Mwiba wa Bunge Maalumu si Ukawa bali maudhui ya rasimu
Wakati mchakato wa katiba unaanza, kulikuwa na mvutano mkubwa sana juu ya ushiriki wa wanasiasa katika mchakato mzima. Ni ndoto ya mchana kuona watu wanaonufaika na mfumo wanajadili na kupitisha mfumo utakaohatarisha uwepo wao madarakani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
RASIMU ILIYOPENDEKEZWA BUNGE MAALUMU LA KATIBA
11 years ago
Dewji Blog26 Sep
Mahakama kuu: Bunge Maalumu la Katiba lizingatie rasimu
Na Mwandishi wetu
Mahakama Kuu ya Tanzania iliyokaa chini ya Judges Augustine Mwarija, Aloysius Mujulizi na Dr Fauz Twaib imetoa uamuzi wake leo kufuatia maombi ya Saed Kubenea kama ifuatavyo;
1.Kuna mgongano mkubwa kati ya toleo la Kiswahili na Toleo la Kiingereza la kifungu cha 25 (2) cha Sheria ya Mabadiliko ya Katiba.
2. Kwamba pamoja na mgongano huo, Sheria imekusudia kwamba Madaraka ya Bunge Maalum la Katiba yatatekelezwa kupitia Rasimu ya Tume ya maana yake kama ilivyowasilishwa...
11 years ago
Michuzi.jpg)
Baadhi ya wajumbe wa kamati ya kuandaa rasimu ya kanuni za bunge maalumu wakijibu hoja za wabunge leo
.jpg)
.jpg)
.jpg)
.jpg)
11 years ago
Habarileo05 Oct
Maudhui ya Katiba kuchongea Ukawa
MAUDHUI ya Katiba Inayopendekezwa kwa makundi makubwa ya Watanzania, yanatarajiwa kutumika kupambanisha kundi linalojiita Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kwa wananchi, Bara na Visiwani.
11 years ago
Michuzi27 Feb
11 years ago
Mwananchi23 Mar
Ukawa: Hatutakubali kujadili rasimu nyingine
11 years ago
Vijimambo28 Sep
Warioba: Nitaendelea kuitetea Rasimu, sitakimbilia Ukawa

9 years ago
Mwananchi08 Nov
47 watoswa viti maalumu CCM, Ukawa