Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sumaye afufua mzimu wa elimu

WAZIRI Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye, ameviponda vyuo vikuu nchini akisema anashangazwa na ukimya wake hasa kipindi hiki ambapo serikali imetangaza matokeo ya kidato cha nne kwa kutumia mfumo mpya wa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Sumaye: Mazingira ya kutolea elimu yaboreshwe

WAZIRI Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye amesema kurekebisha alama za madaraja mbalimbali katika mitihani haiwezi kuboresha, bali dawa pekee ya kurekebisha hali hiyo ni kuboresha mazingira ya kutolea elimu na ufundishaji.

 

10 years ago

Michuzi

Waziri wa Elimu atembelea Banda la Mamlaka ya Elimu Tanzania kwenye maonyesho ya Elimu mjini Dodoma

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa akimsikiliza Kaimu Mkurugenzi wa Uhamasishaji rasilimali wa Mamlaka ya Elimu Tanzania, Sylvia Lupembe, alipotembelea Banda la Mamlaka ya Elimu Tanzania Jumatano Tarehe 13 Mei 2015.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mzimu wa Simba wamtesa Ngasa

MSHAMBULIAJI wa Yanga, Mrisho Ngasa ameanza mgomo baridi ndani ya klabu hiyo, akishinikiza uongozi kumlipa deni lake la awamu ya pili ya usajili wakati alipotua klabuni hapo akitokea Simba. Usajili...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mzimu wa UKAWA unavyoitetemesha CCM

SIKUWAHI kuulizwa swali na askari wastaafu waliotumikia kazi zao kwa moyo na uadilifu mkubwa kwenye vikosi mbalimbali vya kijeshi, lakini sasa nimeulizwa maswali mengi tangu mchakato wa kuandikwa kwa katiba...

 

11 years ago

GPL

MZIMU WA RECHO WAMTESA SAGUDA

Stori: Erick Evarist WAKATI Arobaini ikitarajia kufanyika jana, mchumba wa marehemu Sheila Haule ‘Recho’, George Saguda ameeleza kuwa bado aliyekuwa mchumba wake huyo anamtesa kwa kumtokea mara kwa mara. Marehemu Sheila Haule ‘Recho’, akiwa na mpenzi wake George Saguda enzi za uhai wake. Akizungumza na mwanahabari wetu, Saguda alisema marehemu amekuwa akimtokea akiwa usingizini na kumsisitiza kuhusu...

 

11 years ago

Habarileo

Mzimu wa Mandela wamkumba Zuma

Jacob ZumaWAKATI shujaa wa demokrasia duniani, Nelson Mandela akiwa amezikwa tangu juzi, kura ya maoni nchini Afrika Kusini, inaonesha kuwa mrithi wake wa masuala ya siasa, Jacob Zuma ambaye ni Rais wa nchi hiyo, amepoteza uungwaji mkono, kutokana na tuhuma za kujitajirisha.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dodoma kuna mzimu au mbuyu?

WATU wengi wa Zanzibar wanajiuliza, hivi kule Dodoma kuna nini… mzimu au mbuyu ambao huwabadilisha mawazo baadhi ya Wazanzibari? Wapo wanaosema kama ni mzimu basi ni wenye nguvu isiyoelezeka.  Vilevile, ...

 

10 years ago

Raia Mwema

CCM na mzimu wa 2010 Mbeya

WAKATI CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) jijini Mbeya kikikuna kichwa jinsi ya kulirudisha jimbo hilo kat

Mwandishi Wetu

 

11 years ago

Mwananchi

Ufaransa kafuta mzimu wa 2010?

Timu ya taifa ya Colombia imefanikiwa kuibuka na ushindi wa kwanza muhimu katika mchezo wao wa hatua ya makundi ya Kombe la Dunia baada ya kuichapa Ugiriki kwa mabao 3-0 jana.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani