Mwigamba, CCM wanacheza ngoma isiyokesha
NIMEAMUA kuandika kidogo ili nisaidie kuanika uongo wa Samson Mwigamba na rafiki zake (Kitila Mkumbo na Zitto Kabwe) katika kile wanachofanya, kwa kutumiwa na serikali na CCM, katika malengo maovu...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi09 Mar
11 years ago
Mwananchi06 Jan
Chadema yawatimua Dk Kitila, Mwigamba
>Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) imewafukuza uanachama, aliyekuwa Mwenyekiti wa chama hicho, Mkoa wa Arusha, Samson Mwigamba na aliyekuwa Mjumbe wa Kamati Kuu, Dk Kitila Mkumbo.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/CgwvKmsfinqtQNfJHXUmvjZ6l20FQAQWNKTW8-6PULcSl5NQhRpp*AWK93bRNfT0R4AMJbZygfYDmuiuITZr5n3KUEbC6vYD/lowasa.gif?width=650)
CCM, LOWASSA NGOMA NZITO
Mwandishi wetu
NGOMA nzito inaripotiwa kuwepo baina ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kada wake mkongwe, Edward Lowassa ambaye hivi karibuni alihamia Chadema, baada ya pande hizo mbili kutupiana shutuma, kila mmoja akimponda mwenzake. ...Soma zaidi===> http://bit.ly/1VQSsfV
10 years ago
Mwananchi21 May
CCM ngoma mbichi Dodoma
Dodoma. Mambo yanaonekana kuwa mazito kwa CCM ambayo inajiandaa kufanya moja ya mikutano yake muhimu ya vyombo vyake vya juu kabla ya kuanza mchakato wa Uchaguzi Mkuu baada ya Sekretarieti kukutana hadi usiku wa manane kufanya maandalizi ya vikao hivyo.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/a5b4X5Lcvi3TrlYRyyekKJqG7zsu7s89kQ2CEMUMebinnMvdS1LM6*-emMmHyViksfsNZ19CEjYPwHN4KxRg-FMThdD9iOLc/ccm.jpg)
CCM, CHADEMA NGOMA DROO!
Stori: Mwandishi Wetu VITA ni vita! Siku mbili zimekatika tangu sakata la picha ya pozi inayodaiwa kuwa ni ya mheshimiwa Komba na msichana aliyetajwa kwa jina moja la Angel kutoka kwenye baadhi ya vyombo vya habari Bongo, lingine limeibuka! Mheshimiwa anayedaiwa kuwa wa Chadema akiwa katika pozi tata na binti ambaye jina lake halikupatikana. Hili la safari hii ni zito pia. Lenyewe linamhusu mheshimiwa mmoja ambaye anadaiwa ni...
10 years ago
TheCitizen19 Nov
ACT’s goal is to lead country: Mwigamba
Ahead of December 14, Local Government and next year’s General Election, the new opposition party, Alliance for Change and Transparency (ACT-Tanzania) is optimistic it will participate and win several seats in both elections.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
DK KITILA, MWIGAMBA WAVULIWA UANACHAMA CHADEMA
Dk.Kitila Mkumbo aliyetimuliwa uanachama Chadema. Samson Mwigamba ambaye naye amevuliwa uanachama wa Chadema. KAMATI Kuu ya Chadema iliyokutana Januari 3-4, 2014 katika Ukumbi wa Mbezi Garden, jijini Dar es Salaam imeamua kuwavua uanachama Dk. Kitila Mkumbo na Samson Mwigamba kuanzia jana. Maamuzi hayo ni baada ya kunasa mawasiliano mbalimbali ya Zitto Kabwe na washirika wake akiwemo anayejulikana kwa… ...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3vKQkh-Flok1D8F63cRDmkjGdDU0rP7OXY9RxCTgfNdMy7ToOesHle07WA4TttdqFRmaqPacJspWs7EAVw9Q3ObdJEEA9Vl0/beakingnews.gif)
10 years ago
Habarileo06 Jan
Bado tupo na Profesa Kitila, Mwigamba — ACT
CHAMA cha Siasa cha Mabadiliko na Uwazi (ACT-Tanzania) kimesema mkutano wa iliyojiita Kamati Kuu ya chama hicho na kutengua uongozi na uanachama wa Katibu Mkuu, Samson Mwigamba na Mshauri wa chama hicho, Profesa Kitila Mkumbo, haukuwa na uhalali.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania