death in Tanzania

>The Ministry of Health and Social Welfare has released the results of the samples sent to Nairobi to establish the cause of the controversial death of Bertha Boniphace (25) who was hospitalized at Geita District Hospital, Geita Region for what was highly rumoured in Geita town that she was suffering from Ebola fever

 

10 years ago

Vijimambo

Egypt's former President Mohamed Morsy given death sentence in jailbreak case


Ousted former Egyptian President Mohamed Morsy was sentenced to death Saturday in a Cairo court. He had been convicted in a 2011 prison break.Morsy's name will be passed to the Grand Mufti, along with those of more than 100 other defendants, for the confirmation of the death sentence on June 2. The Grand Mufti is the highest legal authority in Egypt. This was the harshest sentence that Morsy could have expected to receive in the case. He will be able to appeal the sentence. The leader of the...

 

11 years ago

Mwananchi

Kesi mauaji ya Mwangosi yanguruma

Kesi ya mauaji ya aliyekuwa mwandishi wa habari wa Kituo cha Televisheni cha Channel Ten, marehemu Daudi Mwangosi inayomkabili aliyekuwa askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) mwenye namba G. 2573 Pacificus Cleophase jana ilianza kusikilizwa kwa mara ya kwanza katika Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Iringa.

 

9 years ago

Michuzi

KUMBUKUMBU MIAKA MITATU YA MWANAHABARI MWANGOSI

Aliyekuwa Katibu wa klabu ya waandishi wa habari mkoa wa Iringa Frank Leonard (Kulia) akifungua mkutano mkuu wa IPC jana katika ukumbi wa Maktaba ya Iringa katikati ni Daud Mwangosi ambaye alikuwa ni mwenyekiti wa IPC akifikiri jambo.Aliyekuwa mwenyekiti wa IPC Daud Mwangosi (kushoto) akihojiwa na mzee wa matukio daima Bw Francis Godwin  ambaye alikuwa ni katibu msaidizi wa IPC juu ya wanahabari kudumisha umoja na mshikamano wakati wa uhai wake.

Mwandishi wa habari wa Chanel Ten mkoa wa...

 

10 years ago

GPL

CHADEMA YAKANUSHA KUHUSIKA NA KIFO CHA MWANGOSI

Mkurugenzi  wa Habari na Mawasiliano wa Chadema,John Mnyika, akizungumza na waandishi wa habari. Baadhi ya viongozi wa Chadema kutoka kushoto ni Ofisa Habari, Tumaini Makene, Mbunge wa Ubungo Mh. John Mnyika, Ofisa Mwandamizi Mafunzo na Uendeshaji, Mohamed Mtoi, na mwenye gwanda ni Katibu Mtendaji, Ofisi ya Katibu Mkuu, Victor Kimesera.…
...

 

10 years ago

CloudsFM

Kesi ya mtuhumiwa wa mauaji ya Mwangosi yaendelea Iringa

MAHAKAMA kuu kanda ya Iringa inaendelea na vikao vyake huku leo kesi ya ya mauwaji ya mwanahabari mkoani Iringa Daud Mwangosi inayomkabilia mtuhumiwa wa askari wa kikosi cha kutuliza ghasia mkoa wa Iringa (FFU) Pasificus Cleophace Simon mwenye namba G 2573 inataraji kuanza kusikilizwa kwa upande wa mashahidi kuanza kutoa ushahidi wao.

Kesi hiyo inayoanza leo inaanza kusikilizwa leo Feb 12 -18 mwaka huu huenda hukumu ya kesi hiyo kutolewa siku ya tarehe 18 mara baada ya mashahidi kumaliza...

 

10 years ago

Mtanzania

Jaji akumbusha machungu kifo cha Daudi Mwangosi

kaka1NA SHABANI MATUTU,DAR ES SALAAM
MWENYEKITI wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) aliyemaliza muda wake, Jaji Amir Manento, ameonyesha kutofurahishwa na Serikali kushindwa kutekeleza ripoti iliyotolewa na tume hiyo kuhusu mauaji ya mwandishi wa kituo cha Channel Ten mkoani Iringa, Daudi Mwangosi.
Jaji Maneto aliyasema hayo jijini Dar es Salaam jana, wakati wa hafla ya kuapishwa kwa mwenyekiti mpya wa tume hiyo, Bahame Nyanduga na makamishna wake.
“Pamoja na kustaafu, jambo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani