Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwigizaji azabwa kofi kwa kuvalia nguo fupi

Mwigizaji maarufu wa Bollywood ambaye pia ni mwanamitindo, Gauhar Khan, alizabwa kofi wakati wa shughuli ya kurekodi makala ya kipindi kuhusu maisha yake.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Wazazi washtakiwa kwa 'kumruhusu' mtoto wao kuvalia nguo za kike

Luiz aliruhusiwa kuvalia nguo za kischana tangu alipokuwa na miaka mitatu baada ya wazazi wake kusadiki kwa ana jinsia mbili. Familia hiyo iliishia kuchunguzwa ili kubaini ikiwa ilikiuka haki ya mtoto huyo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Washambuliwa kwa kuvaa nguo fupi Kenya

Kikundi cha wasichana kilinusurika kuvuliwa nguo na wachuuzi mjini Kapsabet Magharibi mwa Kenya kwa kuvaa nguo zisizo za heshima.

 

9 years ago

GPL

LICHA YA KUDAIWA KUOKOKA, MAINDA BADO ATESWA NA NGUO FUPI

Msanii wa filamu Bongo Ruth Suka ‘Mainda’. BRIGHTON MASALU RUTH Suka ‘Mainda’ aliye msanii wa filamu Bongo ambaye kwa sasa amejikita katika kumtumikia Mungu, amesema mtihani mkubwa ambao bado unampa wakati mgumu katika maisha ya ulokole ni uvaaji wa nguo fupi! ‘Akibadilishana sentensi’ na Amani, Mainda alisema amejitahidi kuruka na kuvuka viunzi vingi tangu kuokoka kwake, lakini ameshindwa kukabiliana na mtihani wa...

 

10 years ago

Bongo Movies

Wolper: Sikuwahi Kuvaa Nguo Fupi...Lakini Leo Beach..!!!!

Mrembo na mwigizaji wa kike wa filamu hapa nchini, Jackline Masawe “Wolper” amekuwa akisifiwa kwa kuvaa nguo za heshima ukilinganisha na mavazi wanayovaa baadhi ya mastaa wengine hapa Bongo wakiwa mitaani au kwenye burudani.Sasa jana mrembo huyu akatupia picha hizi akiwa beach amevalia ka-pensi keupe huku juu amavalia brauzi nyeusi na kofia nyeupe kichwanina huku akicheza na ka-"DOG" ..Kisha akawaandikia hivi mashabiki wake;

"Sikuwahi kuvaa nguo fupi wakati naenda kanisani au sokoni nawakati...

 

10 years ago

Bongo Movies

Amanda Awashukia Wanao Mponda Kuvaa Nguo Fupi, Asema Atakama Anuza Si Yake!!!

Mwigizaji wa filamu, Amamnda Poshi awatolea uvivu wanaomponda kwa kuvaa nguo fupi huko Instagram,nahaya ndio maneno yake;

“Instagrameee naipenda sanaaa..naipenda na watu wake nawapenda sanaaa coz ni sehem unayopangiwa uishi vipi,uvae vipi ,ulale wapi,uwe na bwana wa aina gani na ukikaa vibaya utapangiwa mpk chakula cha kutia tumboni tena kwa pesa yako...naomba ieleweke kila mtu anauhuru wake...kwangu me msinipangie mavazi wala jinsi ya kuishi,nikivaa nguo fupi ni me,niwe na miguu...

 

9 years ago

MillardAyo

Wanaovaa nguo fupi na za kubana kukamatwa? Hii ndio kauli ya Waziri Nape Nnauye…(+Audio)

Baada ya taarifa kusambaa kuwa Waziri wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Nape Nnauye ameatangaza kukamatwa kwa watu wanaovaa nguo fupi na zile za kubana mwili wakamatwe, sasa haya ndio maelezo kamili unapaswa kuyafahamu. Bonyeza Play hapa chini Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line yatiGO andika ‘AYO’ […]

The post Wanaovaa nguo fupi na za kubana kukamatwa? Hii ndio kauli ya Waziri Nape Nnauye…(+Audio) appeared first on...

 

11 years ago

BBCSwahili

Ndani saa 3 kwa kuvalia 'Mini Skirt' UG

Wanawake 2 walizuiliwa kwa masaa 3 na mahakama moja nchini Uganda kwa kuingia mahakamani wakiwa wamevalia 'Mini Skirt'.

 

11 years ago

GPL

KUCHA FUPI HUKUNA KWA RAHA

NAAM kama ilivyo ada yetu, tumekutana tena kwenye kona yangu mimi shangingi mstaafu mwingine fotokopi, nasikia kuna watu wanajiita mashangingi wastaafu sifa yao kubwa kunywa pombe za watu na kuambulia kipigo mikovu kama kibaka mzoefu. Siku zote tutashindana lakini mimi nitabakia namba moja, najua ujuayo na usiyojua, kaa chini mwali nikufunde ulikimbia unyago hujui mizungu inaokotwaje. Ndiyo maana nikasema mtashindana lakini...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani