UKAWA wakalia katiba
MATUMAINI ya kupatikana kwa katiba mpya na uwepo wa Bunge Maalum Agosti 5, yatajulikana wiki hii katika vikao vya maridhiano vitakavyofanywa na Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi30 Jun
KATIBA: Dk Mwinyi awasihi Ukawa Z’bar kurejea bungeni kuitetea Katiba
9 years ago
Mwananchi27 Oct
Nyota wa kigeni wakalia kuti kavu
10 years ago
Habarileo12 Mar
Wapindisha sheria Ardhi wakalia kuti kavu
WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi amewatahadharisha watendaji wanaorubuniwa na watu wenye fedha ili kupindisha sheria kwa lengo la kuwadhulumu wananchi ardhi zao.
10 years ago
Habarileo11 Jan
Wakurugenzi wakalia kaa la moto ujenzi wa maabara
SERIKALI imesema itawafukuza kazi wakurugenzi wa halmashauri na wakuu wa Idara, ambao watashindwa kukamilisha agizo la Rais Jakaya Kikwete la kujenga maabara tatu kwa kila shule, baada ya muda wa nyongeza wa miezi sita.
10 years ago
Mwananchi18 Nov
Viongozi Manyara, Kiteto wakalia kuti kavu
10 years ago
Tanzania Daima27 Sep
CHADEMA waibwaga Serikali, wabunge wakalia kuti kavu
ALIYEKUWA Mgombea ubunge wa Bunge la Afrika Mashariki, (EALA), kwa tiketi ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo, (CHADEMA), Anthony Komu, ameibwaga Serikali kwenye kesi aliyoifungua Mahakama ya Afrika Mashariki, (EACJ),...
11 years ago
Tanzania Daima03 Aug
UKAWA: Katiba basi
MCHAKATO wa katiba mpya umefikia hatua ngumu zaidi kuliko ilivyotarajiwa baada ya wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kutangaza rasmi kutoshiriki vikao vya maridhiano na mikutano ya Bunge...
11 years ago
Habarileo27 Mar
Ukawa: Hatutasusia Katiba
MWENYEKITI wa Umoja wa Katiba ya Watanzania (UKAWA), Freeman Mbowe amesema umoja huo, hautasusia mchakato wa uundwaji wa Katiba mpya na badala yake utapigana kufa au kupona, kuhakikisha Katiba ya wananchi inapatikana.
10 years ago
Dewji Blog28 Sep
Komu aibwaga Serikali, wabunge Afrika Mashariki wakalia kuti kavu
Na Mwandishi wetu
ALIYEKUWA Mgombea ubunge wa Bunge la Afrika Mashariki, (EALA), kwa tiketi ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo, (Chadema), Anthony Komu (pichani), ameibwaga Serikali kwenye kesi aliyoifungua Mahakama ya Afrika Mashariki, (EACJ), baada ya maombi yake mawili kukubaliwa huku moja likitupwa.
Mahakama hiyo, imesema kuwa kuwa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lilikiuka kipengele cha 50 (1) cha uanzishwa wa jumuiya ya Afrika Mashariki kwenye uchaguzi uliofanyika Aprili...