Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maudhui ya Katiba kuchongea Ukawa

Sehemu ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba katika moja ya vikao vyakeMAUDHUI ya Katiba Inayopendekezwa kwa makundi makubwa ya Watanzania, yanatarajiwa kutumika kupambanisha kundi linalojiita Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kwa wananchi, Bara na Visiwani.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Mwiba wa Bunge Maalumu si Ukawa bali maudhui ya rasimu

Wakati mchakato wa katiba unaanza, kulikuwa na mvutano mkubwa sana juu ya ushiriki wa wanasiasa katika mchakato mzima. Ni ndoto ya mchana kuona watu wanaonufaika na mfumo wanajadili na kupitisha mfumo utakaohatarisha uwepo wao madarakani.

 

11 years ago

Mwananchi

KATIBA: Dk Mwinyi awasihi Ukawa Z’bar kurejea bungeni kuitetea Katiba

>Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dk Hussein Mwinyi amewahimiza wabunge wa kundi la Ukawa upande wa Zanzibar kurejea na kushiriki kwenye Bunge la Katiba ili kumaliza kero na malalamiko katika muundo  wa Muungano kupitia rasimu mpya na kuipa nafasi Zanzibar iweze kujiimarisha kiuchumi.

 

11 years ago

Mwananchi

Maudhui ya kuiga yanaziangusha filamu

>Wadau wa filamu ndani na nje ya nchi wanasema kuwa uwezo wa waigizaji wa hapa nchini umekua kwa kuigiza filamu zinazoweza kushindana na soko la tasnia hiyo. Filamu nyingi zimekuwa za mafunzo.

 

5 years ago

Michuzi

ALIYECHAPISHA MAUDHUI MTANDAONI BILA KIBALI AHUKUMIWA

Na Karama Kenyunko, Michuzi TV.MFANYABIASHARA Obadia Kwitega, amehukumiwa kulipa faini ya shilingi Milioni tano ama kutumikia kifungo cha mwaka mmoja gerezani baada ya kukiri kosa la kuchapisha maudhui mtandaoni bila ya kuwa na kibali.
Hukumu hiyo imesomwa leo Juni 3, 2020 mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu Janet  Mtega wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu baada ya mshtakiwa kuingia makubaliano na DPP na kukiri kosa lake hilo ambapo ametakiwa pia kulipa fidia ya sh. Milioni mbili.
Akisoma hukumu hiyo,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

UKAWA: Katiba basi

MCHAKATO wa katiba mpya umefikia hatua ngumu zaidi kuliko ilivyotarajiwa baada ya wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kutangaza rasmi kutoshiriki vikao vya maridhiano na mikutano ya Bunge...

 

11 years ago

Tanzania Daima

UKAWA wakalia katiba

MATUMAINI ya kupatikana kwa katiba mpya na uwepo wa Bunge Maalum Agosti 5, yatajulikana wiki hii katika vikao vya maridhiano vitakavyofanywa na Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi...

 

11 years ago

Habarileo

Ukawa: Hatutasusia Katiba

MWENYEKITI wa Umoja wa Katiba ya Watanzania (UKAWA), Freeman Mbowe amesema umoja huo, hautasusia mchakato wa uundwaji wa Katiba mpya na badala yake utapigana kufa au kupona, kuhakikisha Katiba ya wananchi inapatikana.

 

10 years ago

TheCitizen

Ukawa to stay out of vote on Katiba

>Parties affiliated to the Coalition of Defenders of People’s Constitution, or Ukawa in its Kiswahili acronym, will not take part in the Referendum slated for April 30.

 

11 years ago

Daily News

Ukawa ready for Katiba talks


Daily News
Ukawa ready for Katiba talks
Daily News
CONSTITUENT Assembly (CA) members known as UKAWA have expressed their willingness to return to the august house to continue with the process of rewriting the new constitution. The members, however, vowed in Dar es Salaam on Friday that they ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani