Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mgombea atinga na noti za Nyerere, Mwinyi

Kila mgombea wanayewania kuteuliwa na CCM kupeperusha bendera ya chama hicho kwenye kinyang’anyiro cha urais Oktoba 25, amekuwa akibuni vivutio au utambulisho pekee kwa umma. Safari hii, Banda Sonoko maarufu Greda amekuja na rundo la noti za zamani zenye picha za Mwalimu Julius Nyerere na Mzee Ali Hassan Mwinyi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Mgombea urais 2015 atinga Vatican

Mtanzania

Mtanzania

NA MWANDISHI WETU

WAKATI joto la uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 likiendelea kupanda miongoni mwa makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wanaohusishwa na harakati za kuwania urais, mmoja wa makada hao amekwenda Vatican kwa nia ya kutafuta uungwaji mkono wa Kanisa Katoliki duniani, MTANZANIA Jumapili limedokezwa.

Habari za uhakika kutoka katika chanzo cha karibu na kada huyo ambaye pia ni waziri kwenye moja ya wizara nyeti nchini, kimedai kuwa waziri huyo amezuru jijini Vatican hivi...

 

9 years ago

Daily News

Mwinyi advises leaders to emulate Nyerere


Mwinyi advises leaders to emulate Nyerere
Daily News
FORMER President Ali Hassan Mwinyi. POLITICAL analysts have urged leaders to emulate the Father of the Nation, Mwalimu Julius Nyerere, by penning down their thoughts and reflections so as to reach the wider citizenry. The call came following the ...

 

10 years ago

Mwananchi

KUFA AZIMIO LA ARUSHA:Nyerere alivyotofautiana na Mwinyi

Kumekuwa na mjadala kuhusu sababu za kufa kwa Azmio la Arusha. Azimio hilo lilianzishwa na Halmashauri Kuu ya Taifa ya chama cha Tanu kikiwa na lengo la kutilia mkazo imani na siasa yake ya Ujamaa na Kujitegemea

 

5 years ago

The Citizen Daily

Nyerere retires as president in 1985, Mwinyi nominated

Nyerere retires as president in 1985, Mwinyi nominated  The Citizen Daily

 

10 years ago

GPL

MWINYI ALIVYOANDIKA BARUA KWA NYERERE YA KUJIUZULU UWAZIRI

Ali Hassan Mwinyi. Wakati Taifa likipita katika kipindi kigumu cha kupima uadilifu wa viongozi, safu hii imefanikiwa kupata barua ya kujiuzulu ya aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Ali Hassan Mwinyi, ikithibitisha jinsi kiongozi huyo alivyo juu kwa viwango vya utiifu na uadilifu. Katika barua hiyo, inaonyesha jinsi Mwinyi alivyojiuzulu kwa unyenyekevu Januari 22, 1977 wadhifa wa Waziri wa Mambo ya Ndani.Kiongozi huyo ambaye...

 

10 years ago

Vijimambo

MIAKA 50 YA TFF YAWATUZA NYERERE, MKAPA MWINYI, SIMBA NA YANGA, STARS YA ZAMANI NDANI


Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limetoa tuzo kwa kuwatunuku wanamichezo mbalimbali wakiwemo Marais wote wa awamu nne za uongozi wa Tanzania akiwemo baba wa taifa, marehemu Julius K Nyerere.
Uamuzi wa TFF kuwatuza watu hao wakiwemo waandishi wa habari, wachezaji wa zamani wa timu ya taifa, waandishi wa habari na wengineo ni kutambua mchambo wao katika maendeleo ya soka nchini wakati Fifa inatimiza miaka 50.

VIONGOZI WA KITAIFA:
1. Rais Msataafu Mwl. Julius K Nyerere
2. Rais Mstaafu Ali Hassan...

 

11 years ago

Michuzi

MGOMBEA URAIS WA MSUMBIJI ATUA TANZANIA KUSAKA KURA, AKUTANA NA MAMA MARIA NYERERE KUOMBA BARAKA

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akimlaki mgombea Urais wa Msumbiji kwa tiketi ya Chama cha Ukombozi cha FRELIMO, Mhe Filipe Nyusi alipowasili leo jioni Julai 9, 2014, kwenye Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam, kwa ajili ya ziara ya siku tatu, kusaka kura kwa wananchi wa Msumbiji wanaoishi Tanzania, kufuatia kampeni za Urais zinazoendelea nchini kwake.Mgombea huyo wa Urais Filipe Nyusi akimsalimia Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye ambaye pia alifika...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mabingwa ARS wajazwa noti

TIMU ya soka ya wasichana ya Tanzania Airtel Rising Stars, imekabidhiwa zawadi yake ya kitita cha sh milioni 16 baada ya kutwaa ubingwa wa michuano ya vijana chini ya miaka...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani