Swahili Music Band; Inapiga muziki uliofanyiwa utafiti, Mkanyia akiiongoza
Katika miaka ya hivi karibuni kumekuwepo na wimbi la wanamuziki kuanzisha bendi zao kwa lengo la kujitegemea na kujijenga kiuchumi, pia kutoa burudani kwa jamii.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-VFvAs_BEezc/VF_bkvX9iBI/AAAAAAAAqBM/XRtPCq3lKEQ/s72-c/IMG-20141109-WA0013.jpg)
LEO MKANYIA WA BAND YA SWAHILI BLUES BAND
![](http://1.bp.blogspot.com/-VFvAs_BEezc/VF_bkvX9iBI/AAAAAAAAqBM/XRtPCq3lKEQ/s1600/IMG-20141109-WA0013.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-irrnSlxNqH8/VF_bkX3ZjOI/AAAAAAAAqBI/8brxAJF5SME/s1600/IMG-20141109-WA0020.jpg)
10 years ago
Bongo524 Oct
Video: Mfahamu Leo Mkanyia, mwanzilishi wa Swahili Blues
10 years ago
Michuzi09 Nov
Mwasisi wa Swahili Blues Leo Mkanyia Azidi Kutikisa Kimataifa
![Embedded image permalink](https://pbs.twimg.com/media/B17kVxzIIAERTK4.jpg)
Siku chache zilizopita, Leo alirekodi wimbo wake mpya uitwao 'Pamoja.' Miongoni mwa yatakayoonekana katika video ya wimbo huo ni performance ya kihistoria ya msanii huyo katika moja ya vyuo vikuu vikubwa hapa Uingereza, Nottingham University, ambapo Leo alifanikiwa kuwaimbisha Kiswahili baadhi ya...
10 years ago
Vijimambo09 Nov
Video na Picha: Mwasisi wa Swahili Blues Leo Mkanyia Azidi Kutikisa Kimataifa
![Embedded image permalink](https://pbs.twimg.com/media/B17kVxzIIAERTK4.jpg)
Siku chache zilizopita, Leo alirekodi wimbo wake mpya uitwao 'Pamoja.' Miongoni mwa yatakayoonekana katika video ya wimbo huo ni performance ya kihistoria ya msanii huyo katika moja ya vyuo vikuu vikubwa hapa Uingereza, Nottingham University, ambapo Leo alifanikiwa kuwaimbisha Kiswahili baadhi ya...
10 years ago
Dewji Blog02 Aug
East Africa Vibes Concert yafana Dar: Eric Omondi, Sarabi Band, Leo Mkanyia na Grace Matata wafunika
Wanamuziki wa bendi ya SARABI kutoka Kenya, ikishambulia jukwaa usiku wa jana Agosti Mosi, wakati wa shoo East Africa Vibes Concert iliyofanyika Nafasi Art Space, Mikocheni. (Picha zote na Andrew Chale wa modewjiblog)
Na Andrew Chale
(Kinondoni-Dar es Salaam) Usiku wa Agosti Mosi ulikuwa ni ya kipekee kwa wadau wa burudani na vichekesho ndani ya Afrika Mashariki baada ya kushuhudia muziki wenye vionjo halisi kutoka kwa wanamuziki mbalimbali wa Afrikaa Mashariki ndani ya ukumbi wa...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-fxQlWgj-wvo/VbjWI5ojzbI/AAAAAAAAGrk/95moUOuDoSg/s72-c/leo%2B3.jpg)
ERIC OMONDI KUVUNJA MBAVU ZA WAKAZI DAR JUMAMOSI HII, KUSINDIKIZWA NA SARABI BAND, LEO MKANYIA NA GRACE MATATA
![](http://2.bp.blogspot.com/-fxQlWgj-wvo/VbjWI5ojzbI/AAAAAAAAGrk/95moUOuDoSg/s640/leo%2B3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-o30VEK-kgXY/VbjWUpwUnPI/AAAAAAAAGrs/yVS_igG0R-o/s640/ERIC.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-R4vNK17xbzE/VbCefzLZ6EI/AAAAAAAAGrA/6zj-7nEILPg/s72-c/eavc.jpg)
10 years ago
MichuziMsondo Ngoma Music Band (Tanzania) Oldest band in Africa
![](http://3.bp.blogspot.com/-Qj1tjH7rMwU/VBXfxepYloI/AAAAAAAGjkk/8ixucSqKYbM/s1600/download.jpg)
10 years ago
Dewji Blog04 Sep
Sauti Sol, Skylight Band na Yamoto Band wapagawisha wakazi wa Dar BEAUTY and MUSIC Night!
Kundi la muziki kutoka nchini Kenya Sauti Sol waking’ara kwenye Red Carpet mwishoni mwa juma kwenye BEAUTY and MUSIC Night uliofanyika kwenye fukwe za Escape One Mikocheni jijini Dar.
Petit Man (katikati) akishow love na wasanii wa bongo flava waliotumbuiza kwenye usiku huo maalum Kulia ni Mirror na Kushoto ni msanii wa bongo flava Jordan.
Mwanadada mrembo akishow love mbele ya camera yetu.
Petit Man Wakuache aking’ara kwenye Red Carpet.
Mirror na msanii mwenzake Jordan wakishow love...