Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ukawa: No discussion with CCM on Katiba

>The Coalition of Defenders of People’s Constitution (Ukawa) declared categorically yesterday that they would not hold discussions with CCM members to end the standoff occasioned by their boycott of Constituent Assembly sessions, accusing the ruling party of dishonesty and hypocrisy.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

VP

Katiba Discussion Must Aim At Strengthening Union


IPPmedia
Katiba Discussion Must Aim At Strengthening Union - VP
AllAfrica.com
Zanzibar — THE Vice-President, Dr Mohamed Gharib Bilal, has called on Tanzanians to wisely discuss the union with a view to strengthen it so that the present and future generations would continue to enjoy peace, harmony and stability, which are among ...
VP to CA: Put aside political interests, safeguard UnionIPPmedia

all 2

 

11 years ago

Mwananchi

Ukawa: CCM haiwezi kuleta Katiba Mpya

Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) nje ya Bunge umesema hatima ya kupata Katiba Mpya utaamuliwa na wananchi na wala siyo chama tawala.

 

10 years ago

Mtanzania

Ukawa: CCM wanataka Katiba mpya itumike uchaguzi mkuu

Fredy Azzah, Dar es Salaam
UMOJA wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) umedai kubaini mpango wa siri wa Serikali kutaka kuipitisha kwa hila Katiba Inayopendekezwa itumike kwenye Uchaguzi Mkuu mwaka huu.
Hayo yalibainishwa jana na Mwenyekiti Mwenza wa Ukawa, Freeman Mbowe, alipozungumza na waandishi wa habari katika ofisi za Chama cha Wananchi (CUF) Buguruni, Dar es Salaam.
“Tumepata taarifa kuwa CCM imeamua aidha inyeshe mvua au isinyeshe, Katiba Inayopendekezwa itapita kwenye kura ya maoni waweze...

 

9 years ago

Vijimambo

ILANI ZA CHADEMA /UKAWA NA CCM ZINAVYOSEMA KUHUSU SUALA LA KATIBA MPYA

ILANI YA CHADEMA / UKAWAKuhusu katiba mpya kuna nukuu kadhaa kutoka kwenye Ilani ya uchaguzi
ya Chadema/UKAWA

Mosi, maelezo ya Mkt wa CHADEMA yanasema kuwa..."UKAWA inajengwa katika msingi mkuu wa kubadilisha katiba iliyopo ili kuweka katiba ya wananchi kwa ajili ya maendeleo yao. Katika kipindi hiki ambacho hali ya maisha ya Watanzania imeendelea kuwa duni, uchumi wa nchi yetu umeyumba, ubora wa elimu ni wa mashaka, ajira kwa vijana ni za kubahatisha na ukiukwaji na uvunjifu wa haki za...

 

10 years ago

Mwananchi

CCM yapigilia msumari hatima ya #Katiba, yabariki Bunge kuendelea bila #Ukawa [VIDEO]

Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi (NEC-CCM),imepigilia msumari wa mwisho kuhusu sintofahamu ya vikao vya Bunge Maalum la Katiba baada ya kukubaliana na mwenendo mzima wa Bunge hilo.

 

11 years ago

Mwananchi

KATIBA: Dk Mwinyi awasihi Ukawa Z’bar kurejea bungeni kuitetea Katiba

>Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dk Hussein Mwinyi amewahimiza wabunge wa kundi la Ukawa upande wa Zanzibar kurejea na kushiriki kwenye Bunge la Katiba ili kumaliza kero na malalamiko katika muundo  wa Muungano kupitia rasimu mpya na kuipa nafasi Zanzibar iweze kujiimarisha kiuchumi.

 

10 years ago

TheCitizen

KATIBA REVIEW: Govt and CCM to share blame on Katiba issue

>What has been in controversy for several months about the referendum date now is clear. At last, what has been anticipated by the majority citizenry has been fulfilled – the referendum has indefinitely been put on hold.  Last year, President Jakaya Kikwete, while on a state visit to China, announced that the referendum day would be on April 30.  It was argued that the President’s mandate in setting a date for the referendum is given vide section 4 of the Referendum Act,...

 

11 years ago

Michuzi

Viongozi wa Siasa Muache Uswahili mtupatie katiba ya watu wote siyo ya CCM,AU CHADEMA,AU CUFU TUNATAKA KATIBA.

Mheshimiwa michuzi tunashukulu sana kwa kazi yako ya kutujulisha yanayoendelea TANZANIA leo naomba unipe nafasi niweke ya moyoni mwangu na maoni yangu kuhusu huu mstakabali wa kupata katiba ya Jamuhuri ya muungano wa Tanzania, mengi yamekuwa yakisemwa sana kuhusu hii katiba au ni muundo ghani wa muungano tunaoutaka,watu wengi na wana siasa wamesahu kwamba muungano huu na katiba hii ya zamani ndio umetufanya tuwe na undungu  na pia tuwe na amani mpaka hapa tulipo watu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

UKAWA: Katiba basi

MCHAKATO wa katiba mpya umefikia hatua ngumu zaidi kuliko ilivyotarajiwa baada ya wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kutangaza rasmi kutoshiriki vikao vya maridhiano na mikutano ya Bunge...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani