Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Video na Picha: Mwasisi wa Swahili Blues Leo Mkanyia Azidi Kutikisa Kimataifa

Embedded image permalinkGazeti la The Citizen la Tanzania linamwita 'lulu iliyofichika' hidden gem, kwa kimombo). Huyu ni Leo Mkamia, msanii wa Kitanzania na mwanzilishi wa aina ya muziki ujulikanao kama 'Swahili Blues.'
Siku chache zilizopita, Leo alirekodi wimbo wake mpya uitwao 'Pamoja.' Miongoni mwa yatakayoonekana katika video ya wimbo huo ni performance ya kihistoria ya msanii huyo katika moja ya vyuo vikuu vikubwa hapa Uingereza, Nottingham University, ambapo Leo alifanikiwa kuwaimbisha Kiswahili baadhi ya...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Mwasisi wa Swahili Blues Leo Mkanyia Azidi Kutikisa Kimataifa

Embedded image permalinkGazeti la The Citizen la Tanzania linamwita 'lulu iliyofichika' hidden gem, kwa kimombo). Huyu ni Leo Mkamia, msanii wa Kitanzania na mwanzilishi wa aina ya muziki ujulikanao kama 'Swahili Blues.'
Siku chache zilizopita, Leo alirekodi wimbo wake mpya uitwao 'Pamoja.' Miongoni mwa yatakayoonekana katika video ya wimbo huo ni performance ya kihistoria ya msanii huyo katika moja ya vyuo vikuu vikubwa hapa Uingereza, Nottingham University, ambapo Leo alifanikiwa kuwaimbisha Kiswahili baadhi ya...

 

10 years ago

Bongo5

Video: Mfahamu Leo Mkanyia, mwanzilishi wa Swahili Blues

Mwanamuziki wa Tanzania, Leo Mkanyia anauita muziki wake ‘Swahili blues’. Alizaliwa jijini Dar es Salaam mwaka 1981, na alianza kucheza guitar akiwa na miaka minane na baadaye kufundishwa kulicharaza vizuri na baba yake aliyekuwa akicheza muziki wa Jazz. Tumefanya mahojiano na Leo ambaye ametueleza kwanini aliamua kuuita muziki wake Swahili Blues. Tazama mahojiano hayo ambayo […]

 

10 years ago

Vijimambo

LEO MKANYIA WA BAND YA SWAHILI BLUES BAND

 Leo Mkanyia alipata mwaliko kutoka Nottingham University hili kushiriki kwenye tamasha la kuraise awareness juu ya Ebola. Leo akiwa chuoni hapo aliimba wimbo alioupa jina la "Pamoja' wimbo huo wa pamoja aliupiga kwenye tamasha hilo kwa kushirikiana na Nottingham Academy Choir. Wimbo huo pia alipata nafasi ya kurekodiwa na utakuwa tayari kwa kusambanzwa kwenye vituo vya radio hapa nchini.

  Hapa Leo akiimba wimbo huo wa pamoja na wanafunzi wa chuoni hapa kama unavyoona pembini Profesa...

 

11 years ago

Mwananchi

Swahili Music Band; Inapiga muziki uliofanyiwa utafiti, Mkanyia akiiongoza

Katika miaka ya hivi karibuni kumekuwepo na wimbi la wanamuziki kuanzisha bendi zao kwa lengo la kujitegemea na kujijenga kiuchumi, pia kutoa burudani kwa jamii.

 

10 years ago

Bongo Movies

Koko Byanko Azidi Kutikisa

MUIGIZAJI Koko Byanko ameeleza kuwa, hatasahau namna alivyokuwa kambini wakati akiigiza filamu mpya ya MCC Machupachupa ambapo alikutana na jopo la wataalamu wa utengenezaji filamu lililomtia hamasa ya kuigiza kwa ustadi mkubwa kwenye filamu hiyo.


Koko alieleza kuwa, jopo hilo lililokuwa limekamilika kila idara, liliwafanya waigizaji wawe na ari kubwa wakati wote na hivyo kufanya vizuri wakati wakiigiza.


“Hapa nilipo kila wakati naweweseka kila ninapopata pongezi kutoka kwa mashabiki...

 

10 years ago

Michuzi

Ziara Ya Swahili Blues Band Mjini Nairobi


Makadam na Prasad wakiwajibikaWapenzi wakipigishwa mpumwende.
Baada ya ziara ya mafanikio ya mwezi mmoja mjini Addis Ababa, bendi ya Swahili Blues chini ya uongozi wa Leo Mkanyia imefanya ziara nyingine mjini Nairobi.
Bendi hiyo yenye maskani yake katika hoteli ya nyota tano ya Serena iliyo katikati ya mji wa Dar es Salaam ilianza ziara yake katika klabu maarufu inayojulikana kama Choices iliyopo katika barabara ya Baricho kwenye kitongoji cha Industrial Area. Shoo hiyo kabambe ilifanyika siku...

 

10 years ago

Vijimambo

SWAHILI BLUES BAND WANG'A KATIKA TAMASHA LA DOADOA


Mkamuzi yalikuwa siyo ya kitoto kama unavyoona kwenye picha Watu wakisasambuka mwanzo mwisho
Leo Mkanyia Ang'aa katika Tamasha la DoaDoa
Baada ya ziara ya mafanikio katika jiji la maraha la Nairobi, kundi zima la Swahili Blues Band chini ya uongozi wa Leo Mkanyia walielekea mjini Jinja Uganda kushiriki katika Tamasha la muziki la DoaDoa.
Tamasha la DoaDoa ni maalumu kwa wanamuziki kutoka Afrika ya Mashariki kushiriki na kutambulishwa kwenye jukwaa la kimataifa. DoaDoa wanatoa fursa mahsusi kwa...

 

10 years ago

Michuzi

SWAHILI BLUES BAND WAKANDAMIZA VILIVYO KATIKA TAMASHA LA DOADOA


Mkamuzi yalikuwa siyo ya kitoto kama unavyoona kwenye picha Watu wakiserebuka mwanzo mwisho
Leo Mkanyia Ang'aa katika Tamasha la DoaDoa
Baada ya ziara ya mafanikio katika jiji la maraha la Nairobi, kundi zima la Swahili Blues Band chini ya uongozi wa Leo Mkanyia walielekea mjini Jinja Uganda kushiriki katika Tamasha la muziki la DoaDoa.Tamasha la DoaDoa ni maalumu kwa wanamuziki kutoka Afrika ya Mashariki kushiriki na kutambulishwa kwenye jukwaa la kimataifa. DoaDoa wanatoa fursa mahsusi kwa...

 

10 years ago

Vijimambo

SWAHILI BLUES BAND YA ANZA KUJIPATIA UMAARUFU NJE YA NCHI YA TANZANIA

 Swahili Blues Band ya Tanzania ikiwa katika uwanja wa kimataifa wa Mwl JK Nyerere tayari kuanza safari ya kuelekea mjini Addis Ababa.
 Bendi ikikaribishwa rasmi na mwenyeji wao Dr Mulatu katika klabu ya African Jazz VillageLeo Mkanyia akihojiwa na moja ya redio ya Addis Ababa akiwa na Dr Mulatu
Leo Mkanyia and Swahili Blues Band iko mjini Addis Ababa Ethiopia kwa mwaliko maalumu toka kwa gwiji la muziki barani Afrika na ulimwenguni kote Dr Mulatu Astakte. 
Swahili Blues Band ilifika mjini...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani