Adam Weishaupt aliasisi nadharia ya Illuminati
Johann Adam Weishaupt alizaliwa Februari 6, 1748 Ingolstadt, Bavaria na kufariki Novemba 18, 1830 mjini Gotha, Saxe-Coburg-Gotha akiwa na umri wa miaka 82.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi10 Feb
Weishaupt; mwasisi wa Illuminati - 2
Illuminati ni jina ambalo kihistoria lilianzia huko Bavaria nchini Ujerumani katika kipindi ambacho Ulaya ilikuwa katika mageuzi kutoka ulimwengu wa nadharia dhanifu kwenda ule wa nadharia yakinifu.
9 years ago
Bongo522 Sep
Jose Chameleone finally comes clean about Illuminati
Uganda Legendary Artiste, Joseph Mayanja popularly known by his stage name, Dr. Jose Chameleone has finally come out to address the issues surrounding the Illuminati allegements. The singer took to Facebook and shared a beautiful photo with her daughter and captioned it with a statement below; “Good morning my people!!!!! I am thankful to GOD […]
10 years ago
Bongo511 Nov
Illuminati? Godzilla aeleza undani wa single yake mpya ‘Illuminaughty’
Wiki Godzilla anaachia ngoma kadhaa ukiwemo wimbo rasmi uitwao ‘Karibu Yako’ uliotayarishwa na Lamar pamoja na wimbo usio rasmi uitwao ‘Illuminaughty’. Godzilla amedai kuwa pamoja na Illuminaughty kufanana na Illuminati ambayo huhusishwa na shetani, watu wasiogope kwakuwa anachohitaji ni kufikisha ujumbe wake kwa jamii. “Unajua kuna wazazi ukiwapelekea mke unakuta yale mavazi ya vimini, kujipodoa, […]
10 years ago
Mwananchi16 Sep
Nadharia za asili ya lugha ya Kiswahili
Historia ya lugha ya Kiswahili imegawanyika katika vipindi tofauti katika ukuaji na kuenea kwake, lakini asili ya lugha hii imeelezewa na wataalamu wengi kupitia hoja mbalimbali.
10 years ago
Mwananchi16 Jun
Nadharia tete kuelekea Uchaguzi Mkuu
Tunahitaji viongozi sahihi wa kututoa hapa tulipo. Tumekwama, maendeleo yamegota. Hii ndiyo ajenda kubwa kwenye vichwa vya watu wengi kwenye nadharia zao kuelekea uchaguzi mkuu miezi michache ijayo.
11 years ago
Habarileo07 Apr
Mfumo wa elimu umejaa nadharia na kukosa vitendo
MFUMO wa elimu nchini umeelezwa kuwa wa kinadharia zaidi kuliko vitendo, jambo ambalo husababisha mwanafunzi kushindwa kutumia kwa dhati ujuzi walionao katika kufanya shughuli kwa vitendo zaidi.
11 years ago
Mwananchi23 Feb
Nadharia, umuhimu wa haki za kijamii na nafasi yake katika Katiba ya watu
Bila shaka wengi wetu tunasikia yanayotokea kwenye nchi kama Burma, Burundi, Afrika ya Kati, Misri, Eritrea, Sudan ya Kusini, Ukraine, Thailand na nchi nyingine kama hizo.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Xrh8yI_wRvY/XpAXiykiMeI/AAAAAAALmtU/llzGrJ0VfZolgZgemmYs1BnrwzKsH245QCLcBGAsYHQ/s72-c/Budin-Newton.jpg)
ISAAC NEWTON; PROFESA ALIYETUMIA VYEMA MUDA WAKATI WA JANGA LA TAUNI KUGUNDUA NADHARIA ZA KISAYANSI
Leandra Gabriel, Michuzi TV
MWAKA 1665 kulitokea mlipuko wa ugonjwa wa Tauni uliojulikana zaidi kama "Black Death" nchini Uingereza hali iliyopelekea shule, vyuo na huduma mbalimbali za kijamii kuzuiliwa kwa muda kwa lengo la kupunguza kasi ya maambukizi ya Tauni kama inavyofanyika sasa ambapo dunia inakabiliwa na mlipuko wa virusi vya Corona (Covid-19.)
Wakati huo Isaac Newton alikuwa mwanafunzi Chuo Kikuu Cambridge na hakuwa Profesa na alilazimika kurudi nyumbani kati ya mwaka 1665...
5 years ago
BBCSwahili07 May
Virusi vya Corona: Nadharia za kuficha ukweli zaibuka kuhusu kifo cha mtaalamu wa corona.
Polisi nchini Marekani wanadai huenda mauaji hayo ni ya kimapenzi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania