Mwongozo wa kutengeneza barabara wazinduliwa
SERIKALI imezindua kitabu cha mwongozo wa matengenezo ya barabara za Wilaya na Halmashauri nchini kwa kushirikiana na shirika la misaada la Japan International Co-operation Agency utakaotumiwa na wahandisi wa wilaya husika katika kukarabati barabara zote nchini.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog08 Dec
TANROADS Singida yatumia Shilingi bil 1.2 /- kutengeneza barabara
Kaimu meneja TANROADS mkoa wa Singida, Eng.Leonard Kapongo,akitoa ufafanuzi juu ya matengenezo ya barabara za ngazi ya mkoa,kwenye kikao cha 37 cha bodi ya barabara kilichofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa Social Training Centre mjini Singida.
Na Nathaniel Limu, Singida
WAKALA wa barabara TANROADS Mkoa wa Sigida imetumia zaidi ya shilingi 1.2 bilioni kugharamia matengenezo ya kawaida kwa barabara kuu yenye urefu wa kilometa 589.2 kati ya Aprili na Juni mwaka huu.
Hayo yamesemwa na...
11 years ago
Dewji Blog22 Apr
Wakazi nyumba za TAMCO waiomba Halmashauri ya Kibaha kutengeneza barabara
Mvua kubwa inayoendelea kunyesha katika mkoa wa Pwani, imesababisha madhara mengi, ikiwemo kuharibu vibaya kipande cha barabara kinachoanzia bwalo la magereza hadi nyumba za Tamco katika halmashauri ya manispaa ya Kibaha. Kipande hicho endapo hakitafanyiwa matengezo mapema,kuna kila dalili kwamba kitakuwa hakipitika kabisa na hivyo kukata mawasiliano kati ya wakazi wa nyumba za Tamco, maeneo ya makaburi ya Air Msae na vitongoji vingine na makao makuu ya manispaa hiyo.(Picha na Nathaniel...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-pD2sQnAMifE/Xk_rQVJLgoI/AAAAAAALets/3o4FdrYK4uc5zMc4joF86at41mAz7wVmQCLcBGAsYHQ/s72-c/01f58e31-b610-4a32-af8a-09bbc866d1d5.jpg)
TARURA KUTENGENEZA BARABARA ZA KILOMITA 332 NA VIVUKO SITA KWA SH BILIONI NNE JIJI LA DODOMA
Charles James, Michuzi TV
KATIKA kuhakikisha Jiji la Dodoma linaendana na hadhi ya Makao Makuu ya Nchi, Wakala wa Barabara za vijijini na mijini Tanzania TARURA) jijini humo limepanga kutengeneza na kufanyia marekebisho miundombinu ya barabara ili kuondoa changamoto wanazokutana nazo wananchi.
Hayo yamesemwa na Meneja wa TARURA jiji la Dodoma, Eng Geofrey Mkinga wakati akiwasilisha mpango na bajeti ya matengenezo ya barabara kwa mwaka wa fedha 2020/2021 kwenye kikao cha baraza la madiwani.
Eng...
11 years ago
Dewji Blog07 Apr
TANROADS Singida yatumia zaidi ya sh 5.1 B kutengeneza barabara zake Julai mwaka jana na februari mwaka huu
Mkuu wa mkoa wa Singida na mwenyekiti wa bodi ya barabara, Dk.Parseko Vicent Kone, akifungua kikao cha bodi ya barabara cha 36 kilichofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa VETA mjini Singida. Kulia (aliyekaa) ni katibu tawala mkoa wa Singida,Liana Hassan.
Meneja wa wakala wa barabara mkoa wa Singida (TANROADS), Mhandisi Yustaki Kangole, akitoa ufafanuzi juu ya sheria zinazotawala akiba/hifadhi ya barabara kwenye kikao cha 36 cha bodi ya barabara mkoa wa Singida.
Mbunge wa jimbo la...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Z8s3Z19bYb4/U-j4eOULqAI/AAAAAAAF-kE/3LRKICF4rPw/s72-c/unnamed+(41).jpg)
DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AKAGUA BARABARA YA MWENGE-TEGETA, MRADI WA MABASI YAENDAYO HARAKA (BRT) PAMOJA MIRADI YA UJENZI WA BARABARA ZA JUU TAZARA FLYOVER NA MAKUTANO YA BARABARA ZA JUU UBUNGO JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://3.bp.blogspot.com/-Z8s3Z19bYb4/U-j4eOULqAI/AAAAAAAF-kE/3LRKICF4rPw/s1600/unnamed+(41).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8fuh6Rix_QE/U-j4eA1NJhI/AAAAAAAF-kA/noaS8n4dTZc/s1600/unnamed+(42).jpg)
11 years ago
Mwananchi18 Feb
Wajumbe kupewa mwongozo leo
10 years ago
Tanzania Daima05 Dec
Mwongozo utumaji meseji waja
WAZIRI wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia Prof. Makame Mbarawa, ameagiza wataalamu kutayarisha mwongozo kwa ajili ya kampuni za simu, utakaoelekeza jinsi ya kutuma meseji katika kipindi cha kuelekea uchaguzi mkuu...
10 years ago
Tanzania Daima29 Oct
TCRA yaaanda mwongozo wa uchaguzi
MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), imeandaa rasimu ya mwongozo utakaofuatwa na vituo vya utangazaji wakati wa uchaguzi wa Serikali za Mitaa, na ule wa wabunge madiwani na Rais. Lengo la...