Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MWINYI ALIVYOANDIKA BARUA KWA NYERERE YA KUJIUZULU UWAZIRI

Ali Hassan Mwinyi. Wakati Taifa likipita katika kipindi kigumu cha kupima uadilifu wa viongozi, safu hii imefanikiwa kupata barua ya kujiuzulu ya aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Ali Hassan Mwinyi, ikithibitisha jinsi kiongozi huyo alivyo juu kwa viwango vya utiifu na uadilifu. Katika barua hiyo, inaonyesha jinsi Mwinyi alivyojiuzulu kwa unyenyekevu Januari 22, 1977 wadhifa wa Waziri wa Mambo ya Ndani.Kiongozi huyo ambaye...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

Wabunge walioukataa Uwaziri, Mapigano ya wakulima, wafugaji, aliyevamia kwa MWINYI bila taarifa…#MAGAZETINI

MTANZANIA Wabunge wanne wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wametajwa kukataa uteuzi wa nafasi ya uwaziri ili kujaza nafasi za wizara nne zilizokuwa wazi, imebainika. Hatua hiyo imetokana na kile kilichoelezwa kuwa ni hofu ya wabunge hao kushindwa kwenda na kasi ya Rais Dk. John Magufuli, ambaye aliwaapisha mawaziri wapya Desemba 12, mwaka huu. Wabunge hao […]

The post Wabunge walioukataa Uwaziri, Mapigano ya wakulima, wafugaji, aliyevamia kwa MWINYI bila taarifa…#MAGAZETINI appeared first on...

 

10 years ago

Zitto Kabwe, MB

10 years ago

Mwananchi

Mgombea atinga na noti za Nyerere, Mwinyi

Kila mgombea wanayewania kuteuliwa na CCM kupeperusha bendera ya chama hicho kwenye kinyang’anyiro cha urais Oktoba 25, amekuwa akibuni vivutio au utambulisho pekee kwa umma. Safari hii, Banda Sonoko maarufu Greda amekuja na rundo la noti za zamani zenye picha za Mwalimu Julius Nyerere na Mzee Ali Hassan Mwinyi.

 

9 years ago

Daily News

Mwinyi advises leaders to emulate Nyerere


Mwinyi advises leaders to emulate Nyerere
Daily News
FORMER President Ali Hassan Mwinyi. POLITICAL analysts have urged leaders to emulate the Father of the Nation, Mwalimu Julius Nyerere, by penning down their thoughts and reflections so as to reach the wider citizenry. The call came following the ...

 

5 years ago

The Citizen Daily

Nyerere retires as president in 1985, Mwinyi nominated

Nyerere retires as president in 1985, Mwinyi nominated  The Citizen Daily

 

10 years ago

Mwananchi

KUFA AZIMIO LA ARUSHA:Nyerere alivyotofautiana na Mwinyi

Kumekuwa na mjadala kuhusu sababu za kufa kwa Azmio la Arusha. Azimio hilo lilianzishwa na Halmashauri Kuu ya Taifa ya chama cha Tanu kikiwa na lengo la kutilia mkazo imani na siasa yake ya Ujamaa na Kujitegemea

 

10 years ago

Vijimambo

MIAKA 50 YA TFF YAWATUZA NYERERE, MKAPA MWINYI, SIMBA NA YANGA, STARS YA ZAMANI NDANI


Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limetoa tuzo kwa kuwatunuku wanamichezo mbalimbali wakiwemo Marais wote wa awamu nne za uongozi wa Tanzania akiwemo baba wa taifa, marehemu Julius K Nyerere.
Uamuzi wa TFF kuwatuza watu hao wakiwemo waandishi wa habari, wachezaji wa zamani wa timu ya taifa, waandishi wa habari na wengineo ni kutambua mchambo wao katika maendeleo ya soka nchini wakati Fifa inatimiza miaka 50.

VIONGOZI WA KITAIFA:
1. Rais Msataafu Mwl. Julius K Nyerere
2. Rais Mstaafu Ali Hassan...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Katiba mpya ifungue urais, uwaziri mkuu kwa wanawake

SITAKI kumtaja mtu katika makala hii, lakini najua wapo baadhi ya viongozi haijalishi wamestaafu au wako madarakani, ambao wameonyesha namna walivyo mbumbumbu katika masuala ya siasa, uongozi, haki za binadamu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani