Mgombea atinga na noti za Nyerere, Mwinyi
Kila mgombea wanayewania kuteuliwa na CCM kupeperusha bendera ya chama hicho kwenye kinyang’anyiro cha urais Oktoba 25, amekuwa akibuni vivutio au utambulisho pekee kwa umma. Safari hii, Banda Sonoko maarufu Greda amekuja na rundo la noti za zamani zenye picha za Mwalimu Julius Nyerere na Mzee Ali Hassan Mwinyi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania30 Aug
Mgombea urais 2015 atinga Vatican
![Mtanzania](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/mtanzania-300814.jpg)
Mtanzania
NA MWANDISHI WETU
WAKATI joto la uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 likiendelea kupanda miongoni mwa makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wanaohusishwa na harakati za kuwania urais, mmoja wa makada hao amekwenda Vatican kwa nia ya kutafuta uungwaji mkono wa Kanisa Katoliki duniani, MTANZANIA Jumapili limedokezwa.
Habari za uhakika kutoka katika chanzo cha karibu na kada huyo ambaye pia ni waziri kwenye moja ya wizara nyeti nchini, kimedai kuwa waziri huyo amezuru jijini Vatican hivi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-pdQ6kY_33W4/XnMxUXt7CGI/AAAAAAALkZ8/8TuBqBbszRAifZi-IWmVraN73LYba9BUwCLcBGAsYHQ/s72-c/TAARIFA%2BKWA%2BUMMA.jpg)
9 years ago
Daily News08 Sep
Mwinyi advises leaders to emulate Nyerere
Daily News
FORMER President Ali Hassan Mwinyi. POLITICAL analysts have urged leaders to emulate the Father of the Nation, Mwalimu Julius Nyerere, by penning down their thoughts and reflections so as to reach the wider citizenry. The call came following the ...
10 years ago
Mwananchi22 Apr
KUFA AZIMIO LA ARUSHA:Nyerere alivyotofautiana na Mwinyi
5 years ago
The Citizen Daily08 Apr
Nyerere retires as president in 1985, Mwinyi nominated
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4YilfwQJfCtEz9oLHOD3ecDBVC6FrR1hL02e64Zy0cnsZZCqBCVHfDW55JpUPChaJFYaYaVNMEa2VQV9htnR6Ul61-p8FJns/mwinyi.jpg?width=650)
MWINYI ALIVYOANDIKA BARUA KWA NYERERE YA KUJIUZULU UWAZIRI
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-UCAbEWcXY9M/VW2GxJ6XxMI/AAAAAAABKfc/iXCGKA63nWA/s72-c/nyerere13bc.jpg)
MIAKA 50 YA TFF YAWATUZA NYERERE, MKAPA MWINYI, SIMBA NA YANGA, STARS YA ZAMANI NDANI
![](http://2.bp.blogspot.com/-UCAbEWcXY9M/VW2GxJ6XxMI/AAAAAAABKfc/iXCGKA63nWA/s640/nyerere13bc.jpg)
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limetoa tuzo kwa kuwatunuku wanamichezo mbalimbali wakiwemo Marais wote wa awamu nne za uongozi wa Tanzania akiwemo baba wa taifa, marehemu Julius K Nyerere.
Uamuzi wa TFF kuwatuza watu hao wakiwemo waandishi wa habari, wachezaji wa zamani wa timu ya taifa, waandishi wa habari na wengineo ni kutambua mchambo wao katika maendeleo ya soka nchini wakati Fifa inatimiza miaka 50.
VIONGOZI WA KITAIFA:
1. Rais Msataafu Mwl. Julius K Nyerere
2. Rais Mstaafu Ali Hassan...
11 years ago
Michuzi09 Jul
MGOMBEA URAIS WA MSUMBIJI ATUA TANZANIA KUSAKA KURA, AKUTANA NA MAMA MARIA NYERERE KUOMBA BARAKA
![](https://1.bp.blogspot.com/-haIr6xEyLBc/U72XUezmeOI/AAAAAAAAn5Y/Wnsyr7o3SDM/s1600/1.+Kinana+akimlaki+mgeni.jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/-qJTvY19ZL28/U72XW3Pw-bI/AAAAAAAAn5k/tIlK0AVuRJQ/s1600/2.+Mgeni+akimsalimia+Nape.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima12 Feb
Mabingwa ARS wajazwa noti
TIMU ya soka ya wasichana ya Tanzania Airtel Rising Stars, imekabidhiwa zawadi yake ya kitita cha sh milioni 16 baada ya kutwaa ubingwa wa michuano ya vijana chini ya miaka...