MWINYI ALIVYOANDIKA BARUA KWA NYERERE YA KUJIUZULU UWAZIRI
![](http://api.ning.com:80/files/4YilfwQJfCtEz9oLHOD3ecDBVC6FrR1hL02e64Zy0cnsZZCqBCVHfDW55JpUPChaJFYaYaVNMEa2VQV9htnR6Ul61-p8FJns/mwinyi.jpg?width=650)
Ali Hassan Mwinyi. Wakati Taifa likipita katika kipindi kigumu cha kupima uadilifu wa viongozi, safu hii imefanikiwa kupata barua ya kujiuzulu ya aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Ali Hassan Mwinyi, ikithibitisha jinsi kiongozi huyo alivyo juu kwa viwango vya utiifu na uadilifu. Katika barua hiyo, inaonyesha jinsi Mwinyi alivyojiuzulu kwa unyenyekevu Januari 22, 1977 wadhifa wa Waziri wa Mambo ya Ndani.Kiongozi huyo ambaye...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo15 Dec
Wabunge walioukataa Uwaziri, Mapigano ya wakulima, wafugaji, aliyevamia kwa MWINYI bila taarifa…#MAGAZETINI
MTANZANIA Wabunge wanne wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wametajwa kukataa uteuzi wa nafasi ya uwaziri ili kujaza nafasi za wizara nne zilizokuwa wazi, imebainika. Hatua hiyo imetokana na kile kilichoelezwa kuwa ni hofu ya wabunge hao kushindwa kwenda na kasi ya Rais Dk. John Magufuli, ambaye aliwaapisha mawaziri wapya Desemba 12, mwaka huu. Wabunge hao […]
The post Wabunge walioukataa Uwaziri, Mapigano ya wakulima, wafugaji, aliyevamia kwa MWINYI bila taarifa…#MAGAZETINI appeared first on...
10 years ago
Zitto Kabwe, MB20 Mar
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-38Wf9D7EUIQ/VQxqsAjCvBI/AAAAAAAHLu4/LAhls1ZrMH4/s72-c/image.jpg)
10 years ago
Mwananchi09 Jul
Mgombea atinga na noti za Nyerere, Mwinyi
9 years ago
Daily News08 Sep
Mwinyi advises leaders to emulate Nyerere
Daily News
FORMER President Ali Hassan Mwinyi. POLITICAL analysts have urged leaders to emulate the Father of the Nation, Mwalimu Julius Nyerere, by penning down their thoughts and reflections so as to reach the wider citizenry. The call came following the ...
5 years ago
The Citizen Daily08 Apr
Nyerere retires as president in 1985, Mwinyi nominated
10 years ago
Mwananchi22 Apr
KUFA AZIMIO LA ARUSHA:Nyerere alivyotofautiana na Mwinyi
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-UCAbEWcXY9M/VW2GxJ6XxMI/AAAAAAABKfc/iXCGKA63nWA/s72-c/nyerere13bc.jpg)
MIAKA 50 YA TFF YAWATUZA NYERERE, MKAPA MWINYI, SIMBA NA YANGA, STARS YA ZAMANI NDANI
![](http://2.bp.blogspot.com/-UCAbEWcXY9M/VW2GxJ6XxMI/AAAAAAABKfc/iXCGKA63nWA/s640/nyerere13bc.jpg)
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limetoa tuzo kwa kuwatunuku wanamichezo mbalimbali wakiwemo Marais wote wa awamu nne za uongozi wa Tanzania akiwemo baba wa taifa, marehemu Julius K Nyerere.
Uamuzi wa TFF kuwatuza watu hao wakiwemo waandishi wa habari, wachezaji wa zamani wa timu ya taifa, waandishi wa habari na wengineo ni kutambua mchambo wao katika maendeleo ya soka nchini wakati Fifa inatimiza miaka 50.
VIONGOZI WA KITAIFA:
1. Rais Msataafu Mwl. Julius K Nyerere
2. Rais Mstaafu Ali Hassan...
11 years ago
Tanzania Daima16 Feb
Katiba mpya ifungue urais, uwaziri mkuu kwa wanawake
SITAKI kumtaja mtu katika makala hii, lakini najua wapo baadhi ya viongozi haijalishi wamestaafu au wako madarakani, ambao wameonyesha namna walivyo mbumbumbu katika masuala ya siasa, uongozi, haki za binadamu...