MWENENDO WA KAMPENI ZA CCM
Mjumbe wa kamati ya kampeni ya CCM, January Y. Makamba. TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Tumewaita kuwaomba mtusaidie kufikisha ujumbe ufuatao kwa Watanzania: MWENENDO WA KAMPENI ZA CCM Hadi jana, tarehe 16 September 2015, Mgombea Urais wa CCM, Dr. John Pombe Magufuli, alikuwa amekwishafanya kampeni katika mikoa 12 na Majimbo 94. Amekwishafanya mikutano mikubwa ya hadhara 76 na mikutano ya barabarani 381. Amekwishatembea,...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/makamba.jpg?width=650)
CCM YATOA MWENENDO WA KAMPENI ZAKE
11 years ago
Dewji Blog06 Apr
Ridhiwani Kikwete akutana na waandishi wa habari, kuzungumzia mwenendo wa kampeni zake
Mgombea Ubunge katika Uchaguzi Mdogo Jimbo la Chalinze,Ridhiwani Jakaya Kikwete akizungumza na Waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa mkutano wake wa kuzungumzia mwenendo mzima wa Kampeni zake,leo April 4,2014,Nyumbani kwake Msoga.(Picha na Othman Michuzi).
9 years ago
Dewji Blog15 Oct
Baraza la vyama vya Siasa nchini wajadili mwenendo wa kampeni za Uchaguzi Mkuui!
Mwenyekiti wa Baraza la Vyama vya Siasa Peter Kuga Mziray akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusiana na kutafakari mwenendo wa Kampeni unavyoendelea na Changamoto na Utatuzi wake katika Ukumbi wa Hoteli ya Bwawani Zanzibar,kulia ni Mwenyekiti wa kamati ya Fedha ya Baraza la vyama vya Siasa Constantine Akitanda na kushoto ni Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge na Siasa ya Baraa la vyama vya Siasa Lifa Chopaka. (Picha na Yussuf Simai-Maelezo Zanzibar)
Na Faki Mjaka-Maelezo Zanzibar
Baraza la...
9 years ago
MichuziBARAZA LA VYAMA VYA SIASA NCHINI WAJADILI MWENENDO WA KAMPENI ZA UCHAGUZI MKUU
9 years ago
StarTV09 Nov
CCM Kilimanjaro yatoa tamko juu ya mwenendo wa uchaguzi
Umoja wa vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Wilaya ya moshi Mjini, mkoani Kilimanjaro umeiomba serikali kuweka sheria madhubuti zinazolenga kuthibiti wasimamizi wa uchaguzi ambao wanakiuka sheria na kanuni za Tume ya taifa ya uchaguzi NEC kwa kusababisha vurugu katika zoezi la uhesabuji wa kura.
Kauli hiyo inakuja kufuatia kuwepo kwa malalamiko mengi ya wagombea wa kiti cha ubunge na udiwani katika baadhi ya majimbo mkoani humo kulalamikia zoezi la uchaguzi kutokuwa huru na...
9 years ago
CCM Blog![](http://2.bp.blogspot.com/-scuLHbBl8Ts/VizxbC8c5mI/AAAAAAAA00c/jyklfaEYr9U/s72-c/IMG_20151025_172455.jpg)
9 years ago
Vijimambo21 Sep
KAMPENI ZA CCM ZAPAMBA MOTO,MWIGULU,LOVENESS MAMUYA WASHIRIKI UFUNGUZI WA KAMPENI KISESA-MEATU
![](https://scontent-ams3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xfp1/v/t1.0-9/12047074_428101090725458_1216147968023663156_n.jpg?oh=a1488b21bfb4f65dcca8684d68f9cdf1&oe=569D8541)
![](https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpl1/v/t1.0-9/12002080_428100854058815_5135986780182457092_n.jpg?oh=d4b8080fc859d6d77fa64f99b05716d2&oe=565F6D4D&__gda__=1453282753_84af7ea48c0c4260286b22029bc18bcb)
![](https://scontent-ams3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xpf1/v/t1.0-9/12003212_428100804058820_8832908201740269439_n.jpg?oh=7b856c53a1acac90c0349bad90782928&oe=56A87FA0)
![](https://scontent-ams3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xfa1/v/t1.0-9/12042708_428101204058780_7143938062512622436_n.jpg?oh=f18a1c5016d958d5c79c0f787fb68201&oe=565ED955)
![](https://fbcdn-sphotos-g-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xat1/v/t1.0-9/12032154_428100934058807_4845867612073923492_n.jpg?oh=82f08167bb84b475b02b7b481c42560b&oe=5697921C&__gda__=1452854979_6159e918638e80bca871e83ec3eab8a9)
![](https://scontent-ams3-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xat1/v/t1.0-9/12038119_428101027392131_3643435805773286259_n.jpg?oh=d3f6bbdb41e77ea448212d02482b801e&oe=56A3292B)
9 years ago
Dewji Blog22 Oct
CCM kufunga kampeni zake kwa kishindo, Magufuli, Mgombea mwenza na Rais Kikwete kufunga kampeni Mkoani Mwanza
Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwa kwenye gari pamoja na Mgombea mwenza (picha ya Maktaba yetu wakati wa kampeni zinazoendelea za wagombea hao).
CCM inapenda kutoa taarifa kuhusu masuala kadhaa kwa wanachama, wapenzi na mashabiki wake na kwa umma wa Watanzania.
Kufunga Kampeni
CCM itafunga kampeni zake kwa utaratibu mpya na kwa kishindo. Kampeni za CCM zitafungwa Kitaifa kwa mikutano mikubwa ya kampeni katika mikoa mitano. Mikutano hiyo itaongozwa na viongozi...