Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MWANZO MPAKA MWISHO KILICHOTOKEA KATIKA PARTY YA TIFFAH, PART 1

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

9 years ago

Bongo5

Video: Tazama 40 ya mtoto wa Diamond na Zari (Tiffah’s 40) Part 1

Mtoto wa Diamond Platnumz na mpenzi wake Zari, Latiffah alioneshwa sura yake kwa mara ya kwanza Jumapili ya September 20,2015 ambapo pia ilifanyika hafla ya kufikisha siku arobaini tangu kuzaliwa kwa mtoto huyo. Halfa hiyo iliyofanyika kwenye makazi ya Diamond aliyoyabatiza kama ‘State House’ ilirushwa kupitia Clouds TV kwenye kipindi maalum (Tiffah’s 40), kilichoonesha siku […]

 

5 years ago

BBCSwahili

George Floyd: Je ni kipi kilichotokea dakika 30 za mwisho kabla ya kifo chake?

Msururu wa matukio kabla ya kifo cha George Floyd Mmarekani mweusi wa alieuawa na maafisa wa polisi umefichuliwa na mamlaka

 

11 years ago

Tanzania Daima

Je, ni mwanzo wa mwisho wa Zitto?

YAMEISHAANDIKWA mengi kuhusiana na hatima ya kisiasa ya aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Maendeleo na Demokrasia (CHADEMA), Zitto Kabwe. Kitu kimoja tu hakijaandikwa. Nacho ni kuandika tanzia yake...

 

10 years ago

Mwananchi

Je, huu ndiyo mwanzo wa mwisho?

Upo msemo wa lugha ya Kiingereza ambao tafsiri yangu ambayo si rasmi ni “mwanzo wa mwisho” wao husema ‘‘the beginning of the end’’.

 

10 years ago

Vijimambo

Zitto: Mwisho ama mwanzo.

Mbunge wa Kigoma Kaskazini (Chadema), Kabwe Zitto, jana alitangaza kujiuzulu ubunge kwa kusambaza waraka kwa vyombo vya habari.

Baadaye Zitto alikwenda bungeni katika kikao cha jioni kwa ajili ya kuwaaga wabunge wenzake na kuwaeleza sababu za uamuazi wake.

Hata hivyo, kabla ya kuwasili bungeni akisubiri kupewa fursa ya kuwaaga wabunge, aliwaeleza waandishi wa habari kwamba Spika wa Bunge, Anne Makinda amemzuia kuchukua uamuzi huo na kwamba yeye (Zitto) alikuwa akiendelea kumshawishi...

 

9 years ago

Habarileo

Magufuli kuishangilia Stars mwanzo mwisho

RAIS wa Awamu ya Tano nchini, Dk John Magufuli anatarajiwa kuwa mmoja wa mashabiki watakaoipa nguvu timu ya soka ya taifa ya Tanzania `Taifa Stars’ katika mchezo wa kuwania kufuzu Kombe la Dunia Urusi 2018 dhidi ya Algeria kwenye Uwanja wa Taifa keshokutwa Jumamosi.

 

11 years ago

Mwananchi

Yanga: Tutashambulia mwanzo mwisho leo

Alexandria, Misri. Kocha wa Yanga, Hans Van Pluijm amesema mbinu pekee ya kujilinda katika mchezo wa leo wa Ligi ya Mabingwa dhidi ya Al Ahly ni kushambulia tu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani