Watano kujitetea kesi ya kulawiti
MAHAKAMA ya Wilaya ya Mwanga mkoani Kilimanjaro, imewakuta na kesi ya kujibu watuhumiwa watano wanaoshitakiwa kwa tuhuma za kulawiti mtoto wa kiume wa miaka 16 (jina linahifadhiwa) ambaye ni mwanafunzi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili07 Apr
Pistorius aanza kujitetea mahakamani
11 years ago
Mwananchi29 May
Mwenyekiti, DAS waanza kujitetea
10 years ago
Mwananchi11 Nov
Kina Mramba kuendelea kujitetea
10 years ago
Uhuru Newspaper11 Sep
Yona azidi kujitetea kortini
NA MWANDISHI WETU
WAZIRI wa zamani wa Nishati na Madini, Daniel Yona, amekiri kuwa aliyekuwa Naibu Waziri wa Wizara ya Fedha, aliagiza mchakato wa kumpata mkaguzi wa dhahabu usitishwe.
Akiendelea kutoa utetezi wake katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jana, Yona alidai kuwa hakutekeleza ushauri huo kwa kuwa Ikulu ilishatoa kibali cha kuendelea na mchakato.
Akiongozwa na wakili wake, Elisa Msuya, mbele ya jopo la majaji linaloongozwa na Jaji John Utamwa, Jaji Sam Rumanyika na Msajili Saul...
10 years ago
Mtanzania04 Mar
Ngeleja amtumia Zitto kujitetea Escrow
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
MBUNGE wa Sengerema, William Ngeleja (CCM), ameishangaa hatua ya Baraza la Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma kumtaka ajibu mashtaka ya kukiuka maadili ya umma.
Ngeleja pia aliishangaa sekretarieti hiyo kwa kile alichosema ‘limemuacha Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (Chadema)’ aliyedaiwa kufanya kosa linalofanana na lake kwa kupewa zaidi ya Sh milioni 30 kutoka Kampuni ya Pan African Solution Ltd (PAP).
Alitoa shutuma hizo Dar es Salaam jana...
10 years ago
BBCSwahili06 Mar
Cisse,Evans wapewa muda kujitetea
9 years ago
BBCSwahili01 Jan
Arsenal kujitetea nyumbani dhidi ya Newcastle
10 years ago
Mwananchi04 Mar
Ngeleja awatumia Zitto, Mengi, Manji kujitetea
10 years ago
Habarileo10 Sep
Yona kuanza kujitetea matumizi mabaya ya ofisi
ALIYEKUWA Waziri wa Nishati na Madini, Daniel Yona leo anaanza kujitetea mahakamani dhidi ya tuhuma za matumizi mabaya ya ofisi na kuisababishia Serikali hasara ya Sh bilioni 11.7.