Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UKAWA: Katiba basi

MCHAKATO wa katiba mpya umefikia hatua ngumu zaidi kuliko ilivyotarajiwa baada ya wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kutangaza rasmi kutoshiriki vikao vya maridhiano na mikutano ya Bunge...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

KATIBA: Dk Mwinyi awasihi Ukawa Z’bar kurejea bungeni kuitetea Katiba

>Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dk Hussein Mwinyi amewahimiza wabunge wa kundi la Ukawa upande wa Zanzibar kurejea na kushiriki kwenye Bunge la Katiba ili kumaliza kero na malalamiko katika muundo  wa Muungano kupitia rasimu mpya na kuipa nafasi Zanzibar iweze kujiimarisha kiuchumi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bunge la Katiba lianze kazi, porojo basi

KWA takriban wiki tatu wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba walikuwa kwenye msuguano mkali wa kuandaa kanuni zitakazowasaidia kufanya kazi ya kupitia rasimu ya Katiba. Msuguano huo umesababisha kanuni 2...

 

11 years ago

Habarileo

Ukawa: Hatutasusia Katiba

MWENYEKITI wa Umoja wa Katiba ya Watanzania (UKAWA), Freeman Mbowe amesema umoja huo, hautasusia mchakato wa uundwaji wa Katiba mpya na badala yake utapigana kufa au kupona, kuhakikisha Katiba ya wananchi inapatikana.

 

11 years ago

Tanzania Daima

UKAWA wakalia katiba

MATUMAINI ya kupatikana kwa katiba mpya na uwepo wa Bunge Maalum Agosti 5, yatajulikana wiki hii katika vikao vya maridhiano vitakavyofanywa na Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi...

 

11 years ago

TheCitizen

Ukawa: No discussion with CCM on Katiba

>The Coalition of Defenders of People’s Constitution (Ukawa) declared categorically yesterday that they would not hold discussions with CCM members to end the standoff occasioned by their boycott of Constituent Assembly sessions, accusing the ruling party of dishonesty and hypocrisy.

 

11 years ago

TheCitizen

Ukawa may return to Katiba Assembly

The Tanzania Centre for Democracy (TCD) is keen on negotiating a deal that will see opposition parties return to the Constituent Assembly. The umbrella organisation brings together all 22 registered political parties.

 

10 years ago

Habarileo

Maudhui ya Katiba kuchongea Ukawa

Sehemu ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba katika moja ya vikao vyakeMAUDHUI ya Katiba Inayopendekezwa kwa makundi makubwa ya Watanzania, yanatarajiwa kutumika kupambanisha kundi linalojiita Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kwa wananchi, Bara na Visiwani.

 

10 years ago

Tanzania Daima

UKAWA ‘wahamia’ Bunge la Katiba

KATIKA hali inayoonekana kama kutaabishwa na wajumbe wa kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta, jana alichepuka kwa takribani dakika sita...

 

10 years ago

TheCitizen

Ukawa to stay out of vote on Katiba

>Parties affiliated to the Coalition of Defenders of People’s Constitution, or Ukawa in its Kiswahili acronym, will not take part in the Referendum slated for April 30.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani