Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwenyekiti, DAS waanza kujitetea

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti, John Ng’oina anakiri fedha hizo kutofanya kazi yoyote na hakuna ahadi iliyokusanywa tangu mwaka 2009 kwa madai kuwa, wajumbe wa kamati hawajatimiza wajibu wao.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Daily News

RAS, DAS urged to improve public service delivery


RAS, DAS urged to improve public service delivery
Daily News
REGIONAL and District administrators have been urged to look for more revenue sources in their respective administrative areas to boost development projects and service delivery to the public. The call was made here yesterday by the Permanent Secretary ...

 

5 years ago

Michuzi

DAS NAMTUMBO AWATAKA MAAFISA WANYAMAPORI KUFANYAKAZI WALIZOSOMEA.


NA YEREMIAS NGERANGERA….NAMTUMBOAKIZUNGUMZA kwenye mkutanao wa uzinduzi wa zoezi la kulipakifuta jasho na machozi kwa wananchi wa kijiji cha Nambecha wilayani Namtumbo Mkoani Ruvuma katibu tawala bwana Aden Nchimbi aliwaagiza maafisa wanyamapori wilayani humo kufanya kazi walizosomea na sio vinginevyo.
Aden alisema serikali inatumia fedha nyingi kulipa kifuta jasho na machozi kwa wananchi walioathirika na wanyama waharibifu kila mwaka huku maafisa wanyamapori akiwaona wakiwa maofisini...

 

5 years ago

Michuzi

WATENDAJI VITENDO VYA KIKATILI HAWATAKUWA SALAMA-DAS MASWA

Kaimu Katibu Tawala Wilaya ya Maswa Venance Salia akizungumza na wananchi wa Wilaya ya Bariadi wakati walipokuwa wakiupokea msafara wa kijinsia ulipofika Wilayani humo.
Mwakilishi wa Katibu Mkuu Idara Kuu ya Maendeleo ya Jamii Bi. Imelda Kamugisha akieleza Lengo la Msafara wa kijinsia wakati ulipopokelewa katika Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu.
Msafara wa Kijinsia wakiwa katika picha ya pamoja na uongozi wa Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu mara baada ya kuupokea Msafara wa kijinsia ulipofika...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watano kujitetea kesi ya kulawiti

MAHAKAMA ya Wilaya ya Mwanga mkoani Kilimanjaro, imewakuta na kesi ya kujibu watuhumiwa watano wanaoshitakiwa kwa tuhuma za kulawiti mtoto wa kiume wa miaka 16 (jina linahifadhiwa) ambaye ni mwanafunzi...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Yona azidi kujitetea kortini


NA MWANDISHI WETU
WAZIRI wa zamani wa Nishati na Madini, Daniel Yona, amekiri kuwa aliyekuwa Naibu Waziri wa Wizara ya Fedha, aliagiza mchakato wa kumpata mkaguzi wa dhahabu usitishwe.
Akiendelea kutoa utetezi wake katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jana, Yona alidai kuwa hakutekeleza ushauri huo kwa kuwa Ikulu ilishatoa kibali cha kuendelea na mchakato.
Akiongozwa na wakili wake, Elisa Msuya, mbele ya jopo la majaji linaloongozwa na Jaji John Utamwa, Jaji Sam Rumanyika na Msajili Saul...

 

10 years ago

Mwananchi

Kina Mramba kuendelea kujitetea

Kesi ya kuisababishia Serikali hasara ya Sh 11.7 bilioni inayomkabili aliyekuwa Waziri wa Fedha, Basil Mramba na wenzake itaendelea kusikilizwa mfululizo kwa upande wa utetezi Novemba 24 mpaka 28, mwaka huu.

 

11 years ago

BBCSwahili

Pistorius aanza kujitetea mahakamani

Oscar Pistorius ameanza kutoa utetezi wake katika kesi ya mauaji inayomkabili kwa kuwaomba radhi familia ya Reeva Steenkamp

 

10 years ago

BBCSwahili

Cisse,Evans wapewa muda kujitetea

Mchezaji wa Newcastle Papiss Cisse na Johny Evans wa Manchester United wanashitakiwa kwa kosa la kutemeana mate.

 

10 years ago

Mtanzania

Ngeleja amtumia Zitto kujitetea Escrow

willium NgelejaNA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
MBUNGE wa Sengerema, William Ngeleja (CCM), ameishangaa hatua ya Baraza la Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma kumtaka ajibu mashtaka ya kukiuka maadili ya umma.
Ngeleja pia aliishangaa sekretarieti hiyo kwa kile alichosema ‘limemuacha Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (Chadema)’ aliyedaiwa kufanya kosa linalofanana na lake kwa kupewa zaidi ya Sh milioni 30 kutoka Kampuni ya Pan African Solution Ltd (PAP).
Alitoa shutuma hizo Dar es Salaam jana...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani