Mwasisi wa iliyokuwa ligi ya muungano augua
Aliyewahi kuwa nahodha wa timu ya Tanganyika kwenye michezo ya kwanza ya Olimpiki mwaka 1964 na katibu mkuu wa zamani wa Chama cha Soka Tanzania (FAT), sasa TFF, Hassan Chabanga Dyamwale amepooza kwa miezi miwili sasa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziLigi Kuu ya Muungano ya Netiboli yaendelea Uwanja wa Gymkhana, Zanzibar
10 years ago
Mwananchi10 Feb
Weishaupt; mwasisi wa Illuminati - 2
11 years ago
Mwananchi19 Jan
Mwasisi wa Watupori anayepigania kutoka
9 years ago
Raia Mwema07 Oct
Kingunge, Mwasisi wa CCM aliyekimbia kivuli chake
KINGUNGE Ngombale-Mwiru, mwanasiasa na msomi aliyejipembua kwa msimamo wa itikadi ya kisoshalisti
Mwandishi Wetu
9 years ago
Mtanzania11 Nov
Mwasisi wa Msondo, Kapteni John Simon aaga dunia
NA JIMMY CHIKA
MWANAMUZIKI mkongwe, Kapteni John Simon, ambaye ni mmoja kati ya wanamuziki walioanzisha bendi ya NUTA Jazz Msondo Ngoma mwaka 1964, amefariki dunia.
Kwa mujibu wa Katibu wa Chama cha Muziki wa Dansi Tanzania (Chamudata), Hassan Msumari, mkongwe huyo alifariki Jumatatu katika Hospitali ya Muhimbili alikokuwa amelazwa akitibiwa ugonjwa wa moyo.
Kiongozi wa bendi ya Shikamoo Jazz aliyokuwa akiitumikia hadi mwisho wa maisha yake, Ally Adinani, alisema mazishi ya mwanamuziki huyo...
10 years ago
Michuzi09 Nov
Mwasisi wa Swahili Blues Leo Mkanyia Azidi Kutikisa Kimataifa
![Embedded image permalink](https://pbs.twimg.com/media/B17kVxzIIAERTK4.jpg)
Siku chache zilizopita, Leo alirekodi wimbo wake mpya uitwao 'Pamoja.' Miongoni mwa yatakayoonekana katika video ya wimbo huo ni performance ya kihistoria ya msanii huyo katika moja ya vyuo vikuu vikubwa hapa Uingereza, Nottingham University, ambapo Leo alifanikiwa kuwaimbisha Kiswahili baadhi ya...
10 years ago
Vijimambo09 Nov
Video na Picha: Mwasisi wa Swahili Blues Leo Mkanyia Azidi Kutikisa Kimataifa
![Embedded image permalink](https://pbs.twimg.com/media/B17kVxzIIAERTK4.jpg)
Siku chache zilizopita, Leo alirekodi wimbo wake mpya uitwao 'Pamoja.' Miongoni mwa yatakayoonekana katika video ya wimbo huo ni performance ya kihistoria ya msanii huyo katika moja ya vyuo vikuu vikubwa hapa Uingereza, Nottingham University, ambapo Leo alifanikiwa kuwaimbisha Kiswahili baadhi ya...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--OZiXMjNZKc/VLkEindBcpI/AAAAAAAG9z0/i8zY7RsrDew/s72-c/Chama_Cha_Mapinduzi_Logo.png)
CCM ZANZIBAR YAOMBOLEZA KIFO CHA MWASISI WA ASP MAREHEMU MAKAME MZEE SULEIMAN
![](http://4.bp.blogspot.com/--OZiXMjNZKc/VLkEindBcpI/AAAAAAAG9z0/i8zY7RsrDew/s1600/Chama_Cha_Mapinduzi_Logo.png)
Marehemu Makame Mzee Suleiman, alizaliwa tarehe 14 Aprili, 1926, katika Kijiji cha Mitakawani, Wilaya ya Kati, Mkoa wa Kusini, Unguja.
Alipata Elimu ya Msingi katika Skuli ya Uzini mwaka 1936. Aidha,...
10 years ago
Mwananchi29 Oct
Maiti iliyokuwa ikigombewa Moshi yazikwa