Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwigamba, CCM wanacheza ngoma isiyokesha

NIMEAMUA kuandika kidogo ili nisaidie kuanika uongo wa Samson Mwigamba na rafiki zake (Kitila Mkumbo na Zitto Kabwe) katika kile wanachofanya, kwa kutumiwa na serikali na CCM, katika malengo maovu...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Chadema yawatimua Dk Kitila, Mwigamba

>Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) imewafukuza uanachama, aliyekuwa Mwenyekiti wa chama hicho, Mkoa wa Arusha, Samson Mwigamba na aliyekuwa Mjumbe wa Kamati Kuu, Dk Kitila Mkumbo.

 

10 years ago

GPL

CCM, LOWASSA NGOMA NZITO

Mwandishi wetu NGOMA nzito inaripotiwa kuwepo baina ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kada wake mkongwe, Edward Lowassa ambaye hivi karibuni alihamia Chadema, baada ya pande hizo mbili kutupiana shutuma, kila mmoja akimponda mwenzake. ...Soma zaidi===> http://bit.ly/1VQSsfV

 

10 years ago

Mwananchi

CCM ngoma mbichi Dodoma

Dodoma. Mambo yanaonekana kuwa mazito kwa CCM ambayo inajiandaa kufanya moja ya mikutano yake muhimu ya vyombo vyake vya juu kabla ya kuanza mchakato wa Uchaguzi Mkuu baada ya Sekretarieti kukutana hadi usiku wa manane kufanya maandalizi ya vikao hivyo.

 

11 years ago

GPL

CCM, CHADEMA NGOMA DROO!

Stori: Mwandishi Wetu VITA ni vita! Siku mbili zimekatika tangu sakata la picha ya pozi inayodaiwa kuwa ni ya mheshimiwa Komba na msichana aliyetajwa kwa jina moja la Angel kutoka kwenye baadhi ya vyombo vya habari Bongo, lingine limeibuka! Mheshimiwa anayedaiwa kuwa wa Chadema akiwa katika pozi tata na binti ambaye jina lake halikupatikana. Hili la safari hii ni zito pia. Lenyewe linamhusu mheshimiwa mmoja ambaye anadaiwa ni...

 

10 years ago

TheCitizen

ACT’s goal is to lead country: Mwigamba

Ahead of December 14, Local Government and next year’s General Election, the new opposition party, Alliance for Change and Transparency (ACT-Tanzania) is optimistic it will participate and win several seats in both elections.

 

11 years ago

GPL

DK KITILA, MWIGAMBA WAVULIWA UANACHAMA CHADEMA

Dk.Kitila Mkumbo aliyetimuliwa uanachama Chadema. Samson Mwigamba ambaye naye amevuliwa uanachama wa Chadema. KAMATI Kuu ya Chadema iliyokutana Januari 3-4, 2014 katika Ukumbi wa Mbezi Garden, jijini Dar es Salaam imeamua kuwavua uanachama Dk. Kitila Mkumbo na Samson Mwigamba kuanzia jana. Maamuzi hayo ni baada ya kunasa mawasiliano mbalimbali ya Zitto Kabwe na washirika wake akiwemo anayejulikana kwa… ...

 

11 years ago

GPL

MAKUNGA, KIBANDA, MWIGAMBA WASHINDA KESI YA UCHOCHEZI

Theophil Makunga.
Absalom Kibanda.…

 

10 years ago

Habarileo

Bado tupo na Profesa Kitila, Mwigamba — ACT

Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Alliance for Change and Transparency (ACTTanzania), Shabani Mambo Shabani akizungumza na vyombo vya habari wakati wa Mkutano wa Halmashauri kuu ya chama ilipokutana Dar es Salaam jana. Kushoto ni Katibu Mkuu wa Chama hicho, Samson Mwigamba. (Picha na Mroki Mroki).CHAMA cha Siasa cha Mabadiliko na Uwazi (ACT-Tanzania) kimesema mkutano wa iliyojiita Kamati Kuu ya chama hicho na kutengua uongozi na uanachama wa Katibu Mkuu, Samson Mwigamba na Mshauri wa chama hicho, Profesa Kitila Mkumbo, haukuwa na uhalali.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani