Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ukawa: Hatutasusia Katiba

MWENYEKITI wa Umoja wa Katiba ya Watanzania (UKAWA), Freeman Mbowe amesema umoja huo, hautasusia mchakato wa uundwaji wa Katiba mpya na badala yake utapigana kufa au kupona, kuhakikisha Katiba ya wananchi inapatikana.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

KATIBA: Dk Mwinyi awasihi Ukawa Z’bar kurejea bungeni kuitetea Katiba

>Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dk Hussein Mwinyi amewahimiza wabunge wa kundi la Ukawa upande wa Zanzibar kurejea na kushiriki kwenye Bunge la Katiba ili kumaliza kero na malalamiko katika muundo  wa Muungano kupitia rasimu mpya na kuipa nafasi Zanzibar iweze kujiimarisha kiuchumi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

UKAWA wakalia katiba

MATUMAINI ya kupatikana kwa katiba mpya na uwepo wa Bunge Maalum Agosti 5, yatajulikana wiki hii katika vikao vya maridhiano vitakavyofanywa na Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

UKAWA: Katiba basi

MCHAKATO wa katiba mpya umefikia hatua ngumu zaidi kuliko ilivyotarajiwa baada ya wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kutangaza rasmi kutoshiriki vikao vya maridhiano na mikutano ya Bunge...

 

11 years ago

Daily News

Ukawa ready for Katiba talks


Daily News
Ukawa ready for Katiba talks
Daily News
CONSTITUENT Assembly (CA) members known as UKAWA have expressed their willingness to return to the august house to continue with the process of rewriting the new constitution. The members, however, vowed in Dar es Salaam on Friday that they ...

 

10 years ago

TheCitizen

Ukawa to stay out of vote on Katiba

>Parties affiliated to the Coalition of Defenders of People’s Constitution, or Ukawa in its Kiswahili acronym, will not take part in the Referendum slated for April 30.

 

11 years ago

TheCitizen

Ukawa may return to Katiba Assembly

The Tanzania Centre for Democracy (TCD) is keen on negotiating a deal that will see opposition parties return to the Constituent Assembly. The umbrella organisation brings together all 22 registered political parties.

 

11 years ago

Habarileo

Bunge la Katiba bila Ukawa

BUNGE Maalumu la Katiba litaendelea na vikao bila kujali uwepo au kutokuwapo kwa baadhi ya wajumbe waliojiundia kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa). Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge), William Lukuvi, ambaye ndiye Mratibu wa Bunge hilo, alitoa kauli hiyo jana wakati wa mdahalo ulioandaliwa na Jumuiya ya Wanataaluma wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (Udasa).

 

10 years ago

Habarileo

Maudhui ya Katiba kuchongea Ukawa

Sehemu ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba katika moja ya vikao vyakeMAUDHUI ya Katiba Inayopendekezwa kwa makundi makubwa ya Watanzania, yanatarajiwa kutumika kupambanisha kundi linalojiita Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kwa wananchi, Bara na Visiwani.

 

10 years ago

AllAfrica.Com

Parties, UKAWA to Meet JK On New 'Katiba'


IPPmedia
Parties, UKAWA to Meet JK On New 'Katiba'
AllAfrica.com
Dodoma — LEADERS of main political parties, including those from the Union of People's Constitution, UKAWA, are looking forward to meet President Jakaya Kikwete before the end of this week to discuss the progress reached on the process of rewriting the ...
Kikwete to convene meeting with political parties on CA this weekIPPmedia

all 2

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani