Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Weishaupt; mwasisi wa Illuminati - 2

Illuminati ni jina ambalo kihistoria lilianzia huko Bavaria nchini Ujerumani katika kipindi ambacho Ulaya ilikuwa katika mageuzi kutoka ulimwengu wa nadharia dhanifu kwenda ule wa nadharia yakinifu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Adam Weishaupt aliasisi nadharia ya Illuminati

Johann Adam Weishaupt alizaliwa Februari 6, 1748 Ingolstadt, Bavaria na kufariki Novemba 18, 1830 mjini Gotha, Saxe-Coburg-Gotha akiwa na umri wa miaka 82.

 

9 years ago

Bongo5

Jose Chameleone finally comes clean about Illuminati

Uganda Legendary Artiste, Joseph Mayanja popularly known by his stage name, Dr. Jose Chameleone has finally come out to address the issues surrounding the Illuminati allegements. The singer took to Facebook and shared a beautiful photo with her daughter and captioned it with a statement below; “Good morning my people!!!!! I am thankful to GOD […]

 

10 years ago

Bongo5

Illuminati? Godzilla aeleza undani wa single yake mpya ‘Illuminaughty’

Wiki Godzilla anaachia ngoma kadhaa ukiwemo wimbo rasmi uitwao ‘Karibu Yako’ uliotayarishwa na Lamar pamoja na wimbo usio rasmi uitwao ‘Illuminaughty’. Godzilla amedai kuwa pamoja na Illuminaughty kufanana na Illuminati ambayo huhusishwa na shetani, watu wasiogope kwakuwa anachohitaji ni kufikisha ujumbe wake kwa jamii. “Unajua kuna wazazi ukiwapelekea mke unakuta yale mavazi ya vimini, kujipodoa, […]

 

11 years ago

Mwananchi

Mwasisi wa Watupori anayepigania kutoka

Tafsiri ya jina lake siyo ‘swaga’ wala sanaa pekee, bali hata katika uhalisia wa maisha anayoishi sasa kutokana na kundi kubwa la Wanyama wa kufuga alilonalo nyumbani kwake.

 

10 years ago

Mwananchi

Mwasisi wa iliyokuwa ligi ya muungano augua

Aliyewahi kuwa nahodha wa timu ya Tanganyika kwenye michezo ya kwanza ya Olimpiki mwaka 1964 na katibu mkuu wa zamani wa Chama cha Soka Tanzania (FAT), sasa TFF, Hassan Chabanga Dyamwale amepooza kwa miezi miwili sasa.

 

9 years ago

Raia Mwema

Kingunge, Mwasisi wa CCM aliyekimbia kivuli chake

KINGUNGE Ngombale-Mwiru, mwanasiasa na msomi aliyejipembua kwa msimamo wa itikadi ya kisoshalisti

Mwandishi Wetu

 

9 years ago

Mtanzania

Mwasisi wa Msondo, Kapteni John Simon aaga dunia

Kapten aliyefarikiNA JIMMY CHIKA

MWANAMUZIKI mkongwe, Kapteni John Simon, ambaye ni mmoja kati ya wanamuziki walioanzisha bendi ya NUTA Jazz Msondo Ngoma mwaka 1964, amefariki dunia.

Kwa mujibu wa Katibu wa Chama cha Muziki wa Dansi Tanzania (Chamudata), Hassan Msumari, mkongwe huyo alifariki Jumatatu katika Hospitali ya Muhimbili alikokuwa amelazwa akitibiwa ugonjwa wa moyo.

Kiongozi wa bendi ya Shikamoo Jazz aliyokuwa akiitumikia hadi mwisho wa maisha yake, Ally Adinani, alisema mazishi ya mwanamuziki huyo...

 

10 years ago

Michuzi

Mwasisi wa Swahili Blues Leo Mkanyia Azidi Kutikisa Kimataifa

Embedded image permalinkGazeti la The Citizen la Tanzania linamwita 'lulu iliyofichika' hidden gem, kwa kimombo). Huyu ni Leo Mkamia, msanii wa Kitanzania na mwanzilishi wa aina ya muziki ujulikanao kama 'Swahili Blues.'
Siku chache zilizopita, Leo alirekodi wimbo wake mpya uitwao 'Pamoja.' Miongoni mwa yatakayoonekana katika video ya wimbo huo ni performance ya kihistoria ya msanii huyo katika moja ya vyuo vikuu vikubwa hapa Uingereza, Nottingham University, ambapo Leo alifanikiwa kuwaimbisha Kiswahili baadhi ya...

 

10 years ago

Vijimambo

Video na Picha: Mwasisi wa Swahili Blues Leo Mkanyia Azidi Kutikisa Kimataifa

Embedded image permalinkGazeti la The Citizen la Tanzania linamwita 'lulu iliyofichika' hidden gem, kwa kimombo). Huyu ni Leo Mkamia, msanii wa Kitanzania na mwanzilishi wa aina ya muziki ujulikanao kama 'Swahili Blues.'
Siku chache zilizopita, Leo alirekodi wimbo wake mpya uitwao 'Pamoja.' Miongoni mwa yatakayoonekana katika video ya wimbo huo ni performance ya kihistoria ya msanii huyo katika moja ya vyuo vikuu vikubwa hapa Uingereza, Nottingham University, ambapo Leo alifanikiwa kuwaimbisha Kiswahili baadhi ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani