MZEE WA MIAKA 99 APONA MAAMBUKIZI YA COVID-19 NCHINI BRAZILI
![](https://1.bp.blogspot.com/-VtUtJT87xuI/XpcMEtYL4qI/AAAAAAALnDw/IuGquQOASi01NFyGPdcE5OHKTWZbsV4HgCLcBGAsYHQ/s72-c/2061506-1955068732.jpg)
Na Zainab Nyamka, Globu ya JamiiRAIA na mwanajeshi wa zamani wa Brazili, Ermando Piveta, mwenye umri wa miaka 99, amekuwa Mbrazili mkongwe kupona maambukizi ya coronavirus na kuruhusiwa kutoka siku ya Jumanne.
Piveta aliyepigana vita ya pili ya dunia alitoka Hospitalini ya Kijeshi katika mji ya Brasilia hapo akiwa amevaa kofia ya jeshi na kusalimiana kutoka kwa kiti chake cha magurudumu akionesha ishara ya ushindi na kupigiwa makofi ya wahudumu wa hospitali hiyo.
"Kushinda vita hii ilikuwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili28 May
Virusi vya corona: Ajuza wa miaka 111 apona nchini Chile
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/--TOisSYoLvo/Xs-nEIDkKXI/AAAAAAAC6N4/EisyHqAXe0oxffXYdXlRQfhC0PANvIKowCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
MWONGOZO WA UDHIBITI WA MAAMBUKIZI YA UGONJWA WA (CORONA COVID-19) KATIKA SHULE, VYUO NA TAASISI ZA ELIMU NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/--TOisSYoLvo/Xs-nEIDkKXI/AAAAAAAC6N4/EisyHqAXe0oxffXYdXlRQfhC0PANvIKowCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Hatua zilizochukuliwa ni pamoja na kufunga shule zote za Awali, Msingi, Sekondari, Vyuo na taasisi za elimu nchini. Kutokana na takwimu za mwenendo wa ugonjwa huu nchini kwa sasa kuonyesha kupungua kwa maambukizi ya Virusi vya Corona, mnamo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-kcDlLy7_wso/Xpaliewi4WI/AAAAAAALm_U/xVYygQBibLQVDhqORhWVl3X091Nk8aH4gCLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
CHAMA CHA CUF CHAUNGA MKONO MAAMUZI YA SERIKALI KUPAMBANA NA MAAMBUKIZI YA UGONJWA WA CORONA (COVID-19) NCHINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-kcDlLy7_wso/Xpaliewi4WI/AAAAAAALm_U/xVYygQBibLQVDhqORhWVl3X091Nk8aH4gCLcBGAsYHQ/s400/index.jpg)
5 years ago
CCM Blog28 May
BIBI WA MIAKA 103 APONA CORONA, AJIPONGEZA KWA BIA
![](https://millardayo.com/wp-content/uploads/2020/05/BIBI--660x400.jpg)
Akitoa taarifa hiyo mkwe wa mjukuu wake Adam Gunn amesema, wote walikuwa wanajua tayari wanaelekea kumpoteza bibi yao, na kuna siku aliwahi...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-MDuCGCyMDPc/VBs7Jsd92BI/AAAAAAAGkWY/BK2xeJx9gv4/s72-c/unnamed%2B(47).jpg)
Vijana Saba kusomea mafuta na Gesi nchini Brazili Mwakani
![](http://2.bp.blogspot.com/-MDuCGCyMDPc/VBs7Jsd92BI/AAAAAAAGkWY/BK2xeJx9gv4/s1600/unnamed%2B(47).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Yzw0ue38lGA/VBs7K5a381I/AAAAAAAGkWg/4ZI97d0rti4/s1600/unnamed%2B(48).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-c6d81COdft4/Xp2_eGUoSDI/AAAAAAALnl4/ZBA15hO8LtsEWQAmSFTeczGegFaUhKHCACLcBGAsYHQ/s72-c/765112ac-d89c-420a-a5c8-32fda11dfa86.jpg)
Rostam awataka Watanzania kuchukua tahadhari ya maambukizi ya Corona (COVID-19).
Mfanyabiashara Rostam Aziz amewataka Watanzania kuchukua tahadhari ya maambukizi ya virusi vya corona kutokana na ugonjwa huo kuwa tishio nchini na duniani kwa ujumla.
Rostam amesema hayo leo wakati akikabidhi msaada wa vifaa mbalimbali vya kupambana na maambukizi ya virusi vya corona vyenye thamani ya Sh milioni 500 kwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Vifaa hivyo ambavyo amevikabidhi leo kwa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi ni pamoja na...
5 years ago
BBCSwahili25 Mar
Coronavirus: Mikakati mitano ambayo imethihirisha kudhibiti maambukizi ya Covid-19
5 years ago
BBCSwahili26 Mar
Kuzuia maambukizi ya Covid 19 ni hatia kutembesha mbwa Afrika Kusini
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-dadLenC_5lY/XqfXqtWqFPI/AAAAAAALoak/hEh1IGeOc4obIn1gdXJsr3Lqe8WTq8kxQCLcBGAsYHQ/s72-c/c407e3d9-7091-42f2-8779-90871cedd77e.jpg)
TUJIKINGE,TUJILINDE NA TUWALNDE WENGINE DHIDI YA MAAMBUKIZI YA UGONJWA CORONA (COVID-19).
![](https://1.bp.blogspot.com/-dadLenC_5lY/XqfXqtWqFPI/AAAAAAALoak/hEh1IGeOc4obIn1gdXJsr3Lqe8WTq8kxQCLcBGAsYHQ/s640/c407e3d9-7091-42f2-8779-90871cedd77e.jpg)