Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MZIKI MNENE WA EFM WATIKISA BAGAMOYO

Mashabiki wa kituo kipya cha EFM 93.7 Radio wakicheza mziki mnene ndani ya Bagamoyo. Mashabiki wakiendelea kupagawa na burudani.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

EFM yazindua mziki mnene

Efm-logo-jpg-1024x542NA ASIFIWE GEORGE

KITUO cha Utangazaji cha EFM kimezindua mradi wake wa ‘Mziki Mnene’ utakaokuwa ukifanyika katika bar mbalimbali kuanzia Septemba 5 mwaka huu.

Meneja mkuu wa mawasiliano wa kituo hicho, Denis Ssebo, alisema wamepanua wigo kwa wasikilizaji wa redio hiyo na sasa watawafikia watu wengi kwa kuwa bar 12 zitatembelewa.

Alitaja maeneo watakayofika ni Kibaha, Mlandizi, Mkuranga, Bagamoyo, Kisarawe, Kigamboni na mengine mengi ambayo wanaamini wana mashabiki wakutosha.

Alisema baada...

 

10 years ago

Michuzi

MZIKI MNENE WA EFM WAPAGAISHA UKONGA

Jumamosi ya tarehe 4 Mwezi wa Oktoba 2014,wakazi wa ukonga walipata fursa ya kupagaishwa na burudani ya mziki mnene inayoandaliwa na kituo cha redio cha EFM kwenye ukumbi wa Ukonga Reaction Centre.
Idadi ya watu wasio hesabika walijitokeza kwa wingi ndani ukumbi huo. Tuliongea na mmoja wa waandaji wa tamasha hili Dickson Ponella,ambae alisema kuwa mziki mnene utazunguka Dar Es Salaam nzima na viunga vyake,kama ratiba inavyo elekeza.
“Haina haja ya watu kugombania kuingia...

 

9 years ago

Michuzi

TIMU YA EFM YAIBUKA NA USHINDI WA BAO 1-0 NA BAADAE MZIKI MNENE BAR KWA BAR MKURANGA MKOANI PWANI

 Wananchi wakishuhudia mchezo ukiendelea ikiwa umedhaminiwa na Mtandao wa simu wa Smart katika viwanja vya Mkuranga mkoani pwani baadha ya mpira kumalizika ndipo Mkizi Mnene Bar  kwa Bar ulipoaaza kuchezwa mkoani Pwani mwishoni mwa wiki.  Wachezaji wa timu ya EFM na Mkuranga Veteran wakiendelea kusakata kabumbu ndani ya viwanga vya Mkuranga Mkoani Pwani.Picha ya pamoja ya Timu  ya Mpira wa miguu ya EFM  na Mkuranga Veteran iliyo cheza katika viwanja vya Mkuranga mkoani Pwani, mashindano...

 

9 years ago

Michuzi

MZIKI MNENE KIGAMBONI

Wachezaji wa timu ya EFM na timu ya Magogoni Veteran katika uwanja wa shule ya msingi Ufukoni.Wakazi wa kigamboni wakishuhudia mechi kati ya EFM na Magogoni Veteran kigamboni.Mamia ya watu waliojitokeza kushabikia kabumbu kati ya 93.7 EFM na Magogoni Veteran Kigamboni.
MUZIKI mnene Bar kwa Bar wiki iliyopita ulivuka kivuko na kuhamia Kigamboni,wakazi wa eneo hilo ambao ni wasikilizaji wa 93.7 EFM walipata burudani ya aina yake kutoka kwa timu nzima ya EFM redio.
 Burudani ilianza na kabumbu...

 

10 years ago

GPL

EFM 93.7 KUFANYA TAMASHA LA MUZIKI MNENE KUWASHUKURU MASHABIKI

Mtangazaji wa EFM, Denis Sebo akifafanua jambo kwa wanahabari (hawapo pichani). Msaidizi ofisa mahusiano, Lydia moyo (kushoto) katikati ni Meneja mahusiano wa EFM, Kanky Mwaigomole  na Mhariri mkuu, Samira Kianga.…

 

9 years ago

Michuzi

MUZIKI MNENE BAGAMOYO

                        

SHANGWE za muziki mnene wa 93.7 EFM ,kwa mara nyingine tena ziliendelea  ndani ya bagamoyo . Burudani ya aina yake  ikiongozwa na timu nzima ya EFM ilishushwa ndani ya mageti mia Adon lodge. Wakazi wa bagamoyo walipata nafasi ya kukutana na watangazaji, na RDJ’s huku  wakifurahia burudani ya pamoja.
Muziki mnene bar kwa bar ulipambwa na kabumbu kati ya EFM na Bagamoyo veterani ambapo Bagamoyo veteran waliibuka na ushindi wa bao moja huku EFM wakiambulia sifuri.


Tangu...

 

10 years ago

Michuzi

EFM kukutana na wasikilizaji wake kupitia Tamasha la Muziki Mnene

 Meneja Uhusiano wa Radio 93.7 EFM,Kanky Mwaigomole (katikati) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) jijini Dar es Salaam leo,wakati akizungumzia kuwepo kwa Tamasha la "Muziki Mnene" lenye dhumuni la Radio hiyo kukutana na kuwashukuru wasikilizaji wake katika maeneo mbali mbali jijini Dar,kwa namna walivyoipikea Radio hilo na kuwa nayo pamoja hadi sasa.Katika Tamasha hilo la Muziki Mnene ambapo safari hii litafanyika Oktoba 4,2014 Ukonga Magereza.Wengine pichani ni Mhariri Mkuu...

 

9 years ago

Michuzi

Muziki munene wa EFM 93.7 Watikisa Tegeta jijini Dar es salaam

SHANGWE za muziki mnene wa 93.7 EFM bado zinaendele. Ijumaa iliyopita ilikuwa zamu ya wakazi wa Tegeta . Burudani ya aina yake ikiongozwa na timu nzima ya EFM ilishushwa ndani ya kimori high way park Tegeta , huku wakazi wa Tegeta wakikutana ana kwa ana na watangazaji na RDJ’s wa 93.7EFM. Burudani ilianza na kabumbu kati ya EFM na Boko beach veteran katika uwanja wa boko beach ambapo EFM waliibuka na ushindi mabao matatu huku Boko beach veteran wakiambulia sifuri. "Muziki mnene bado...

 

10 years ago

Michuzi

EFM WAANDAA TAMASHA LA PILI LA MUZIKI MNENE BAR KWA BAR

Meneja Mkuu wa Mawasiliano wa kituo cha Redio cha EFM,  Denis Ssebo (kushoto), akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo asubuhi, kuhusu  kuendelea kufanyika kwa Tamasha la Muziki Bar kwa Bar baada ya kumalizika kwa tamasha hilo kwa awamu ya kwanza. Kulia ni Mtangazaji, Dina Marios. Mtangazaji, Dina Marios akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo asubuhi, kuhusu  kuendelea kufanyika kwa Tamasha la Muziki Bar kwa Bar baada ya kumalizika kwa tamasha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani