Mfumo wa elimu umejaa nadharia na kukosa vitendo
MFUMO wa elimu nchini umeelezwa kuwa wa kinadharia zaidi kuliko vitendo, jambo ambalo husababisha mwanafunzi kushindwa kutumia kwa dhati ujuzi walionao katika kufanya shughuli kwa vitendo zaidi.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo501 Dec
Msanii wa Nigeria Burna Boy aponda mfumo wa muziki wa Nigeria, adai umejaa siasa
Muimbaji wa Dancehall kutoka Nigeria, Burna Boy ameponda mfumo wa muziki wa Nigeria na kudai kuwa umejaa siasa ndio sababu hapati tuzo nyingi anazostahili.
Akizungumza na jarida la Fader, Burna amesema kutokana na hayo anajiona kama yeye si sehemu ya muziki wa Nigeria kwasababu kuna baadhi ya watu walioutawala muziki huo wasiompenda.
“Kusema kweli ni siasa tupu, sijioni kama ni sehemu ya kiwanda cha muziki, angalia tuzo, sipati tuzo kwasababu wanaoutawala hawanipendi, mimi sio kama...
5 years ago
MichuziHaki Elimu Yatoa Tathmini ya Mfumo wa Elimu Baada ya Covid 19
Tasisi isiyo ya Kiserikali ya Haki
Elimu Tanzania imesema katika kipindi hiki cha shule kufungwa nje ya utaratibu
rasmi wa likizo kimetufanya tugundue namna mfumo wetu wa utoaji elimu ulivyo na
mapungufu mengi.
Hayo yamesemwa na Mkurugenzi wa Shirika
Hilo Dk.John Kalaghe alipokuwa akizungumza na wadau wa elimu kupitia mkutano
uliandaliwa na tasisi hiyo uliofanyika kwa njia ya mtandao wakati wa
mahadhimishoi ya siku ya mtoto wa Afrika.
Dk Kalaghe alisema kuwa...
11 years ago
Mwananchi07 Jan
Elimu ya ujasiriamali katika mfumo wa elimu nchini
10 years ago
Tanzania Daima09 Sep
‘Kukosa elimu sawa na kibatari’
OFISA Elimu Shule za Sekondari wilayani Temeke Dar es Salaam, Donald Chavilla amesema kukosa elimu ni sawa na kibatari. Alisema hayo mwishoni mwa wiki katika mahafali ya tisa ya kidato...
11 years ago
Tanzania Daima06 Mar
Elimu duni huwaathiri wabakwaji kukosa haki
KWA mujibu wa Sheria ya Kanuni ya Adhabu – Penal code CAP 16 R.E2002; neno kubaka lina maana pana ukilinganisha inavyofahamika kwa watu wengi. Mtu atahesabika kuwa ametenda kosa la...
10 years ago
Mwananchi16 Dec
'Wajiuza’ kwa kukosa mikopo ya elimu
5 years ago
MichuziWAHITIMU WA VYUO VYA ELIMU YA JUU 3,200 WANUFAIKA NA MAFUNZO YA VITENDO SEHEMU ZA KAZI
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama akizungumza na Waajiri na Vijana wanufaika wa Mafunzo ya Vitendo sehemu za Kazi “Internship Training” alipofanya ziara ya kutembelea na kukagua mafunzo wanayopatiwa vijana hao na waajiri, Mkoani Iringa.
Sehemu ya Vijana wanufaika wa Mafunzo ya Vitendo sehemu za Kazi “Internship Training” wakifuatilia hotuba ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera,...
10 years ago
Mwananchi21 Apr
Huu si mfumo wa elimu wa karne ya 21
11 years ago
Tanzania Daima02 Jul
Mfumo wa elimu wakwaza wazazi
UTAFITI wa Taasisi ya Twaweza, umebaini kuwa wazazi hawana matumaini na mfumo wa elimu unaotumika hivi sasa kufundishia kama utawasaidia watoto kupata ujuzi na stadi kwa kiwango wanachostahili kupata wakiwa...