Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mzimu wa Mandela wamkumba Zuma

Jacob ZumaWAKATI shujaa wa demokrasia duniani, Nelson Mandela akiwa amezikwa tangu juzi, kura ya maoni nchini Afrika Kusini, inaonesha kuwa mrithi wake wa masuala ya siasa, Jacob Zuma ambaye ni Rais wa nchi hiyo, amepoteza uungwaji mkono, kutokana na tuhuma za kujitajirisha.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

ZUMA APPRECIATES MANDELA

South African President Jacob Zuma said the country would continue drawing lessons from the life of Nelson Mandela. Zuma thanked the former president for the work that he had done during his life. He said that Madiba taught people to love those different from themselves and quoted late statesman's words: I hate race discrimination most intensely and all its manifestations. I have fought all my life; I fight now, and will do so...

 

11 years ago

Mwananchi

Zuma azindua sanamu ya Nelson Mandela

Afrika Kusini. Rais Jacob Zuma amezindua sanamu ya shaba ya shujaa wa Afrika, Nelson Mandela kwenye jengo la Muungano lililopo mji wa Pretoria.

 

11 years ago

Habarileo

Zuma: Afrika Kusini tulihitaji kiongozi aina ya Mandela

RAIS wa Afrika Kusini, Jacob Zuma, amesema nchi hiyo, ilihitaji Rais wa aina ya Nelson Mandela. Amesema kama serikali ya makaburu ingeendelea madarakani, Waafrika Kusini, wangezuiwa hata kufikiria kuhusu Mandela.

 

11 years ago

Mwananchi

Mtihani mkubwa kwa ANC, Rais Zuma bila ya Nelson Mandela

>Licha ya kuacha simanzi na majozi kwa wananchi wa Afrika Kusini na dunia nzima, kifo cha Rais wa kwanza wa kizalendo wa Afrika Kusini, Nelson Mandela ni kama kimempa nafasi ya kupumua Rais Jacob Zuma.

 

11 years ago

Mwananchi

Mandela, Mandela: Mamilioni wamlilia Tata Madiba

Rais wa nchi hiyo, Jacob Zuma akizungumza na waandishi wa habari juzi, alisema kuwa Desemba 8 itakuwa siku ya sala na kukumbuka mambo aliyoyafanya Mandela

 

11 years ago

GPL

MZIMU WA RECHO WAMTESA SAGUDA

Stori: Erick Evarist WAKATI Arobaini ikitarajia kufanyika jana, mchumba wa marehemu Sheila Haule ‘Recho’, George Saguda ameeleza kuwa bado aliyekuwa mchumba wake huyo anamtesa kwa kumtokea mara kwa mara. Marehemu Sheila Haule ‘Recho’, akiwa na mpenzi wake George Saguda enzi za uhai wake. Akizungumza na mwanahabari wetu, Saguda alisema marehemu amekuwa akimtokea akiwa usingizini na kumsisitiza kuhusu...

 

10 years ago

Raia Mwema

CCM na mzimu wa 2010 Mbeya

WAKATI CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) jijini Mbeya kikikuna kichwa jinsi ya kulirudisha jimbo hilo kat

Mwandishi Wetu

 

11 years ago

Tanzania Daima

Sumaye afufua mzimu wa elimu

WAZIRI Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye, ameviponda vyuo vikuu nchini akisema anashangazwa na ukimya wake hasa kipindi hiki ambapo serikali imetangaza matokeo ya kidato cha nne kwa kutumia mfumo mpya wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dodoma kuna mzimu au mbuyu?

WATU wengi wa Zanzibar wanajiuliza, hivi kule Dodoma kuna nini… mzimu au mbuyu ambao huwabadilisha mawazo baadhi ya Wazanzibari? Wapo wanaosema kama ni mzimu basi ni wenye nguvu isiyoelezeka.  Vilevile, ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani